Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Wanawake hawatabiriki na kwa miaka hiyo pia akili yako itakuwa imekomaa vizuri tu kukabiliana na changamoto za wanawake.
 
Mpe mimba.
 
Kaka hii miaka hakuna mke, kula usepe
 
Vijana wa sikuhizi najaribu kuimagine how their brains works. Mtu anakuhangaisha y umbembeleze kama yai? Au bila yeye huwezi ishi? Bro wanawake ni wengi wazuri na wanahitaji watu seriously wakuishi nao fanya good choice achana na masista du a.k.a wanawake wa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…