jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Labda kuwainua wadogo zake kiuchumi, mfano mimi nilikuaga na demu wangu sasa yeye alikua na sijui Malengo au uelewa mdogo au Wazazi wake wajinga sasa yeye alikua anafanya kazi Mshahara wake 250k nikashangaa anacheza mchezo ili kumjengea Nyumba Mama yake, na wakati huo Mama yake yupo ndani ya ndoa na Mama nikajifunza kitu ndiyo Maana Wanawake wengi wanajiuza.Una ndoto gani binti ambazo unataka kuzitimiza nje ya ndoa?