Kwahyo baba ako ni mama?Mathayo 23:9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Sasa mbona huendelezi mjadala BiBi kashakujibu.Eeeeh bwana
Katika mechi ya Mamelodi vs Yanga, mpira uliopigwa na Aziz Ki (anaitwa Stephane kwa jina la Kigalatia) umeleta utata kama ulizama ndani ya mstari kwa 100% bila kugusa mstari au kuna portion ndogo iligusa mstari. Debate ipo kati ya pande hizo mbili, wapo wanaosema uliingia kwa 100% (kwamba ni goli) na wapo wanaodai haukuingia kwa 100% (kwamba si goli). Mada hiyo hapo, tuwekee upande wako ukisindikizwa na hoja au vielelezoKama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Majibu yake hayajanikuna....Sasa mbona huendelezi mjadala BiBi kashakujibu.
Kuna kukumwa pia mamaMajibu yake hayajanikuna....
Kasikilize wimbo wa THE LOXVimefanyaje
What made you dedicate this song for me?Kasikilize wimbo wa THE LOX
LYLICS
See I believe in money, power, and respect
First you get the money
Then you get the muthafuckin', power
After you get the fuckin' power
Muthafuckas will respect you
What's the key to life?
Money, power, and respect
What you need in life?
Money, power, and respect
You'll be eatin' right
Money, power, and respect
You can sleep at night
You'll see the light
What's the key to life?
Money, power, and respect
What you need in life?
Money, power, and respect
You'll be eatin' right
Money, power, and respect (yeah)
Money, power, and respect (yeah, yo, yo)
Money, power, and respect
Kukunwa?Kuna kukumwa pia mama
😊What made you dedicate this song for me?
Huo wimbo unahusiana vipi na mada yangu niliyoianzisha?
ImeanziaHuo wimbo unahusiana vipi na mada yangu niliyoianzisha?
Kwa huyu nungaembe atakwambia niniNatamani tujadili namna ya mwanadada kufika climax kirahisi...
ThubutuNipo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
Bibi umeachika 🤣🤣🤣Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Basi tufanye kwa kanuni za bunge la Ufaransa?Bunge hili hili la JMT?
JF itayumba.
Sasa hapo tatizo nini?> Qur'an ni shifa.Naitwa NALIA NGWENA
Maada : Kuna mahusiano Gani Kati ya waganga na kitabu Cha Qur'an??
Hii asilimia kubwa waganga lazima wawe na kitabu Cha Qur'an huwezi Kuta mganga ana biblia.
Naomba unijibu KWA ufasaha nilizike kabisa KWA moyo Safi.