Sasa, club imemwachaje amalizwe na hizo nyapu?!Hahahahaha pacome anasindikizwa hadi bank na nyapu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa, club imemwachaje amalizwe na hizo nyapu?!Hahahahaha pacome anasindikizwa hadi bank na nyapu
Uchambuzi wako uko vizuri. Umemsahau na Denis Nkane. Huyu dogo angepelekwa kwa mkopo timu nyingine ili kujiimarisha zaidi. Kwa sasa anaelekea kusahaulika pale Jangwani.
Mechi ya kwanza ya derby Pacome ndio aliibeba mechi yote, tusingezungumza goli 5 hapa bila yeye.
Mechi ya pili ni Aziz Ki, Mzize ana mchango ila sio kama hao wawili niliowataja.
Mbususu siyo ya kuichukulia poa Aziz Ki kakataa kwenda kwa Madiba Club kubwa kaongeza mkataba siyo kwa mapenzi ya Yanga bali Mbususu ...Huyo anaempa mbususu Aziz K awepe heshima yake ndio maana jamaa katuliza wenge ana score bila papara
Muda anazingua sn zile game alizofanya vizuri ulikuwa ni upepo tu lkn hana consistence uwanjani.Hapana, Muda abaki.
Kuna wakati huwa analikamata dimba la katikati pale na ni king’ang’anizi kwelikweli. Na anakupa faida nyingine analijua goli.
Maxi pia anao huo ujinga wa kukaa na mpira mpaka unachukuliwa sema yeye angalau huwa anabadilika.Kuna siku mbaya kazini inatokea kwa binadamu wote.
Siku ile ilitokea kwa Mudathir.
Hayo ni maoni yangu muda ana ujinga mwingi uwanjani.[emoji1787]Mkuu usichekeshe umma!
Muda ana mchango mkubwa jangwani
Bado tunamuhitaji..! Kama kuondoka ataondoka ila sio SASA!!
Jonas ni shabiki wa Yanga lia lia na sasa hivi tayari ameshaingia kwenye mfumo wa kocha.Wachezaji wa kuondoshwa haraka Yanga bila kujali na sitatoa sababu ni Jonas Mkude pamoja na Lomalisa Mutambala.
Jonas ni kirusi, hafai kubaki la sivyo tutakuja kulaumiana.
Kirusi kivipi Nifah ndg yangu?Wachezaji wa kuondoshwa haraka Yanga bila kujali na sitatoa sababu ni Jonas Mkude pamoja na Lomalisa Mutambala.
Jonas ni kirusi, hafai kubaki la sivyo tutakuja kulaumiana.
Mkude ni shabiki wa Yanga lia lia na ndoto zake siku zote ilikuwa ni kuchezea timu yake pendwa ya Yanga kama ilivyo kuwa kwa Athumani China ambae ndoto yake ilikuwa ni kuchezea timu yake pendwa( Simba) ingawa alifanya vizuri sana na Yanga kwa muda mrefu au kama.ilivyo kuwa kwa Mohamed Mwameja ambae licha ya kucheza Simba aka mafanikio lakini yeye ni shabiki lia lia wa Yanga alie kuwa na ndoto za kuchezea Yanga ambapo mwaka 93 alisaini Yanga ukatokea mgogoro mkubwa sana ndani ya Simba nusra ya watu kuchinjana hadi pals Hayati Mzee Mwinyi alipoingilia kati na kusema Mwameja abaki kwenye timu aliyo kuwa anaichezea.Hamkunisoma vizuri, zingatieni neno kirusi.
Yule Mwananchi na alikuwa anasema one day lazima akipige Yanga.Mkude kiasili ni Yanga, ndio maana namuuliza bibie sababu ni ipi?
Unachambuaje mpira Kwa kutumia kibao chambuzi?Wachezaji wa kuachwa kutokana na viwango vyao kutoridhisha ni Skudu, Kibwana, Mauya, Sureboy (Namkubali sana lakini aende), Mzize yani huyu ndio sitaki hata kumsikia.
Nkane pia atuache imetosha.
Wa kujirekebisha ni
1. Mwamnyeto (Huyu namkubali mno ila wenge limezidi, atatugharimu at this rate)
2. Musonda, siku hizi anajitahidi ila hayuko aggressive kama stiker, aongeze juhudi.
3. Kibabage, hana utulivu. Aache kutafuta sifa binafsi acheze kama timu, huku mwishoni naona kajirekebisha kiasi.
Lete ubuyu wake basi mkuu?Wachezaji wa kuondoshwa haraka Yanga bila kujali na sitatoa sababu ni Jonas Mkude pamoja na Lomalisa Mutambala.
Jonas ni kirusi, hafai kubaki la sivyo tutakuja kulaumiana.
Hahaaa acha madharau basi.Dogo umeshamaliza kulisha mifugo kwa anko basi ni kutoa uchaa-mbuzi uchwara😎
Gnadou GuedeYote tisa, kumi tunataka striker wa magoli wa kumziba nafasi ya Mayele, Pengo bado lipo.
Aziz NI kiungo lakini ndio anaongoza Kwa magoli maana yake hakuna striker wa magoli.
Huyu huyu mliyekua mna mpambaa? [emoji23][emoji23][emoji23]Wachezaji wa kuondoshwa haraka Yanga bila kujali na sitatoa sababu ni Jonas Mkude pamoja na Lomalisa Mutambala.
Jonas ni kirusi, hafai kubaki la sivyo tutakuja kulaumiana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzize hana hadhi ya kucheza Yanga tokea msimu unaanza niliwaambia mkaniita hater.
Kama sio upumbavu wake saa hizi tungekuwa tumeshacheza nusu fainali ya kwanza na Esperance, lile goli la Aziz wala lisingetuuma kihivyo maana hapa nyumbani tu tungeshinda 2.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana sitaki kumsikia jamaa. Ni kama Musonda alivyotunyima Kombe la shirikisho kule Algeria kwa uchoyo wake. Angempa pasi Mayele kombe lingekuwa jangwani pale.
Na nzengeli nae anataka kujiweka kwa DA N, [emoji23][emoji23][emoji23]Aziz huyuhuyu aliyeletewa maua akalia? Nikwambie tu anatoka na mwanamke ambaye ni rafiki na yule Karen anayetoka na Pacome.