Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyeto lina madhara ya kimwili na kirohoAnza kunyonya papuchi ili umfurahishe huyo mwanamke wako.
Tunasema kila wakati piga nyeto la afya ninyi wengine mnapiga X 5 kwa siku.
Duh mkuu...kwani ni vita?Hiyo mimi napiga ASUBUHI tu bado mchana bado USIKU kwa siku jumla sio chini ya mara 15 bado usiku wa Giza NIKIENDA KULALA NAKUWA PEKEYANGU huko napiga hata mara 20 NAKUWA na uhuru wote .ASUBUHI naamka usingizinkama wote
HV mnakuwaga seriuoa au mnatanianyinyi vijanaHiyo mimi napiga ASUBUHI tu bado mchana bado USIKU kwa siku jumla sio chini ya mara 15 bado usiku wa Giza NIKIENDA KULALA NAKUWA PEKEYANGU huko napiga hata mara 20 NAKUWA na uhuru wote .ASUBUHI naamka usingizinkama wote
HV Ni Kweli ulikuwa unapiga nyeto Mara 6 kwa siku au huwa mnawadanganya watu hapMueleze Ke wako ukweli wote kuwa una masturbation psychopath disorders ili alipokee jinsi lilivyo na kukusaidia inavyopasa.
Mi nina tuzo ya punyeto nilikuwa napigaga × 6 per day na ni mara 2 hadi 3 kwa siku.
Nilikaaga uchumba na Ke wangu wa ndoa kwa mwaka mmoja kiurafiki tu kabla sijaoa.
Nilipooa nilikutwa na changamoto hiyo hiyo lakini Ke wangu alikuwa muelewa kwa kunijengea akili kujiamini kuwa niko vizuri tu wala nisiogope wala kukamia mechi, nitulize akili na hana wasiwasi na mimi kabisa maana anaelewa kwa mara nyingine nitakuwa vizuri sana kuliko nilivyochemka awali.
Siku ya pili nilihakikisha kafika kileleni mara 6 nami nilienda raundi 4, baada ya hapo ni kujiamini na sijawahi kuchemka kamwe!
Mwaka wa 5 huu nadunda naye tu kama kawa na wala sihangaiki na Michepuko.
Unasaga na unakula Moja kwa moja mm nadhani ulaji pia auangalie vzrPole mkuu ila utapona chap chukua tangawiz mbich na vtunguu saumu visage vzr chukua na asali mbichi pima kama mchanganyiko wa tangawz na vtunguu itakuwa n vjiko 20 bas asali iwe mara 2 yake alaf tumia vjko 3 asbh mchana kama unamuda na jioni ndn ya wik 2 lete majbu kama ulivyoleta tatzo lako nna uhakika 100% nmeshawapa weng na wanapona
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mm nadhani Kama mwanmke Hana amsha asmaha hata kushika dushe nakulichezea inabidi umfundishwHuna tatizo, tatizo lako ni kusoma mitandaoni na kusikiliza watu kuhusu wanawake, mke wako Sio kama wakila mtu!
Jadiliana na mkeo kwa uwazi kama ni tatizo kwake, tumia skills zakiuanaume, ukiona ni shida kwake rejea tuone cha ku fanya.
Nimegundua tatizo kubwa la vijana ni pesa, ukiwa Huna pesa lazima uume usinyae, na unakosa ujasiri, kwa hiyo unataka supplement
Uliwahi kulazimishwa penzi na mtu mzima ila niwakike muwe mnafanya naye tendo bila ridhaa yako au mkeo unamuogopa kiuhalisia ?????
Si yeye tu unamuogopa halafu ukiwa na watu wengine unawapa vidonge vyaoo.
Kwanza kama ndio nikwa mkeo tu basi jaribu kumuona unahaki naye
AsaLeoooo... pole mkuu.. lakn hilo tatizo linatibika. Subr uendelee kupokea ushauri
Asante kwa ushauri mzuriNenda kwa daktari umuone watakusaidia...usinywe midawa ya mtaani Wengi wanafanya biashara wapate pesa.
Ansha amsha hana kabisa, nimejaribu kumwambia lakini bado ni shidaMm nadhani Kama mwanmke Hana amsha asmaha hata kushika dushe nakulichezea inabidi umfundishw
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sina kisukari, nyete nimewahi piga. Zamani ilikuwa uhakikaTatizo lina muda gani?
Je, zamani shoo zako zilikuwa nzuri?
Je, unapiga punyeto?
Je, una kisukari?
Asante sana mkuu, tutafute pesaHuna tatizo, tatizo lako ni kusoma mitandaoni na kusikiliza watu kuhusu wanawake, mke wako Sio kama wakila mtu!
Jadiliana na mkeo kwa uwazi kama ni tatizo kwake, tumia skills zakiuanaume, ukiona ni shida kwake rejea tuone cha ku fanya.
Nimegundua tatizo kubwa la vijana ni pesa, ukiwa Huna pesa lazima uume usinyae, na unakosa ujasiri, kwa hiyo unataka supplement
Unauhakika alikua anapiga punyetoPunyeto haijawahi kumwacha mtu salama.Ulikuwa unaifanya kwa Siri on Sasa imekuja kukuumbua kwa umma.
Jiandae tu kugongewa mkeo na marijali.
Mm nadhani Kama mwanmke Hana amsha asmaha hata kushika dushe nakulichezea inabidi umfundishw
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizo ni ngonjera ishu iko hivi kama mwanaume huwez rusha mkojo mbali na huwezi ongeza kwa pressure na kupunguza na kama jogoo hawiki asubuhi, mchana na kabla hujalala unatatizo la nguvu za kiumeUliwahi kulazimishwa penzi na mtu mzima ila niwakike muwe mnafanya naye tendo bila ridhaa yako au mkeo unamuogopa kiuhalisia ?????
Si yeye tu unamuogopa halafu ukiwa na watu wengine unawapa vidonge vyaoo.
Kwanza kama ndio nikwa mkeo tu basi jaribu kumuona unahaki naye .
Mwanaume uliyekamilika huihitaji kushikwa shikwa sanaUmeoa wewe au tupo na watoto humu?
Husijione mnyonge mzee vyote viko ndani ya uwezo wako, una baraka zote za kutawala na kumridhisha mkeo /mwanamke yeyote
Maungo Na Uwezo Unao
Amini Umekamilika Kama wanaume Wengine
Husikamie show calm down Vyote vipo chini Ya Utawala Wako, Mpe Tabasamu La Ushindi Umpendae
Kuna kitu hujui nimesomea kuhusu mwili wa mwanadamu.Hizo ni ngonjera ishu iko hivi kama mwanaume huwez rusha mkojo mbali na huwezi ongeza kwa pressure na kupunguza na kama jogoo hawiki asubuhi, mchana na kabla hujalala unatatizo la nguvu za kiume
Mfano mim hata nikiongea na mwanamke mda mwingine jogoo anawika mpaka nimeacha kuchomekea
Kula mboga za majani, samaki changu, maji mengi na ubini wako uhakikishe unatafuna kila wiki.Ndugu zangu wanajamvi habarini.
Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
Sio kweli Kuna sex na love, jiulize wale Wanaume wanaenda kununua wale Malaya wanawapenda kwanin jogoo anawika kwa Malaya kwa kiasili kipaumbele kwa mwanaume ni sex narudia tena mwanaume anataka sex alafu love, ndo wako Wanaume hadi kichaa akikaa vibaya wanapita naeKuna kitu hujui nimesomea kuhusu mwili wa mwanadamu.
So kuna watu wanashida ya kuwa nawanawake karibu na hasa kwenye tendo ni kwanini either aliforciwa kushiriki bila ridhaa yake kwa hiyo ikajenga woga kwenye akili yake kwamba haandaliwi analazimishwa kufanya hilo tendo kwa lazima hasara zaka ndio hizo akiwa na mwanamke nguvu za kiume zinashuka na hazimo hadi huyo mtu wake amlazimishe kama huyo wa mwanzo ndio zitakuja kwa kasi.