Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Kumaniisha napaswa kusahau targets zangu binafsi Kisha tuangalie targets zetu kwa pamoja,.........huoni kama ntakuwa najikandamiza mwenyewe
Binti, Toka umepost hii hoja, na vile unavyopambana na hoja za Wana humu ndani kwa ujasiri na bila kuchoka, KINACHOONEKANA DHAHIRI KWAKO NI HIKI;
•Ni wale watoto waliolelewa na mzazi mmoja (Mama)
•Ni mbishi ambaye haupo tayari kushuka.
•Una misimamo mikali juu ya kile unachoamini wewe
•Speed ya mdomo ni zaidi ya 2000wpm (Words Per Minute 😎😎)
Kwa HIZO points..., hasa ya pili Hadi ya nne,... Mwanangu usijiingize kwenye ndoa!! Ukithubutu tu,... jiandae kuwaita wanaume wote mbwa tu
 
Binti, Toka umepost hii hoja, na vile unavyopambana na hoja za Wana humu ndani kwa ujasiri na bila kuchoka, KINACHOONEKANA DHAHIRI KWAKO NI HIKI;
•Ni wale watoto waliolelewa na mzazi mmoja (Mama)
•Ni mbishi ambaye haupo tayari kushuka.
•Una misimamo mikali juu ya kile unachoamini wewe
•Speed ya mdomo ni zaidi ya 2000wpm (Words Per Minute 😎😎)
Kwa HIZO points..., hasa ya pili Hadi ya nne,... Mwanangu usijiingize kwenye ndoa!! Ukithubutu tu,... jiandae kuwaita wanaume wote mbwa tu
Sawa
 
Binti nimesoma hii mada yako kisha nikasoma na comments zako karibu zote ulizowajibu wadau humu.

Inaonesha tayari umeshafanya maamuzi yako na humu ulikuja kutafuta solid confirmation tu ya kile ambacho tayari unakiamini.

Sasa ushauri wangu ni hivi, wewe achana kabisa na kufikiria ndoa focus kwenye kutimiza hizo ndoto zako.

Ndoa sio kwa Kila mwanamke, kwanza wewe unaonekana ni potential lesbian.
 
Binti nimesoma hii mada yako kisha nikasoma na comments zako karibu zote ulizowajibu wadau humu.

Inaonesha tayari umeshafanya maamuzi yako na humu ulikuja kutafuta solid confirmation tu ya kile ambacho tayari unakiamini.

Sasa ushauri wangu ni hivi, wewe achana kabisa na kufikiria ndoa focus kwenye kutimiza hizo ndoto zako.

Ndoa sio kwa Kila mwanamke, kwanza wewe unaonekana ni potential lesbian.
Mzeee...Ushauri wako ni mzuri na Mimi sijali either you take me as a lesbian or not just Zip it
 
Marie curie ,leo hii ungekuta angechagua kupuuzia ndoto zake ,nishati ya nuclear na matibabu ya saratani kupitia mionzi ingekua ni ndoto🤔
Marie Curie aliolewa na mwanasayansi mfaransa, Pierre Curie, jina la mwanamke huyo ni Maria Salomee Sklodowska(raia wa Poland), ndo akachukua jina la mumewe (Curie), na Maria ikaitwa kifaransa yaani Marie. So ndoa alipata, na radioactivity aligundua.
 
Meleta mada, unataka kuolewa ila una malengo yako na sio ya familia ya wewe na huyu mumeo mtarajiwa,
Kwenye hayo malengo yako yatakuwa yanamfaidisha nani, wewe, mumeo, au familio uliyotoka!?
Kama malengo yako yatakuwa na conflict of interest na ndoa bora usiolewe
Maana nahisi unataka huyu mume awe daraja la kufikia hayo mafanikio alafu ulale mbele.
Ukiolewa hakuna malengo yako, ninmalengo ya familia ya yenu (wewe,mumeo na watoto) sio vinginevyo, nje ya hapo ndio migogoro kila siku. Ukitaka hivyo tafuta mume zwazwa
 
Kama fursaya kusomq ipo mnakubaliana na Mr, unaenda tuu,huko vyuoni wako wengi wanasoma kwa njia hizi tu. Mama akifanikiwa kusoma na kupanda vyeo ni faida ya nyumba nzima, fikiria wife kaongeza na kupata masters/ PhD na kuteuliwa kuwa Waziri/Katibu mkuu je baba hapo vipi?
 
Kama fursaya kusomq ipo mnakubaliana na Mr, unaenda tuu,huko vyuoni wako wengi wanasoma kwa njia hizi tu. Mama akifanikiwa kusoma na kupanda vyeo ni faida ya nyumba nzima, fikiria wife kaongeza na kupata masters/ PhD na kuteuliwa kuwa Waziri/Katibu mkuu je baba hapo vipi?
Wazo zuri sanaaaaa hili
 
Back
Top Bottom