Na ukijaribishaa magari tofauti na mjapanii hutojutiaa...Kweli kabisa atamimi nipo rafiki yangu alinunua kampuni tofauti na Toyota paka leo unaenda mwaka wa 6 hajawahi kubadilisha spear zaidi ya service ya kumwaga oil
Ahsante sana ngoja nifanye mchakatoNa ukijaribishaa magari tofauti na mjapanii hutojutiaa...
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]Humu uliza habari za ist, passo, spacio nk utapelekwa mpaka nyumbani kuonyeshwa
Kama umewahi kumiliki Nissan x trail, hii dualis wala isikutishe....
Habari wana JamiiForums, poleni sana na majukumu ya hapa na pale.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimetokea sana kuvutiwa na kulipenda gari aina ya Nissan Dualis lakini sina information za kutosha husu ili gari so nimeonelea nije apa kwa wadau mana najua humu ndani kuna fani za aina mbalimbali na pia wapo ambao wanalitumia, washalitumia na wana details za kutosha kuhusu hii gari.
Ninachotaka kufaham ni:-
1- Ulaji wa mafuta ukoje,
2- uimara wa gari,
3- Engine ya gari inasumbua ama ikovizuri,
4- upatikanaji wa vipuri ukoje.
Karibuni sana wadau.
General conclusion,Toyota ARV4?
Nina RAV4 kilitime tangu mwaka 2008 bado sijajutia.Pia nina Nissan Serena tangu mwaka 2015 nimebadilisha hydrolic (4l kwa 200,000) mara moja tu,mbali na oil sijagusa kingine chochote
Tofautisha...Nissan ni kama simu za samsung, hizo ni gari za kiduwanzi sana ukinunua leo baada ya mwezi utakuja kuuza robo bei. Hiyo dualis mwaka jana ilikua ni milioni 23 -28 milioni, Nissan Qashqai iilikua 34-38 soko la leo ukiagiza japan mpaka kuiingiza barabarani dualis ni 12-14 milioni Qashqai ni 18M-20M. Extrail mpaka milioni 8 unapata kudaadeki gari gan hizo? Bado service yake ni gharama sana.
Mkuu naongea kwa uzoefu. Wakati nimenunua gari yangu ambayo sio toyota, watu walinishangaa sana.. kuna jamaa alidiriki kunifata kabisa akaniambia aisee umeingia choo cha kike! Akaniambia hiyo sio gari bora ungenunua (akanitajia rundo la magari ya toyota).
Huu ni mwaka wa tano unaenda, gari haijawahi kusumbua chochote cha ajabu, spea nikifunga mara moja nasahau na nimeapa katika maisha yangu sitakuja kununua toyota! Kilichonifurahisha zaidi yule jamaa alienisimanga, yeye alinunua ARV4 ambayo tangu ainunue yenyewe inaishi gereji kila siku anagongea usafiri kwangu.
Kumbuka pia gari ni Asset... sasa unapochukua gari ya milion 35 alafu baada ya mwaka huwezi kuiuza japo hata kwa nusu bei.. inaleta frustration aisee . ILa kama ni la Pensheni after 30+ years of service ni sawa tu hahah
Uko sawa mkuu...Kumbuka pia gari ni Asset... sasa unapochukua gari ya milion 35 alafu baada ya mwaka huwezi kuiuza japo hata kwa nusu bei.. inaleta frustration aisee . ILa kama ni la Pensheni after 30+ years of service ni sawa tu hahah
Unanunua gari ili uuze au utumie? Kuna wanaokaa na magari miaka hata 8.Kumbuka pia gari ni Asset... sasa unapochukua gari ya milion 35 alafu baada ya mwaka huwezi kuiuza japo hata kwa nusu bei.. inaleta frustration aisee . ILa kama ni la Pensheni after 30+ years of service ni sawa tu hahah
Kama nimeandika pumba sawa nunua nissan lakn ukija na uzi unalialia kwamba unaiuza humu na hupati wateja sisi tutaupita tu kama tunakanyaga mashimo hakuna atakae kua na interest nayo by the wayNdio nini umeandika hiki!?
π π π Za uvunguniKama umewahi kumiliki Nissan x trail, hii dualis wala isikutishe....
Japanese vehicles zinavaliana spea nyingi sana za hususani spea za sehemu za siri...
Unanunua gari ili uje uuze. Umaskini tabuNissan ni kama simu za samsung, hizo ni gari za kiduwanzi sana ukinunua leo baada ya mwezi utakuja kuuza robo bei. Hiyo dualis mwaka jana ilikua ni milioni 23 -28 milioni, Nissan Qashqai iilikua 34-38 soko la leo ukiagiza japan mpaka kuiingiza barabarani dualis ni 12-14 milioni Qashqai ni 18M-20M. Extrail mpaka milioni 8 unapata kudaadeki gari gan hizo? Bado service yake ni gharama sana.
Vitu vingi tunanunua kwa matumizi binafsi ila kama hujawai kuuza kitu chako hata kimoja iwe ni kiwanja, electronics, mavazi, au furniture and etc basi hongera Mkuu ndugu na ntakubali hiyo *hukumu ya kichwa changu*.Unanunua gari ili uuze au utumie? Kuna wanaokaa na magari miaka hata 8.
Kichwa chako kiko sawa?
ni kweli Mkuu sema njaa hainaga hodi si unajua watu waliokua na mipunga yao before 2015 wakaja kusombwa na vyeti feki saivi wapo mtaani wanatuuzia maziwa mtindi na waliokua na toyota zao ziliwasave kipindi kile cha mpito na wengine bado zinawasave mpaka sasa hasa waliokua Toyota Noah.Uko sawa mkuu...
Ila mpaka mtu awe na uwezo wa kununua gari la 35m nadhani huyu hana njaa ya kununua na kuuza....[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio namwelewesha huyu gari ni asset kubwa inayotakiwa kukusave kiasi flani utakapokua na need for quick money.Mwambie huyo jamaa maana hajawaza interms of monetary value. Anawaza gari kama gari. Gari lazma iwe na resale value kubwa na ndo thamani ya gari inavyo pimwa. Kwenye post yangu Nilitoa mfano wasimu Leo iphone X lazma ununue kwa milioni moja laki tatu na Samsung note 9 note 8 hata kwa laki 3 unapata wakati simu zote zilitoka kipindi kimoja kwa bei linganifu. Leo toyota ist inathamani kubwa kuliko nissan xtrail pamoja na ukubwa wote ule, ist haiji kushuka thamani. When you choose a car angalia market value
Sina biashara ya kuuza magari, likichoka nagawaKama nimeandika pumba sawa nunua nissan lakn ukija na uzi unalialia kwamba unaiuza humu na hupati wateja sisi tutaupita tu kama tunakanyaga mashimo hakuna atakae kua na interest nayo by the way
Ni kweli mkuu njaa haina baunsa...ila kuna kitu kinaitwa mahaba...[emoji38][emoji13][emoji13][emoji38]..na mali zangu nilizowahi kuuza ni laptop moja tu..ni kweli Mkuu sema njaa hainaga hodi si unajua watu waliokua na mipunga yao before 2015 wakaja kusombwa na vyeti feki saivi wapo mtaani wanatuuzia maziwa mtindi na waliokua na toyota zao ziliwasave kipindi kile cha mpito na wengine bado zinawasave mpaka sasa hasa waliokua Toyota Noah.
Nissan ni kama simu za samsung, hizo ni gari za kiduwanzi sana ukinunua leo baada ya mwezi utakuja kuuza robo bei. Hiyo dualis mwaka jana ilikua ni milioni 23 -28 milioni, Nissan Qashqai iilikua 34-38 soko la leo ukiagiza japan mpaka kuiingiza barabarani dualis ni 12-14 milioni Qashqai ni 18M-20M. Extrail mpaka milioni 8 unapata kudaadeki gari gan hizo? Bado service yake ni gharama sana.