Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko mkoa gani?Ndugu zangu wanajamvi habarini. Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
Msihukumu kwa haraka vyanzo vya tatizo ni vingi mnoPunyeto haijawahi kumwacha mtu salama.Ulikuwa unaifanya kwa Siri on Sasa imekuja kukuumbua kwa umma.
Jiandae tu kugongewa mkeo na marijali.
Omba sub.Ndugu zangu wanajamvi habarini. Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
Usikurupuke,soma kichwa cha habari kwanzaPunyeto haijawahi kumwacha mtu salama.Ulikuwa unaifanya kwa Siri on Sasa imekuja kukuumbua kwa umma.
Jiandae tu kugongewa mkeo na marijali.
Mueleze Ke wako ukweli wote kuwa una masturbation psychopath disorders ili alipokee jinsi lilivyo na kukusaidia inavyopasa.Ndugu zangu wanajamvi habarini. Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
Hiyo mimi napiga ASUBUHI tu bado mchana bado USIKU kwa siku jumla sio chini ya mara 15 bado usiku wa Giza NIKIENDA KULALA NAKUWA PEKEYANGU huko napiga hata mara 20 NAKUWA na uhuru wote .ASUBUHI naamka usingizinkama woteMueleze Ke wako ukweli wote kuwa una masturbation psychopath disorders ili alipokee jinsi lilivyo na kukusaidia inavyopasa.
Mi nina tuzo ya punyeto nilikuwa napigaga × 6 per day na ni mara 2 hadi 3 kwa siku.
Nilikaaga uchumba na Ke wangu wa ndoa kwa mwaka mmoja kiurafiki tu kabla sijaoa.
Nilipooa nilikutwa na changamoto hiyo hiyo lakini Ke wangu alikuwa muelewa kwa kunijengea akili kujiamini kuwa niko vizuri tu wala nisiogope wala kukamia mechi, nitulize akili na hana wasiwasi na mimi kabisa maana anaelewa kwa mara nyingine nitakuwa vizuri sana kuliko nilivyochemka awali.
Siku ya pili nilihakikisha kafika kileleni mara 6 nami nilienda raundi 4, baada ya hapo ni kujiamini na sijawahi kuchemka kamwe!
Mwaka wa 5 huu nadunda naye tu kama kawa na wala sihangaiki na Michepuko.
Hivi haya uliyoandika hapo juu Ni ya ukweli ama Ni fix tu?Hiyo mimi napiga ASUBUHI tu bado mchana bado USIKU kwa siku jumla sio chini ya mara 15 bado usiku wa Giza NIKIENDA KULALA NAKUWA PEKEYANGU huko napiga hata mara 20 NAKUWA na uhuru wote .ASUBUHI naamka usingizinkama wote
Umetisha sanaHiyo mimi napiga ASUBUHI tu bado mchana bado USIKU kwa siku jumla sio chini ya mara 15 bado usiku wa Giza NIKIENDA KULALA NAKUWA PEKEYANGU huko napiga hata mara 20 NAKUWA na uhuru wote .ASUBUHI naamka usingizinkama wote
Pole mkuu ila utapona chap chukua tangawiz mbich na vtunguu saumu visage vzr chukua na asali mbichi pima kama mchanganyiko wa tangawz na vtunguu itakuwa n vjiko 20 bas asali iwe mara 2 yake alaf tumia vjko 3 asbh mchana kama unamuda na jioni ndn ya wik 2 lete majbu kama ulivyoleta tatzo lako nna uhakika 100% nmeshawapa weng na wanaponaNdugu zangu wanajamvi habarini.
Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
Asante sana mkuu, nitarudisha mrejeshoPole mkuu ila utapona chap chukua tangawiz mbich na vtunguu saumu visage vzr chukua na asali mbichi pima kama mchanganyiko wa tangawz na vtunguu itakuwa n vjiko 20 bas asali iwe mara 2 yake alaf tumia vjko 3 asbh mchana kama unamuda na jioni ndn ya wik 2 lete majbu kama ulivyoleta tatzo lako nna uhakika 100% nmeshawapa weng na wanapona
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ok sio mbali kivileNipo morogoro mkuu