Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
๐โโ๏ธ๐ฏ๐๐ ๐๐๐ค๐Lengo kuu kwa maisha ya mwanamke anaye jitambua ni kuolewa na kuwa na familia imara, hayo mengine ni ziada tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐โโ๏ธ๐ฏ๐๐ ๐๐๐ค๐Lengo kuu kwa maisha ya mwanamke anaye jitambua ni kuolewa na kuwa na familia imara, hayo mengine ni ziada tu.
Malengo binafsi.....sio ya ndoa?!Mkuu kwani malengo ya msingi ya mkr katika ndoa ni yapi, sio kuwa mke wa mtu, kuzaa na kulea watoto??
Kama sio hayo si abaki kwa wazazi wake!!!
๐คฃ ๐คฃ ๐คฃSio kweli, kila mtu anamalengo yake tofauti na kuoa au kuolewa , mwanaume mwenye busara husaidia mke wake kufikia malengo yake kama ambavyo mke mwenye busara anavyoweza kufanya tu๐ค
" Hauoni kama ni tatizo" but the reality is harsh ukigonga 30's kwa mwanamke hasa nchi zetu hizi unazidi kujipunguzia sifa ya kuingia ndoani this is the reality.Umri kusogea sioni kama ni ttatizo
Duh" Hauoni kama ni tatizo" but the reality is harsh ukigonga 30's kwa mwanamke hasa nchi zetu hizi unazidi kujipunguzia sifa ya kuingia ndoani this is the reality.
Nadhani hata kwa nchi za wenzetu though huwa hawaliongelei sana ila 18-20's huwa wana soko kubwa la ndoa kuliko 30's -40's .
Mkuu kwenye ndoa hakuna malengo binafsi ya mke, ila malengo ya ndoa chini ya uongozi wa mwanaume; His highness the King!!Malengo binafsi.....sio ya ndoa?!
Acha uchizi we chizi mmojaYas unatoa?
Duvuduvushe vipi kwani?
Ukimuinua akiwa amekaa kitandani au?Ukimuinua mwanamke anakuacha. Usijesema hukuambiwa.
Ni hivi;Habari zenu,
Naomba kuuliza swali:
Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto
Hakuambii kitu ushakwepa mishale mingi mpaka ukimwangalia unatabasamuKwa umri wangu wewe utaniambia nini mkuu nisichokijua?
1. Unadhani wanaofeli kwenye mambo fulani ni wenye umri mdogo pekee?Kwa umri wangu wewe utaniambia nini mkuu nisichokijua?
Mkuu nahitaji kujifunza ila sio kwenye mahusiano , hapo no mkuu๐1. Unadhani wanaofeli kwenye mambo fulani ni wenye umri mdogo pekee?
2. Huoni kwamba hapa duniani kila siku tunajifunza? Hivi huoni kwamba kuna vitu vipo leo (2024) lakini havikuwepo 1973 etc?
3. Kwa mtazamo wangu, wenye imani kama hii, ndo hufeli sana. Na hii hutokana na wao kuamini kwamba WANAJUA KILA KITU, hivyo hawahitaji kujifunza kwa wengine.
Nyani Mzee humwambii kitu anajua kila kitu na mwili umejaa makovu kibao still bado anaishi akianza kukupa historia yake unaishiwa pozi1. Unadhani wanaofeli kwenye mambo fulani ni wenye umri mdogo pekee?
2. Huoni kwamba hapa duniani kila siku tunajifunza? Hivi huoni kwamba kuna vitu vipo leo (2024) lakini havikuwepo 1973 etc?
3. Kwa mtazamo wangu, wenye imani kama hii, ndo hufeli sana. Na hii hutokana na wao kuamini kwamba WANAJUA KILA KITU, hivyo hawahitaji kujifunza kwa wengine.
Sio mishale tu mkuu mpaka missles nishakwepa๐Hakuambii kitu ushakwepa mishale mingi mpaka ukimwangalia unatabasamu
Mabomu ya kutega ardhini pia ushayakwepaSio mishale tu mkuu mpaka missles nishakwepa๐
Kamilisha ndoto sasa ndipo uoleweNdoto yangu kubwa ni kuweza kuwa na uwezo wa kufanikisha chochote nachohitaji kwa wakati nikiwa mahali popote,. hapo nimeunganisha Kila kitu
ShukranKamilisha ndoto sasa ndipo uolewe