Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nipo Ndugu Yangu Tulikuwa Tunapambana Kuweka Bango Usiku Kucha Pale Fire😂😂Mkuu upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Ndugu Yangu Tulikuwa Tunapambana Kuweka Bango Usiku Kucha Pale Fire😂😂Mkuu upo?
Hapa JF wewe jimwage tu, kama ni ushabiki Mkude siyo Simba, weakness yake ni pombe au kuna lingine?Hamkunisoma vizuri, zingatieni neno kirusi.
Hahahahaha Mutambala apunguze bata .Wachezaji wa kuondoshwa haraka Yanga bila kujali na sitatoa sababu ni Jonas Mkude pamoja na Lomalisa Mutambala.
Jonas ni kirusi, hafai kubaki la sivyo tutakuja kulaumiana.
Mzize hana hadhi ya kucheza Yanga tokea msimu unaanza niliwaambia mkaniita hater.Mzize Aendelee Kuwepo Ana Improve Kwa Kasi.
Mkude hata mm nataka kumtetea kdg ila huwezi kujua mtu ana taarifa zipiMkude kiasili ni Yanga, ndio maana namuuliza bibie sababu ni ipi?
Mbona sijaona picha Mkuu?Nipo Ndugu Yangu Tulikuwa Tunapambana Kuweka Bango Usiku Kucha Pale Fire😂😂
Watu wabaya nyieNipo Ndugu Yangu Tulikuwa Tunapambana Kuweka Bango Usiku Kucha Pale Fire😂😂
JF hapa huna sababu ya kuficha, aweke mambo hadharani ili tujiridhishe wote, sidhani kama hiyo inapaswa kuwa Siri.Mkude hata mm nataka kumtetea kdg ila huwezi kujua mtu ana taarifa zipi
Mbona sijaona picha Mkuu?
Bata kweli jamaa anakula sana na anapenda mizigo hatari. LolsHahahahaha Mutambala apunguze bata .
Huyu huwa namuonaga mitaa fulani ya bata usiku mkubwa ingawa anajifichaga na kofia ila lile chimbo sio kbs ..kaja kuona kwa dada wa USBaya kweli jamaa anakula sana na anapenda mizigo hatari. Lols
Ila sasa kuna michezo ameianza sio poa, uzuri Hersi huwa hacheki na virusi atawaondosha wote.
Mkuu Mimi nadhani tumpime kwa kiwango chake mbona kinaridhisha?Mkude hata mm nataka kumtetea kdg ila huwezi kujua mtu ana taarifa zipi
Binafsi napenda azitaje.. jpili nilimuona sehemu alikua kawaida tuJF hapa huna sababu ya kuficha, aweke mambo hadharani ili tujiridhishe wote, sidhani kama hiyo inapaswa kuwa Siri.
Kwani dada wa US alisemaje kuhusu yeye? Maana niliona tu kachafua hewa sijui kachafua vipi.Huyu huwa namuonaga mitaa fulani ya bata usiku mkubwa ingawa anajifichaga na kofia ila lile chimbo sio kbs ..kaja kuona kwa dada wa US
Dogo tulia hapa maghorofaniDogo umeshamaliza kulisha mifugo kwa anko basi ni kutoa uchaa-mbuzi uchwara😎
Hahahahaha pacome anasindikizwa hadi bank na nyapuMkuu Mimi nadhani tumpime kwa kiwango chake mbona kinaridhisha?
Lomalisa iko wazi hatobaki yule na hata pacome naye kavamia bata sana na nyapu za watoto wa dar
Nami niliona siko ktk app yake niliona mtu aliweka kwa group wasap kuwa kuna connection yake ila siijuiKwani dada wa US alisemaje kuhusu yeye? Maana niliona tu kachafua hewa sijui kachafua vipi.
Kazi ya mchezaji uwanjani ndio tutakayo muhukumu nayo.Hahahahaha pacome anasindikizwa hadi bank na nyapu
Eeeh bwana eeh! Jamaa kafeli sana kama ndio hivyo.Nami niliona siko ktk app yake niliona mtu aliweka kwa group wasap kuwa kuna connection yake ila siijui