Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #161
Halafu wewe huwa ni kauzu sana ujuagi hata kumtia mtu moyoNani kasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe huwa ni kauzu sana ujuagi hata kumtia mtu moyoNani kasema
Text gani!
Halafu baada ya hapo nifanyejeAcha ujinga unataka hao wengine akaoe nani?
Piga mimba wote acha ubwege
Melancholic chukua huu ushauriMke wako ni huyo wa kwanza ila utakuja kuchapiwa kizembe kwa sababu ya ufwala wako..
Huyo wa pili abakie kuwa mchepuko wako
Huyo wa tatu Ambae ni jirani yako achana naye kwa sababu ni mke wa mtu..hao watoto mapacha usiache kuwapa chochote kama zawadi.
Kwa ushauri zaid waweza nichekiHili la msingi sana mkuu shukran
Hao watoto aishi nao mkuu dada yake aliwachukua muda mrefu sababu mtoto awezi kulea watoto tena wawiliMke wako ni huyo wa kwanza ila utakuja kuchapiwa kizembe kwa sababu ya ufwala wako..
Huyo wa pili abakie kuwa mchepuko wako
Huyo wa tatu Ambae ni jirani yako achana naye kwa sababu ni mke wa mtu..hao watoto mapacha usiache kuwapa chochote kama zawadi.
Nakuja pm mkuuKwa ushauri zaid waweza nicheki
Huo uwezo sina mkuuWaoe wote
Sawa mkuuMelancholic chukua huu ushauri
Tunaweza ata kuchekiana kwenye simuNakuja pm mkuu
Sawa mkuu nitamtafuta ujue niliamua kumpotezea kama wiki hivi bila sababu yani akituma txt sijibu wala niniMelancholic huyo dem mwenye tako usimuache mkuuu utakuja kujuta
Sawa mkuu nipe namba kama hutojaliTunaweza ata kuchekiana kwenye simu
Hata kama lakini sio mke wako huyo achana naye.Hao watoto aishi nao mkuu dada yake aliwachukua muda mrefu sababu mtoto awezi kulea watoto tena wawili
Sawa mkuu so niowe huyu wa kwanzaHata kama lakini sio mke wako huyo achana naye.
Sasa jidaganye kwa kufata nyege zako utakuja kurudi hapa baada ya miaka 9 au 10
Tamaa tu mkuu ni kama ile kujaribu tu unashangaa imo na mbaya zaidi unakuta mtoto yupo seriousLengo la kuwatongoza wote lilikua ni nini?