Nisiwanyime taarifa Tarehe 17/06/2022 Ninafungua ndoa na Msweden (Mswidi)

Nisiwanyime taarifa Tarehe 17/06/2022 Ninafungua ndoa na Msweden (Mswidi)

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Habari zenu bwana mko salama ?

Nimewapa taarifa nafurahia sana

Mtoto wa kiswidi ndo kaangukia mikononi mwangu

Atakuwa kamaliza chuo maana wazazi wake walisema mpaka amalize

Upsala University


Karibuni.

Itafanyika Bukoba TANZANIA



1D4244A4-0257-4B7C-B074-D295B791CA12.jpeg

Mungu mwema
707A8AE4-5DB5-4BB6-9796-50E3A8369CF7.jpeg
3AFE85BE-C4C5-4E26-9BD3-FBA4BEBEE34E.jpeg
 
Habari zenu bwana mko salama ?

Nimewapa taarifa nafurahia sana

Mtoto wa kiswidi ndo kaangukia mikononi mwangu

Atakuwa kamaliza chuo maana wazazi wake walisema mpaka amalize

Upsala University


Karibuni.

Itafanyika Bukoba TANZANIA


Mungu mwema
Mkuu ulifanikiwa kukimbia Ukraine?
 
Back
Top Bottom