Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Attachments

  • Screenshot_20250131-222237_1.jpg
    Screenshot_20250131-222237_1.jpg
    101.8 KB · Views: 3
Mke wako ni huyo wa kwanza ila utakuja kuchapiwa kizembe kwa sababu ya ufwala wako..

Huyo wa pili abakie kuwa mchepuko wako
Huyo wa tatu Ambae ni jirani yako achana naye kwa sababu ni mke wa mtu..hao watoto mapacha usiache kuwapa chochote kama zawadi.
 
Mke wako ni huyo wa kwanza ila utakuja kuchapiwa kizembe kwa sababu ya ufwala wako..

Huyo wa pili abakie kuwa mchepuko wako
Huyo wa tatu Ambae ni jirani yako achana naye kwa sababu ni mke wa mtu..hao watoto mapacha usiache kuwapa chochote kama zawadi.
Melancholic chukua huu ushauri
 
Mke wako ni huyo wa kwanza ila utakuja kuchapiwa kizembe kwa sababu ya ufwala wako..

Huyo wa pili abakie kuwa mchepuko wako
Huyo wa tatu Ambae ni jirani yako achana naye kwa sababu ni mke wa mtu..hao watoto mapacha usiache kuwapa chochote kama zawadi.
Hao watoto aishi nao mkuu dada yake aliwachukua muda mrefu sababu mtoto awezi kulea watoto tena wawili
 
Hao watoto aishi nao mkuu dada yake aliwachukua muda mrefu sababu mtoto awezi kulea watoto tena wawili
Hata kama lakini sio mke wako huyo achana naye.
Sasa jidaganye kwa kufata nyege zako utakuja kurudi hapa baada ya miaka 9 au 10
 
Back
Top Bottom