Habari wana JamiiForums, poleni sana na majukumu ya hapa na pale.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimetokea sana kuvutiwa na kulipenda gari aina ya Nissan Dualis lakini sina information za kutosha husu ili gari so nimeonelea nije apa kwa wadau mana najua humu ndani kuna fani za aina mbalimbali na pia wapo ambao wanalitumia, washalitumia na wana details za kutosha kuhusu hii gari.
Ninachotaka kufaham ni:-
1- Ulaji wa mafuta ukoje,
2- uimara wa gari,
3- Engine ya gari inasumbua ama ikovizuri,
4- upatikanaji wa vipuri ukoje.
Karibuni sana wadau.