Nissan Dualis: Msaada mwenye uzoefu na hili gari naomba ufafanuzi

Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayor wa NissanVille hauwezi kukubali brand yetu ichafuliwe kizembe......
 
Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
Haijarishi ni brand gani, ubovu upo tu kwenye magari ya brand zote.
Sasa ni ubovu upi na unagharimu kiasi gani? Kama wewe sio mzoefu wa magari, na unataka kudadisi kujua ubora wa gari unayotaka kununua, basi kuwa mdadisi kwa kupita kwa mafundi wa magari na garage kadhaa, utapata ukweli mkubwa zaidi kuliko kumuuliza mmiliki wa gari husika akwambie ukweli mchungu.

Tukubali tu, watanzania hatuko honest kuusema ukweli mchungu unaotugusa moja kwa moja.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo wa magari, magari mengi ya brand ya Nissan yanamuonekano mzuri, Comfortable nzuri ukiwa ndani na gharama nafuu ukitaka kuyamiliki ukilinganisha na brand zingine, lakini yana gharama kubwa zaidi katika services&maintanance.
 
Nissan iko overrated.
Nakumbuka wakati Nissan Xtrail zinaanza kuingia Tz ilionekana kama zingekuwa mshindani au mbadala wa Toyota Prado, kilichotokea sote tunakijua, leo hii sokoni Xtrail inashindana na Toyota IST !

Vivo hivyo kwa Nissan Morano, zilionekana labda zingeweza kuiondoa Toyota Prado sokoni, lakini wapi, hata kuiondoa Toyota Kluger au Harrier imekuwa haiwezekani.

Ukija kwa Nissan Dualis vivyo hivyo utadhani ingeitoa new model ya Rav4 au Escudo sokoni, lakini wapi, hakuna kitu. Mambo ni yale yale.
 

Kwa kifupi gari Nissan ni sawa na Utopolo Yanga , spare part zake kuzinunua ni bei mbaya kama bei ya akina Sarpong wakati mafundi wa kufunga mtaani hawapo na ukiwapata wanazidi kuharibu kwa sababu hawajui nini wanachokifanya, binafsi nilitaka kutupa gearbox ya gari yangu kwa ushauri wa kishenzi kwa sababu mafundi wengi walikuwa hawajui nini cha kufanya kumbe tatizo nilikuwa natumia a different ATF, kuanzia hapo niliamua kuwa member wa wengi kwa kuzingatia, Total price must be cheap, Spare part availability, Technician availability, uhitaji wa barabara zetu na uchumi wetu wengi uwe na uwezo wa kuinunua pale nitakapoamua kuiuza,

Kwa mfano leo hii ukitaka kumuuza Sarpong nani atapiga hodi nyumbani kwako? kila la kheri na tukutane kesho
 

Kwa kifupi tu hakuna gari (kwa ujumla wake) inaweza shindana na TOYOTA kwenye suala la reliability. TOYOTA hawatengenezi magari sophisticated, luxury au yenye usalama zaidi kuliko wengine ila wanatengeneza magari yenye mifumo inayoweza kudumu na kuaminika kuliko wengine (in most cases/kwenye segment karibia zote. Kwa mfano Rav 4 matoleo karibia yote yana mauzo mazuri Ulaya na marekani kwa sababu nilizotaja hapo.
Hili halimaanishi kuwa magari mengine ni ya hovyo sana (ingawa yapo ya hivyo) ila inategemea na mnunuzi anataka nini kwenye gari
 
Nimepata jibu ya Tatizo la Murano yangu nimepaki mwaka wa 2 sasa
 
Ni kweli ila kwa mfano garage zote za hapa Arusha Matoyota ndiyo yamejaa huko....
Ina maana haya matoyota ni mabovu kuli brands nyinginezo..?
Kati ya Toyota na Nissan ni gari gani nyingi hapo Arusha?
 
Hii comment ina akili sana. Moja ya comment bora nilizowahi kusoma jukwaa zima la magari.
 
Reactions: Cyb
Too much theory. Kama naona soli ya kiatu ilivyolika upande mmoja.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi hizo theory zao zinanichekeshaga sana.
Eti wanakwambia usijenge nyumba ya kuishi ni liability wakati huo yeye anatakiwa kila mwezi alipe kodi sasa hawaoni kuwa hiyo kodi wanayolipa kila mwezi pia ni liability.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Maisha yenyewe ni liability.

Unatumia gharama nyingi kuishi sijui kula, kodi, mavazi, makazi, malazi etc lakini mwisho wa siku unakufa!

Sometimes naonaga ni lack of common sense tu.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Maisha yenyewe ni liability.

Unatumia gharama nyingi kuishi sijui kula, kodi, mavazi, makazi, malazi etc lakini mwisho wa siku unakufa!

Sometimes naonaga ni lack of common sense tu.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kukariri notsi za darasani bila kutumia actual life common sense ni stupidity haijalishi umesoma degrees ngapi

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Vipi haka kagari toyota auris naomba kuliizia price, mantainance na fuel consumption yake ipo vipi. Je kati ya hii AURIS na IST ipi ipo vizuri? Hii auris nitokea kuilewa zaidi. Kwenu wataala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…