Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.

Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
yaani ndugu zetu kutoka ule mkoa reli inapoishia....... hii kitu ipo damuni.....! Yaani hata asipojitambulisha kabila lake....... utamjua tu!
 
Hapana sijaridhishwa na majibu yako ya hovyo hovyo majibu yako ya kishenzi kishenzi itakuwa umezeeka wewe bibi 😁😁😁😁
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.

Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Kwanza tukubaliane maokoto.
 
Ulishashiba uji wa ngano na vipopoo unataka kuja kudhihaki na kutukana watu humu.

Ungeenda kuandaa abaya la sikukuu
 
Ulishashiba uji wa ngano na vipopoo unataka kuja kudhihaki na kutukana watu humu.

Ungeenda kuandaa abaya la sikukuu

A AlhamduliLlah, jukumu la kunilisha na kunivisha ni la mume wangu kwa uwezo aliojaaliwa na Allah.
 
Mbona umeweka namba na maneno ya watu badala ya hizo aya?

Zinukuu hapa aya ujione ulivyojazwa ujinga ukakujaa.
 
Bunge hili hili la JMT?

JF itayumba.
 
lakini muhimu zaidi ni kujitambuwa na saikolojia.

Dada fox juzi kwenye uzi furani ulinijia juu na kuniita mjinga kisa nlikosea kuandika herufi moja tu
Kusema ukweli sikujisikia vzr
Leo hi kwenye pita pita zangu nmekutana na hi

Siongei neno zaidi kwakua nlikupa majibu kule kule ila nlipenda tu utambue ya kua MAKOSA ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…