Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu binafsi nimeskia sana swala la mashabiki kudai wachezaji wetu baadhi waachwe na wengine wabaki .
Ni sawa ..
Lakini shida tunasahau sana na kukurupuka sana bila kukumbuka na kufuatilia kwa umakini .
Well wafuatao yanga tunapaswa kuwaacha ..!
1. Skudu Makudubela
Huyu ni mfanyakazi hewa na hana anachofanya. Sio vibaya akiachwa sababu ni mgeni na nafasi yake ikajazwa na wings mwengine wakigeni au striker kuliko kumuacha musonda, tutaumia.
2. Zawadi Mauya
Katusaidia sana kipindi kile yanga inajitafuta lakini lazima tukubali huyu muda wake umeisha, ameshapewa nafasi sana na ameshindwa kuitumia, amekuja Mkude na amemkuta na ameingia kwenye mfumo
Huyu zawadi yeye bado tu!
Aachwe na nafasi yake tupate kiungo mzawa, kama yule wa coastal Gwalala ooh boy! Hata kagoma anatufaa.
3: Metacha Mnata
Huyu muda wake anaupoteza bure na atafute team nyingine kwa sasa sidhani kama atabaki. Amepewa sana nafasi na kocha lakini tumeishia kuambulia maumivu tu, hafai aende tupate kipa mwengine mzawa wa kumsaidia diarra na msheli. Kipa wa prison yona Amos anafaa sana sidhani kama kuna ugumu kumpata!
5. Joyce Lomalisa Mutambala
Huyu umri umesogea na amekuwa ni injury prone! amechoka kwa sasa! Yeye mwenyewe hataki kuongeza mkataba na ameomba mwishoni wa msimu aende! Sioni sababu ha kubembelezwa aende, uwezo wake pia umeshuka siku nyingi tu katusaidia sana lakini goodbye! Lamine imoro (something like that) anafaa sana na hana team kwa sasa yupo tu kotoko pale kwao Ghana anapasha pasha , tuchukue mali hiyo..!
WA KUBAKI
Kennedy Musonda
Huyu bado tunamuhitaji sana hasa kimataifa , wanaosema aachwe wamepotoka hata Gamondi mwenyewe atawashangaa! Kwa maelezo zaidi aulizwe beki Khuliso Mudau..!
Clement Mzize
Huyu bado ana msaada mkubwa kwetu, itachukua muda kupata mchezaji mzawa kama Mzize. Tukumbuke yeye ametoka mtaani kijiweni (bodaboda) na kwenda straight Yanga! Its not easy boy, hata kama alianza Yanga B bado sio rahisi. Naskia kaongeza mkataba japo sina uhakika
DANGER ZONE (WA KUJITAFAKARI)
1. Kibwana Shomari
Bwana mdogo akaze sana sana, upande wake mgumu sana .
Kama hata pengo la yao lilizibwa na Fred ambaye wore tunajua ni CB basi ni warning sign kwa kibwana , akaze sana hasa mazoezini nadhani jeraha lake alishapona..
2; Gift Fred
Huyu naye kwa sasa angalau amekuwa akipata nafasi kama beki wa kulia lakini yeye siyo RB Bali aliletwa kama CB , kwahiyo ajitafakari Licha ya kwamba upande ule wa kulia aliziba vizuri sana wakati wa pengo ..
3; FARID MUSSA MALICK
Kipenzi cha wanayanga kwa sasa amepotea! Kipenzi cha Nabi kwa sasa amepotea kwenye zama za Gamondi!
Nadhani quality ya kikosi ndiyo inamuhukumu kijana! Faridi ajitahidi vinginevyo itakuwa ngumu kumvumilia sana pale Yanga.
4; BAKARI NONDO MWAMNYETO
Ndiyo huyu naye amekuwa akifanya makosa ya Mara kwa Mara Captain wetu amekuwa mzito kwenye maamuzi sehemu za hatari, Kiwango chake kimekuwa cha kutabirika sana. Haishangazi sana kwa sasa Job na Bacca wakicheza Mara nyingi dhidi yake.!
Ushahidi mzuri kwa siku za hivi karibuni ni match ya juzi dhidi ya Simba, captain alizembea kwa kweli na kusababisha goli.
Its Pancho
Ni sawa ..
Lakini shida tunasahau sana na kukurupuka sana bila kukumbuka na kufuatilia kwa umakini .
Well wafuatao yanga tunapaswa kuwaacha ..!
1. Skudu Makudubela
Huyu ni mfanyakazi hewa na hana anachofanya. Sio vibaya akiachwa sababu ni mgeni na nafasi yake ikajazwa na wings mwengine wakigeni au striker kuliko kumuacha musonda, tutaumia.
2. Zawadi Mauya
Katusaidia sana kipindi kile yanga inajitafuta lakini lazima tukubali huyu muda wake umeisha, ameshapewa nafasi sana na ameshindwa kuitumia, amekuja Mkude na amemkuta na ameingia kwenye mfumo
Huyu zawadi yeye bado tu!
Aachwe na nafasi yake tupate kiungo mzawa, kama yule wa coastal Gwalala ooh boy! Hata kagoma anatufaa.
3: Metacha Mnata
Huyu muda wake anaupoteza bure na atafute team nyingine kwa sasa sidhani kama atabaki. Amepewa sana nafasi na kocha lakini tumeishia kuambulia maumivu tu, hafai aende tupate kipa mwengine mzawa wa kumsaidia diarra na msheli. Kipa wa prison yona Amos anafaa sana sidhani kama kuna ugumu kumpata!
5. Joyce Lomalisa Mutambala
Huyu umri umesogea na amekuwa ni injury prone! amechoka kwa sasa! Yeye mwenyewe hataki kuongeza mkataba na ameomba mwishoni wa msimu aende! Sioni sababu ha kubembelezwa aende, uwezo wake pia umeshuka siku nyingi tu katusaidia sana lakini goodbye! Lamine imoro (something like that) anafaa sana na hana team kwa sasa yupo tu kotoko pale kwao Ghana anapasha pasha , tuchukue mali hiyo..!
WA KUBAKI
Kennedy Musonda
Huyu bado tunamuhitaji sana hasa kimataifa , wanaosema aachwe wamepotoka hata Gamondi mwenyewe atawashangaa! Kwa maelezo zaidi aulizwe beki Khuliso Mudau..!
Clement Mzize
Huyu bado ana msaada mkubwa kwetu, itachukua muda kupata mchezaji mzawa kama Mzize. Tukumbuke yeye ametoka mtaani kijiweni (bodaboda) na kwenda straight Yanga! Its not easy boy, hata kama alianza Yanga B bado sio rahisi. Naskia kaongeza mkataba japo sina uhakika
DANGER ZONE (WA KUJITAFAKARI)
1. Kibwana Shomari
Bwana mdogo akaze sana sana, upande wake mgumu sana .
Kama hata pengo la yao lilizibwa na Fred ambaye wore tunajua ni CB basi ni warning sign kwa kibwana , akaze sana hasa mazoezini nadhani jeraha lake alishapona..
2; Gift Fred
Huyu naye kwa sasa angalau amekuwa akipata nafasi kama beki wa kulia lakini yeye siyo RB Bali aliletwa kama CB , kwahiyo ajitafakari Licha ya kwamba upande ule wa kulia aliziba vizuri sana wakati wa pengo ..
3; FARID MUSSA MALICK
Kipenzi cha wanayanga kwa sasa amepotea! Kipenzi cha Nabi kwa sasa amepotea kwenye zama za Gamondi!
Nadhani quality ya kikosi ndiyo inamuhukumu kijana! Faridi ajitahidi vinginevyo itakuwa ngumu kumvumilia sana pale Yanga.
4; BAKARI NONDO MWAMNYETO
Ndiyo huyu naye amekuwa akifanya makosa ya Mara kwa Mara Captain wetu amekuwa mzito kwenye maamuzi sehemu za hatari, Kiwango chake kimekuwa cha kutabirika sana. Haishangazi sana kwa sasa Job na Bacca wakicheza Mara nyingi dhidi yake.!
Ushahidi mzuri kwa siku za hivi karibuni ni match ya juzi dhidi ya Simba, captain alizembea kwa kweli na kusababisha goli.
Its Pancho