Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

I think you should take your time off Internet, concentrate kwenye afya yako...
Nikiachana na kushika simu means nitakua nalala tu mda wote from morning to night which is tiresome 😌
 
Pole kipenzi, majaribu kwa binadamu ni ya kawaida. Ila usikate tamaa wala kujiwazia, mambo mabaya ya mbeleni. Kwa Imani yako omba Mungu, kila kitu kitaenda kuwa sawa. Mungu ni mwema wakati wote.
 
Una shida gani specific?
Yaani ni ugonjwa gani unaofanya hadi macho yaache kuona masikio yazibe
Fafanua labda unaweza kupata msaada...instead of generating fear
Wanasema ni Tinnitus kipenzi
 
Pole sana mkuu kwa magumu unayopitia naamini Ni mapito tu baada Muda fulani kila kitu kitakuwa sawa.

Mungu akufanyie wepesi jamani.
 
Umekopi ama ni wewe? Pole sana
 
Hata mimi ni miongoni mwao isali kwa imani utaona makuu.!!
Ukiweza sali na ya mt Yuda Thadei nayo nzuri.
Ukihitaji muongozo nitafanya kwaajili yako, na nitakuweka kwenye maombi jirani.
Asante jirani,. Niliona mai kuna hadi ya masaa15 ukiachana na hii ya siku 12.. Kama unaifahamu please naomba muongozo🙏
 
Asante jirani,. Niliona mai kuna hadi ya masaa15 ukiachana na hii ya siku 12.. Kama unaifahamu please naomba muongozo🙏
Ipo ndio nitakupa muongozo usijali, hakuna linaloshindikana kwa imani.
 
Nikiachana na kushika simu means nitakua nalala tu mda wote from morning to night which is tiresome 😌
Simu inakufanya uuchoshe ubongo zaidi, wengi wanaambiwa waache kutumia computer na simu janja kwa muda, hasa wenye matatizo yanayoendana na yako. Mfumo wa masikio hauko sawa, huwezi jua connection yake na uono, pumzisha macho hayo...
 
Ipo ndio nitakupa muongozo usijali, hakuna linaloshindikana kwa imani.
Nitashukuru sana maana nilidownload jana nikawa siielewi ikabidi nitumie tu kitabu kusali ya kawaida
 
Simu inakufanya uuchoshe ubongo zaidi, wengi wanaambiwa waache kutumia computer na simu janja kwa muda, hasa wenye matatizo yanayoendana na yako. Mfumo wa masikio hauko sawa, huwezi jua connection yake na uono, pumzisha macho hayo...
Umezungumza kama daktari alivyoniambia,. Yeah ni kweli hata leo from morning sijashika simu ndio nimepatiwa saizi,.. Nitajitahidi Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…