Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Nitashangaa Skudu akiendelea kubaki Yanga msimu ujao.Jezi no.6 apewe Pacome.
Metacha Mnata hatakiwi tena kuendelea kuwa mchezaji wa Yanga.
Denis Nkane ni mchezaji wa timu ndogo,hana mentality ya kupigania namba timu kubwa.
Zawadi Mauya namkubali sana but imekuwa bahati mbaya hajaweza kukidhi mahitaji ya Yanga.
Kama itatokea timu nje ya nchi na kumuhitaji Nondo napendekeza auzwe.Sivyo,basi abaki lakini bila kuwa regular starter kama ilivyo sasa.Ana makosa mengi ya hatari ingawa ndo beki anayeweza kupiga pasi zenye macho zinazo vuka mstari wa ulinzi.Pia anauwezo wa kukokota mpira umbali mrefu.
Lomalisa pia no problem akiondoka.Ameshatumika sana nadhani pia umri unafanya aumie mara kwa mara.
Metacha Mnata hatakiwi tena kuendelea kuwa mchezaji wa Yanga.
Denis Nkane ni mchezaji wa timu ndogo,hana mentality ya kupigania namba timu kubwa.
Zawadi Mauya namkubali sana but imekuwa bahati mbaya hajaweza kukidhi mahitaji ya Yanga.
Kama itatokea timu nje ya nchi na kumuhitaji Nondo napendekeza auzwe.Sivyo,basi abaki lakini bila kuwa regular starter kama ilivyo sasa.Ana makosa mengi ya hatari ingawa ndo beki anayeweza kupiga pasi zenye macho zinazo vuka mstari wa ulinzi.Pia anauwezo wa kukokota mpira umbali mrefu.
Lomalisa pia no problem akiondoka.Ameshatumika sana nadhani pia umri unafanya aumie mara kwa mara.