Asikudanganye mtu, kuolewa ni kwenda kutimiza ndoto za mwanaume. Which is very understandable, kuwa Mume ndio kichwa cha familia, ndoto zake ni ndoto za familia hivyo anatakiwa kupewa support.
Sasa kwakuwa una ndoto zako, omba Mungu na ujitahidi kuchagua mume ambaye ndoto zake ni pamoja na kutimiza ndoto za mkewe, au ambaye ameshatimiza ndoto zake amebaki kutimiza za wengine, au yuko mwishoni kutimiza ndoto zake.
Ushauri wangu, olewa na mwanamume mkubwa 40+ Mara nyingi hawa wanakuwa wameshafahamu muelekeo wa ndoto zao au wengine wametimiza au wanaelekea kutimiza. In return, mpende, mheshimu and be there for him forever, sio ujipata uanze kusumbua.
Yes, namaanisha kuna watu shida yao pekee duniani iliyobaki ni kupata mtu wa kumpenda tu.