Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

Pole sana!

Hii inaashiria dhahiri una tatizo hili!

Mana maelekezo yako yenyewe umeendika haraka hii ni dalili ya premature ejaculation sijui unawah wapi asee!
Ndugu zangu wanajamvi habarini.

Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu z
 
Sio kweli Kuna sex na love, jiulize wale Wanaume wanaenda kununua wale Malaya wanawapenda kwanin jogoo anawika kwa Malaya kwa kiasili kipaumbele kwa mwanaume ni sex narudia tena mwanaume anataka sex alafu love, ndo wako Wanaume hadi kichaa akikaa vibaya wanapita nae
Siwezi hangaika na mtu asiyenielewa umewahi lazimishwa sex ukowa miaka 3 hadi 4 .
Hujawahi .
So kaa pembeni hujawahi haribiwa akili na mtu yeyote so upo active.
Malaya unaenda ili upate huduma yeye sidhani kama ameenda huko.
Ni urafiki wa hapa na pale .

Malaya nitofauti sana maana unaenda mwenyewe kuitafuta K.
Sasa huyo anafuatwa ili atoe bila ridhaaa yake mwenyewe .
Nitofauti nawewe unaridhia malaya ili dushe lako salama .

Hata wewe unatatizo la ngenye kwa sababu huwezi simamisha simamisha ovyoo eti demu akikuongelesha inaitwa dushe disorder so hiyo imeenda hadi akilini mwako.

So unachohitaji nikumuona daktari wa akili mwanaume rijali ni huyu hapa .
1. Hana papara na dushe lake lipo kimya sio kupanda kila saa .
2hadi umdatishe ndio apandishe so my dear hata wewe unangideri ya jogoo
 
HV Ni Kweli ulikuwa unapiga nyeto Mara 6 kwa siku au huwa mnawadanganya watu hap

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa napiga, tena yangu nilikuwa natoboa godoro nalilalia huku nikiwa naangalia X kwenye PC, siyo kujichua kupitia mkono.

Sipo hapa kutafuta sifa za kijinga bali kusaidia wahanga wezangu ambao wanapitia hali ambayo mi nilishapitia.
 
Siwezi hangaika na mtu asiyenielewa umewahi lazimishwa sex ukowa miaka 3 hadi 4 .
Hujawahi .
So kaa pembeni hujawahi haribiwa akili na mtu yeyote so upo active.
Malaya unaenda ili upate huduma yeye sidhani kama ameenda huko.
Ni urafiki wa hapa na pale .

Malaya nitofauti sana maana unaenda mwenyewe kuitafuta K.
Sasa huyo anafuatwa ili atoe bila ridhaaa yake mwenyewe .
Nitofauti nawewe unaridhia malaya ili dushe lako salama .

Hata wewe unatatizo la ngenye kwa sababu huwezi simamisha simamisha ovyoo eti demu akikuongelesha inaitwa dushe disorder so hiyo imeenda hadi akilini mwako.

So unachohitaji nikumuona daktari wa akili mwanaume rijali ni huyu hapa .
1. Hana papara na dushe lake lipo kimya sio kupanda kila saa .
2hadi umdatishe ndio apandishe so my dear hata wewe unangideri ya jogoo
Acha ujinga Binti nguvu za kiume zinatofautiana mwanaume uliyekamilika jogoo anawika asubuhi, mchana na usiku hapo ni hujawaza hata mapenzi na ukimaliza haja kubwa jogoo anawika mwanaume rijali jogoo sababu hajakubwa huwa inagusa tezi dume, tatizo lako wewe ni mwanamke alafu unashupalia vitu vya kiume anayekuhadithia anakudanganya

na sifa nyingine ya mwanaume rijali jogoo akiwika anakua parrel na kitovu yaan hatepeti

Zaman sis wazee walikua hawahitaji blow job, Mara kuandaliwa kulikua hakuna huo ujinga, mwanaume alikua akiona tu paja la mwanamke ni changamoto walikua na nguvu za kiume za kufa mtu,

Leo hii unatakuta Wanaume na wanawake wanaogolea kwenye swimming pool moja mim binafsi siwez sababu ntateseka

mim nikienda hospital labda kupunguza nguvu za kiume sijisifii Ila ndo ukweli
 
Hakuna dawa ya nguvu za kiume,fanya mazoez sana,kula vizuri punguza vyakula vya mafuta &junk foods,fanya jambo linalokufurahisha kupunguza stress,acha pombe na sigara,wekeza nguvu kutafuta pesa,ni hayo tu.
 
Mueleze Ke wako ukweli wote kuwa una masturbation psychopath disorders ili alipokee jinsi lilivyo na kukusaidia inavyopasa.

Mi nina tuzo ya punyeto nilikuwa napigaga × 6 per day na ni mara 2 hadi 3 kwa siku.

Nilikaaga uchumba na Ke wangu wa ndoa kwa mwaka mmoja kiurafiki tu kabla sijaoa.

Nilipooa nilikutwa na changamoto hiyo hiyo lakini Ke wangu alikuwa muelewa kwa kunijengea akili kujiamini kuwa niko vizuri tu wala nisiogope wala kukamia mechi, nitulize akili na hana wasiwasi na mimi kabisa maana anaelewa kwa mara nyingine nitakuwa vizuri sana kuliko nilivyochemka awali.

Siku ya pili nilihakikisha kafika kileleni mara 6 nami nilienda raundi 4, baada ya hapo ni kujiamini na sijawahi kuchemka kamwe!

Mwaka wa 5 huu nadunda naye tu kama kawa na wala sihangaiki na Michepuko.
Nitajitahidi kufata nyayo mkuu
 
Acha ujinga Binti nguvu za kiume zinatofautiana mwanaume uliyekamilika jogoo anawika asubuhi, mchana na usiku hapo ni hujawaza hata mapenzi na ukimaliza haja kubwa jogoo anawika mwanaume rijali jogoo sababu hajakubwa huwa inagusa tezi dume, tatizo lako wewe ni mwanamke alafu unashupalia vitu vya kiume anayekuhadithia anakudanganya

na sifa nyingine ya mwanaume rijali jogoo akiwika anakua parrel na kitovu yaan hatepeti

Zaman sis wazee walikua hawahitaji blow job, Mara kuandaliwa kulikua hakuna huo ujinga, mwanaume alikua akiona tu paja la mwanamke ni changamoto walikua na nguvu za kiume za kufa mtu,

Leo hii unatakuta Wanaume na wanawake wanaogolea kwenye swimming pool moja mim binafsi siwez sababu ntateseka

mim nikienda hospital labda kupunguza nguvu za kiume sijisifii Ila ndo ukweli
Mie binti 🙄🙄🤨 haya inaelekea 53s ulikuwepo au 45s
 
Mkuu hyo ni Psychological issue,usidanganywe kuitatua kwa kula tangawizi wala Viagra..unatawaliwa na hofu, ambayo inapelekea uume usisimame ama unasimama kiulegevu..
 
Naongezea

Nazi mbata iliyokauka
Muhogo mtamu
Karanga ndogo laini zenye maji maji
Tende kavu
Maziwa fresh glass 1×3 usiku kabla ya kulala meza na tembe 2 za kitunguu saumu
Juice ya karoti na nanasi glass 1×3 siku 7
Nyama nyama za kutosha kilo 2 kwa siku
Ugali au Wali kisoda ¼
Supu yenye pilipili kichaa za kutosha bakuri kubwa kila asubuhi usisagau kuweka ndimu au limau
Asali ya nyuki wadogo vijiko 2×3 siku 21
Juice ya matango ya kienyeji glass 2×3 siku 21
Juice ya vitunguu maji glass 1×2 siku 14
Juice ya cabbage glass 1×2 siku 7
Mbegu za Maboga tafuna au unga wake pika uji kunywa
Mbegu za Tikiti maji saga changanya na asali na kitunguu saumu lamba vijiko 2×3 siku 21

Km nimesahau ongezea
Psychological issue can't be solved kwa hayo maelezo yako mkuu..nina experience juu ya hilo.. people wana underate mnoo mental health.
Sex inahitaji utulivu wa akili,ukiwa na hofu ama stress kupita kias..huwezi kusimamisha na hata ikisimama inakuwa legevu mnoo
 
Psychological issue can't be solved kwa hayo maelezo yako mkuu..nina experience juu ya hilo.. people wana underate mnoo mental health.
Sex inahitaji utulivu wa akili,ukiwa na hofu ama stress kupita kias..huwezi kusimamisha na hata ikisimama inakuwa legevu mnoo
Chakula mkuu
Chakula muhimu mno kwenye haya mambo

1. Nenda kasex una njaa ya kutokula siku 2 yaan kaa siku 2 hujala kisha nenda katombe utapata majibu yake
-stress zinaanzia kwenye kula msosi huna pesa utakulaje?

2. Nenda kasex ukiwa umetoka kula ugali sinia, Kuku mzima, Bata nusu, juice ya nanasi mixer parachichi, Supu ya Mbuzi mwagia ndimu na limau pilipili za kutosha, Mbuzi choma finyango 4 au 5 mapande makubwa bugia alafu mwisho kabisa funika kombe na maji lita 2 na nusu, ukimaliza piga ndizi mbivu hata chane 3/2 zenye ndizi 5 na parachichi 2/3
-ukitoka hapo nenda katombe utaleta majibu hapa ukishindwa kufunga mabao ya kutosha kwenye hii mechi niiiite Mimi mbwa nimekaa paaaale
-hapa una pesa u na ku la unachotaka unatomba u na vyo ta ka
 
Naongezea

Nazi mbata iliyokauka
Muhogo mtamu
Karanga ndogo laini zenye maji maji
Tende kavu
Maziwa fresh glass 1×3 usiku kabla ya kulala meza na tembe 2 za kitunguu saumu
Juice ya karoti na nanasi glass 1×3 siku 7
Nyama nyama za kutosha kilo 2 kwa siku
Ugali au Wali kisoda ¼
Supu yenye pilipili kichaa za kutosha bakuri kubwa kila asubuhi usisagau kuweka ndimu au limau
Asali ya nyuki wadogo vijiko 2×3 siku 21
Juice ya matango ya kienyeji glass 2×3 siku 21
Juice ya vitunguu maji glass 1×2 siku 14
Juice ya cabbage glass 1×2 siku 7
Mbegu za Maboga tafuna au unga wake pika uji kunywa
Mbegu za Tikiti maji saga changanya na asali na kitunguu saumu lamba vijiko 2×3 siku 21

Km nimesahau ongezea
Mtu aliyebakwa anahitaji
kusaidiwa kihisia ili aweze
kusahau mawazo na jambo
liliomtokea. Kwa mwathirika, ni
muhimu apewe ushauri nasaha
ili aendelee kujihisi kwamba yeye bado yupo kama mtu wa
kawaida. Ni muhimu pia kuzishughulikia habari za mwathiriwa
kwa siri. Usimweleze kila mtu kilichotokea. Waeleze wale tu
ambao unafikiri wanaweza kusaidia kama daktari, mwalimu au
mzazi. Usiulize maswali ya kwa nini maana inaweza ikaonekana
ni kosa la mwathiriwa. Badala yake zungumza na huyo mtu kwa
utaratibu, polepole, peke yake na mpe uangalifu wa kutosha.
Hakikisha kwamba hutoi lawama yoyote kwa mwathiriwa.
Kubakwa kamwe siyo kosa la mwathiriwa. Huyu kaka kabwa akiwa mdogo tena akatishiwa asiseme either ni ndugu au ni mfanyakazi wakike sasa niambie kitu kikubwa kwa sasa anahitaji ushauri nasaaa
 
Sio kweli Kuna sex na love, jiulize wale Wanaume wanaenda kununua wale Malaya wanawapenda kwanin jogoo anawika kwa Malaya kwa kiasili kipaumbele kwa mwanaume ni sex narudia tena mwanaume anataka sex alafu love, ndo wako Wanaume hadi kichaa akikaa vibaya wanapita nae
Mtu aliyebakwa anahitaji
kusaidiwa kihisia ili aweze
kusahau mawazo na jambo
liliomtokea. Kwa mwathirika, ni
muhimu apewe ushauri nasaha
ili aendelee kujihisi kwamba yeye bado yupo kama mtu wa
kawaida. Ni muhimu pia kuzishughulikia habari za mwathiriwa
kwa siri. Usimweleze kila mtu kilichotokea. Waeleze wale tu
ambao unafikiri wanaweza kusaidia kama daktari, mwalimu au
mzazi. Usiulize maswali ya kwa nini maana inaweza ikaonekana
ni kosa la mwathiriwa. Badala yake zungumza na huyo mtu kwa
utaratibu, polepole, peke yake na mpe uangalifu wa kutosha.
Hakikisha kwamba hutoi lawama yoyote kwa mwathiriwa.
Kubakwa kamwe siyo kosa la mwathiriwa. Huyu kaka kabwa akiwa mdogo tena akatishiwa asiseme either ni ndugu au ni mfanyakazi wakike sasa niambie kitu kikubwa kwa sasa anahitaji ushauri nasaaa
 
Back
Top Bottom