Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

Dogo tulia hapa maghorofani
Usimulie Tom and jerry na game of throne kisha ukale chips
FB_IMG_17136346982223666.jpg
 
Kwa maoni yangu mimi,
Wachezaji wa kuondolewa pale ni hawa wafuatao,
1. Sureboy
2. Mauya
3. Skudu
4. Kibwana
5. Kibabage (huyu wenge ni kubwa sana)
6. Metacha( yaani huyu ndo hafai kabisa)
7. Farid
8. Nkane
9. Lomalisa

Wachezaji ambao nadhani tuwape muda ni hawa wafuatao;-
1. Mzize
2. Mwamnyeto
3.Guede
4. Musonda

Wachezaji wa ndani wa kuwaleta msimu ujao pale Jangwani ni hawa;-
1. Yahaya Mbegu
2. Awesu Awesu
3. Lameck Lawi
4. Kelvin Kijili
5. Matheo Anthony
 
Mzize hana hadhi ya kucheza Yanga tokea msimu unaanza niliwaambia mkaniita hater.

Kama sio upumbavu wake saa hizi tungekuwa tumeshacheza nusu fainali ya kwanza na Esperance, lile goli la Aziz wala lisingetuuma kihivyo maana hapa nyumbani tu tungeshinda 2.
Angekua Guede lile lilikua goli
 
Mkuu Mimi nadhani tumpime kwa kiwango chake mbona kinaridhisha?

Lomalisa iko wazi hatobaki yule na hata pacome naye kavamia bata sana na nyapu za watoto wa dar
Pacome nyapu ndo zinampelekesha saivi, kavamia wadada ambao Baraka de Prince na u star wake wote aliwafanya michepuko, yeye anazipapalikia.
 
Kwa maoni yangu mimi,
Wachezaji wa kuondolewa pale ni hawa wafuatao,
1. Sureboy
2. Mauya
3. Skudu
4. Kibwana
5. Kibabage (huyu wenge ni kubwa sana)
6. Metacha( yaani huyu ndo hafai kabisa)
7. Farid
8. Nkane
9. Lomalisa

Wachezaji ambao nadhani tuwape muda ni hawa wafuatao;-
1. Mzize
2. Mwamnyeto
3.Guede
4. Musonda

Wachezaji wa ndani wa kuwaleta msimu ujao pale Jangwani ni hawa;-
1. Yahaya Mbegu
2. Awesu Awesu
3. Lameck Lawi
4. Kelvin Kijili
5. Matheo Anthony
Mkuu
Kijiri na kibabage Mimi sioni tofauti yao labda useme nafasi ya kibwana akae kijiri ila kibabage bado tunamuhitaji ana chumba cha kubadilika
Kumbuka Joyce atasepa so tunabaki na beki LB mmoja kibabage kaingia kwenye system

So tunapoleta mwengine inamaana anaweza kufeli .
Akienda kibabage na lomalisa kwa pamoja hapo tutakuwa tumejiumiza wenyewe

Awesu yule ni mchezaji wa team ndogo alikuwepo azam alishindwa
 
Pacome nyapu ndo zinampelekesha saivi, kavamia wadada ambao Baraka de Prince na u star wake wote aliwafanya michepuko, yeye anazipapalikia.
Daah au hamuoni mwenzie Aziz ki?

Itabidi apunguze au ale na uwanjani afanye kweli? Shida ni mgeni ndiyo maana
 
Mkuu
Kijiri na kibabage Mimi sioni tofauti yao labda useme nafasi ya kibwana akae kijiri ila kibabage bado tunamuhitaji ana chumba cha kubadilika
Kumbuka Joyce atasepa so tunabaki na beki LB mmoja kibabage kaingia kwenye system

So tunapoleta mwengine inamaana anaweza kufeli .
Akienda kibabage na lomalisa kwa pamoja hapo tutakuwa tumejiumiza wenyewe

Awesu yule ni mchezaji wa team ndogo alikuwepo azam alishindwa
Awesu alikuwa Azam ambayo haikuwa na pressure na matokeo. Awesu mbele ya mashabiki 60k kwa mkapa, utamuona Tony kloos kwa macho yako mawili kabisa, bonge la mchezaji.
Kibabage ni mnyama pure na hata mwisho wa msimu huu tegemea chochote maana mkataba wake na Yanga kwa mkopo unaisha. Kijili ni bonge la FB, za ndaani kabisa Azam na Simba wanamgombania, tumuwahi kabla hajapepea.
 
Mzize hana hadhi ya kucheza Yanga tokea msimu unaanza niliwaambia mkaniita hater.

Kama sio upumbavu wake saa hizi tungekuwa tumeshacheza nusu fainali ya kwanza na Esperance, lile goli la Aziz wala lisingetuuma kihivyo maana hapa nyumbani tu tungeshinda 2.
Unaongea kama vile Mzinze mchezaji mzoefu.
Tumpe game time apate uzoefu.
Guede ni mzoefu huwezi kumuweka daraja moja na yule kijana mdogo.
 
Mkuu, striker anakamua bila goli?
Unamjua Bobby Firmino? Unaijua False No: 9?
Alikuwa anafanya kazi gani pale Liverpool?
Siyo kila No:9 lazima afunge goal nyingi anaweza kuchezea kama linkup player anarudi nyuma anachukua Mali anasumbua viungo na beki pinzani anasababisha wapinzani wasikae kwenye nafasi sahihi anatoa pasi za magoli.

Gamond alikuwa anaongea na mtangazaji flani mbongo akamwambia yeye hatafuti striker wa magoli anataka striker wa kazi nilizosema hapo juu.
 
Skudu bado hajapata muda vizuri abaki, Faridi mussa abaki

Wa kuondoka metacha may be mauya , Kibwana ajitahidi kazini kwake kuna kazi kama anavyosema yeye, captain NONDO wa kufikiriwa
 
Unaongea kama vile Mzinze mchezaji mzoefu.
Tumpe apate uzoefu.
Guede ni mzoefu huwezi kumuweka daraja moja na yule kijana mdogo.
Yanga sio chuo cha malezi, ndio maana nimesema hana hadhi ya kucheza Yanga. Tunahitaji wachezaji wa kuleta mchango wa makombe kwenye timu.

Unafikiri angekuwa Mayele pale si tungekuwa nusu fainali?
 
Aziz huyuhuyu aliyeletewa maua akalia? Nikwambie tu anatoka na mwanamke ambaye ni rafiki na yule Karen anayetoka na Pacome.
Waganga wa kienyeji wateja wao wakubwa ni wanawake.

Kuna limbwata la kihaya linaitwa Shuntama, mwanaume akipigwa hilo kwishaa habari yake.

Huyo Stephanie Aziz Ki kama uwanjani anatupa matokeo huko mtaani wacha dada zetu wawakung'utishe tu kuongeza mzunguko wa pesa.
 
Back
Top Bottom