[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayor wa NissanVille hauwezi kukubali brand yetu ichafuliwe kizembe......Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
[emoji3][emoji3][emoji3]Kama wewe ni fukara usinunue Nissan Dualis kwa sababu utachakaa zaidi!
Haijarishi ni brand gani, ubovu upo tu kwenye magari ya brand zote.Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
Nissan ni kama simu za samsung, hizo ni gari za kiduwanzi sana ukinunua leo baada ya mwezi utakuja kuuza robo bei. Hiyo dualis mwaka jana ilikua ni milioni 23 -28 milioni, Nissan Qashqai iilikua 34-38 soko la leo ukiagiza japan mpaka kuiingiza barabarani dualis ni 12-14 milioni Qashqai ni 18M-20M. Extrail mpaka milioni 8 unapata kudaadeki gari gan hizo? Bado service yake ni gharama sana.
..u'r welcomeHaya asante mwanachi kutoka kijiji cha Nissanians.....
Nitapigana mpaka tone la mwisho...kuitetea Nissan..[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayor wa NissanVille hauwezi kukubali brand yetu ichafuliwe kizembe......
Nissan iko overrated.
Nakumbuka wakati Nissan Xtrail zinaanza kuingia Tz ilionekana kama zingekuwa mshindani au mbadala wa Toyota Prado, kilichotokea sote tunakijua, leo hii sokoni Xtrail inashindana na Toyota IST !
Vivo hivyo kwa Nissan Morano, zilionekana labda zingeweza kuiondoa Toyota Prado sokoni, lakini wapi, hata kuiondoa Toyota Kluger au Harrier imekuwa haiwezekani.
Ukija kwa Nissan Dualis vivyo hivyo utadhani ingeitoa new model ya Rav4 au Escudo sokoni, lakini wapi, hakuna kitu. Mambo ni yale yale.
Nimepata jibu ya Tatizo la Murano yangu nimepaki mwaka wa 2 sasaSasa mimi ni mpenzi mkubwa wa Nissan, tema Murano. Ninaimiliki ila imenitesa sana sio kidogo ila imekuja kutulia hadi nashangaa.
Ipo hv, nilipoinunua hii gari sikupata shida. Siku moja nikampa fundi anifanyie service ya oil ya gear box na Engine. Fundi akanunua oil ya Puma(manjis Arusha) badala ya Matic J(Murano inatumia matic). Akaweka hiyo oil na mimi sikujua. Baada ya kama mwezi mmoja tu gia ya rivers ikaanza kuwa haikubali gari ikipata moto. Yani ilianza kelele hapo. Mimi sikujua shida ni nini. Gari ilinisumbua sana kama miezi 4-6 nateseka tu. Mara ikaanza kuwa inazima tu yenyewe, mara inaua coil, mara betri inakufa kwa muda mfupi. Nimetembeza karibu garage zote Arusha, niliwasiliana na mafundi wa dar nao vilaza tu. Diagnosis machine nazo zinataja codes ambazo hata uki Google inaeleza vingine. Nikibadilisha control box, coil zote, pulgs zote bila muafaka. Hadi pump ya mafuta niliweka mpya ila gari hamna kitu. Nilitokea kuichukia sana. Nilibadili hadi camshaft sensor, crankshaft sensor, oxygen sensor ila bado hamna kitu.
Katika kutafuta msaada nikakutana na fundi mmoja akaniambia hii gari imeua sensor kwenye gia box na imewekwa oil ambayo sio yake. Akaniambia tatizo hapo ni gear box tu hmhamna kingine, nilishindwa kumuamini ila mwisho wa siku ilibidi nimuamini. Akaniambia nimpe hizo sensor zote coil na vifaa vya zamani avirudishie vyote halafu tuagize gear box nyingine(alinishauri kuwa gear box haifai kutengeneza) wakuu nialiagiza gear box, akafunga, akarudisha vile vifaa vyake vya zamani vyote. Hadi lei gari imetulia na sikuamini kama ni ile Murano iliyokuwa inawasha taa zote ukianzia na check engine.
Conclusion ni kuwa magari ya Nissan sio mabaya bali mafundi wetu elimu chenga. Na bei za vifaa mafundi ndio wanapandisha.
Nissan murano ni gari comfortable sana na ni nzuri ukiitunza na kuipa vitu vyake original
Kati ya Toyota na Nissan ni gari gani nyingi hapo Arusha?Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
Hii comment ina akili sana. Moja ya comment bora nilizowahi kusoma jukwaa zima la magari.Kwa kifupi tu hakuna gari (kwa ujumla wake) inaweza shindana na TOYOTA kwenye suala la reliability. TOYOTA hawatengenezi magari sophisticated, luxury au yenye usalama zaidi kuliko wengine ila wanatengeneza magari yenye mifumo inayoweza kudumu na kuaminika kuliko wengine (in most cases/kwenye segment karibia zote. Kwa mfano Rav 4 matoleo karibia yote yana mauzo mazuri Ulaya na marekani kwa sababu nilizotaja hapo.
Hili halimaanishi kuwa magari mengine ni ya hovyo sana (ingawa yapo ya hivyo) ila inategemea na mnunuzi anataka nini kwenye gari
Too much theory. Kama naona soli ya kiatu ilivyolika upande mmoja.Gari siyo asset bali ni liability. Linakula pesa kila siku.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi hizo theory zao zinanichekeshaga sana.Too much theory. Kama naona soli ya kiatu ilivyolika upande mmoja.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Maisha yenyewe ni liability.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi hizo theory zao zinanichekeshaga sana.
Eti wanakwambia usijenge nyumba ya kuishi ni liability wakati huo yeye anatakiwa kila mwezi alipe kodi sasa hawaoni kuwa hiyo kodi wanayolipa kila mwezi pia ni liability.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Kukariri notsi za darasani bila kutumia actual life common sense ni stupidity haijalishi umesoma degrees ngapiMaisha yenyewe ni liability.
Unatumia gharama nyingi kuishi sijui kula, kodi, mavazi, makazi, malazi etc lakini mwisho wa siku unakufa!
Sometimes naonaga ni lack of common sense tu.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kile kigari kirefu kama mbwa anajinyoosha πππau honda cross road aka small hummer
Haya hutasikia wakiyasema wanataka ununue ili mteseke wote πππ!!! Sasa gari ya namna hii ukimwambia mtu unaiuza unafikiri atakupa zaidi ya 8M hata kama ni mpya?Shock up - 1 pc andaa Laki 6 TZS