Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

Nitashangaa Skudu akiendelea kubaki Yanga msimu ujao.Jezi no.6 apewe Pacome.

Metacha Mnata hatakiwi tena kuendelea kuwa mchezaji wa Yanga.

Denis Nkane ni mchezaji wa timu ndogo,hana mentality ya kupigania namba timu kubwa.

Zawadi Mauya namkubali sana but imekuwa bahati mbaya hajaweza kukidhi mahitaji ya Yanga.

Kama itatokea timu nje ya nchi na kumuhitaji Nondo napendekeza auzwe.Sivyo,basi abaki lakini bila kuwa regular starter kama ilivyo sasa.Ana makosa mengi ya hatari ingawa ndo beki anayeweza kupiga pasi zenye macho zinazo vuka mstari wa ulinzi.Pia anauwezo wa kukokota mpira umbali mrefu.

Lomalisa pia no problem akiondoka.Ameshatumika sana nadhani pia umri unafanya aumie mara kwa mara.
 
Mzize unanikosea sana bibie hakuna striker mzawa zaidi ya Mzize hapa Tanzania
 

Yanga sio chuo cha malezi, ndio maana nimesema hana hadhi ya kucheza Yanga. Tunahitaji wachezaji wa kuleta mchango wa makombe kwenye timu.

Unafikiri angekuwa Mayele pale si tungekuwa nusu fainali?
Tunakumbushana tu.
Sasa Mzinze anatakiwa Wydad Casablanca na Kaizer Chiefs kwa bei gani?
Umemuona kijana fainal ya ngao ya jamii na mechi ya CAF CL dhidi ya Vital O?

View: https://youtu.be/BuTeLHQniS8?si=5nOTnjunPigAZ8vlCC: Kosugi ngara23 Its Pancho Dr Matola PhD
 
Katika hii list, Simba alipita na watatu, haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…