totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
Bro umesema safi sanaa.
Watu kama nyie ndo tuna wahitaji humu.
Mi ndo gari yangu,Sijalala mpaka sasa hivi hapa tangu niione ile ilio waka moto.
Maana nimenunua na week 2 tu.
Na mkopo wenyewe una riba ndefu.
Yaani ni stupid things.
Atalia na kusaga meno, hio gari haina muda mrefu ikitangazwa inauzwa hata million 8 itakuwa ishu kuipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]....tena awahi mapema sana
Usijali ndugu, m niliona kuna jamaa ana namba B na inatembea na haija ungua, sio zote zinazoungua ila zinachangamoto sana kwenye gearbox na hazitaki kabisa rough road, utabadili sna mabush ya kifua yapo manne na bei yake kuanzia laki na nu hadi laki mbili bado fundi hapo hyo ni service ndogo tu ila angalia gharama yake na bado kuna mabush mengine hapo sijayataja. Kwa hela hiyo kwa toyota utafanya service kubwa sana.Bro umesema safi sanaa.
Watu kama nyie ndo tuna wahitaji humu.
Mi ndo gari yangu,Sijalala mpaka sasa hivi hapa tangu niione ile ilio waka moto.
Maana nimenunua na week 2 tu.
Na mkopo wenyewe una riba ndefu.
Yaani ni stupid things.
Nissan patrol ndio toleo ambalo walipatia hayo mengine ni kichefuchefu tupuAisee changamoto sana, mzee ana nissan patrol bwna linapiga mzigo hadi leo gari alinunua mwaka 2004, hizi dualis ni mfumo wake tu wenyewe ndo mbovu au mafundi nao ndo hawaelewi namna yakutengeneza hizi gari?
Nissan patrol ndio toleo ambalo walipatia hayo mengine ni kichefuchefu tupu
Sometimes zinatoka Kiwandani zikiwa na matatizo. Kwenye nchi za Wenzetu kwa kuwa kuna kuwa na mawakala na Gereji zilizopewa Uwakala na Nissan Wenyewe wanapelekeana Taharifa mbalimbali kama kuna tatizo limegundulika na pia jinsi ya kusolve hilo Tatizo. Huku kwetu ata kile kitabu kinachokuja na Gari atuna muda nacho kukisoma! Tunaendesha magari na kuyafanyia Services kufuata mkumbo na mazoea. Angalia hapa uone Wenyewe Nissan wanasemaje juu ya Services za Magari yao: Nissan Service Intervals | Auto Repair & Maintenance | Rio Rancho, NMAiseee sasa kama gari inaweza kuwaka yenyewe si balaa hii mkuu!!!!
Sometimes zinatoka Kiwandani zikiwa na matatizo. Kwenye nchi za Wenzetu kwa kuwa kuna kuwa na mawakala na Gereji zilizopewa Uwakala na Nissan Wenyewe wanapelekeana Taharifa mbalimbali kama kuna tatizo limegundulika na pia jinsi ya kusolve hilo Tatizo. Huku kwetu ata kile kitabu kinachokuja na Gari atuna muda nacho kukisoma! Tunaendesha magari na kuyafanyia Services kufuata mkumbo na mazoea. Angalia hapa uone Wenyewe Nissan wanasemaje juu ya Services za Magari yao: Nissan Service Intervals | Auto Repair & Maintenance | Rio Rancho, NM
Kuna mtu alitembea gearbox oil kwa 80,000Km ilikuwa ni Toyota fielder.Mkuu hapo kwenye 30000 na 50000 nafikiri oil isingekuwa biashara huku mitaani,by the way unatumia oil gani ya km 30000?
Toyota ataendelea kutamba Tu Kwa Sisi wabongoHapo hata mafundi hawahusiki, magari tu yenyewe yana shida, mm nimeshuhudia mtu kalinunua kalitumia mwezi tu, likaungua lote hapa hapa dar wiki hyo hyo nikaona kwenye mitandao nyingine tena inaungua kimara....kwa hizo gari hiyo changamoto ni yakawaida sana, pamoja na gearbox yake haina shukran kabisa hata uijali vipi....ukienda safar ndefu gearbox inapata moto nakupelekea gari kupungua nguvu
Hizi transmission Universal siyo nzuri sana.Mkuu tumia transmission oil hii 50,000Km hutojuta recommend kwa magar ya Toyota subar n.k som vzr zko fake hiyo org ni TSHS 100,000 had 120,000 TSH
View attachment 2489470View attachment 2489471
Tumia Head rest kuvunja kioo cha gari.Mkuu nyundo utaitumia kama haujapata mshituko wa ajali na akili yako haija stuck!
Ugongwe ama uparamie mti ama daraja kisha gari ipinduke utaikumbuka nyundo sehemu ulikoiweka?
Hizi gari auto, zina tabia ya kujilock milango hasa unapopata ajali ya kugonga ama kugongwa, nadhani ni kwa ajili ya kishindo!
Waweza kuwa na nyundo kweli, lakini isikusaidie kuvunjia mlango uliojilock huku gari imeshika moto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshaanza mafundi maiko.
Teknolojia muwezi mnaaishia Kubahatisha tu. Kuna fundi kakorofisha Alphad mpaka ijitambui nikiwasha inafungua vioo.
Kesho namdamkia tumalizane hajui uchungu wa kununua gari
Head rest ni hiki kiegemeo au ni kifaa gani?Tumia Head rest kuvunja kioo cha gari.
Kioo cha gari ni part ya ku enhance structural strength ya bodi ya gari hivo kukivunja hasa ukiwa upo ndani huwa ni shughuli kidogo...kina utaalamu wake wa (vioo vya gari vya milango na buti la nyuma ni tempered glasses hivo hakivunjiki kizembe kwa kukipiga hata kwa nyundo sometimes, na kioo cha mbele ni double Glass yenye gundi ndani yake) so kuna device maalumu huwa inatakiwa itumike kukigonga kioo kwenye angle fulan then kinashuka chenyewe (hii ni kwa tempered glass) but cha mbele na chenyewe nika design yake yakutoka tofauti vingine vyote.
Ukikaa kwenye gari sehemu unapoegesha kichwa chako.Head rest ni hiki kiegemeo au ni kifaa gani?
Asante sana mkuu.Utapata stress yawakufunzi wa veta..not bad mkuu ukienda ila itapendeza kama wewe binafsi ukiwa idea ya kitu unachoenda kusoma, ukiwa na interest, then upo na natural intelligence inayokusaidia kua intuitive..hiki ni kitu cha muhimu sana kwenye career maana unaweza enda ukasoma mpaka ila natural ability haipo struggle inakua kubwa but of you were made for who you want to become, basi mambo yanakuwa very easy na yanaenda so natural mkuu. Kila la kheri mkuu kuna hela nyingi huku..pia tafuta tools sahihi za kazi.
Sawa thanks.Ina hela kwa gari za Nissan na landrover tu ila Toyota utakufa njaa
Kweli ww ni new generation. Mule muleGari hii na Nissan nyingi za kisasa zinakuja na electrical system ya IPDM yaan (An intelligent electronic power distributor module with a cut-off function that ensures and manages the power supply for a scalable number of connected loads in the vehicle)..hii module ipo kwenye fuse box ya hizi gari, sasa mafundi umeme wa kibongo wengi hawajui how IPDM power distribution module works, sasa wanaishia ku-loop mawaya kizembe na ku-bypass system ambayo inaji self diagnose yenye na kuji regulate yenye for optimal power distribution kwa kuzingatia electric load za module mbalimbali za gari...sasa mbongo/fundi wa Chini ya muende anaetumia tester kufanya kazi ya umeme akisha fanya yake basi utakuta system inashindwa ku detect power load kwenye system ambayo imeguswa matokeo yake ina over power or underpower..but iki overpower system ambayo waya / njia zake zipo designed kubeba umeme mdogo basi resistance inakua kubwa na kutengeneza joto kali ambalo eventually inapelekea cheche/moto andapo tu ignition itakutana na mafuta..kumbuka kama system ingekua inafanya kazi inavotakiwa ina maana yenyewe automatically ina detect na ku regulate power output iendane na load (ndo maan system inaitwa intelligent power distribution module)
System hii haipo kwenye Toyota..ukifungua fuse box ya Toyota nyingi utakuta ni relays na fuse but hakuna card (printed circuit with chips, diodes etc..) kumbuka IPDM ni system nzuri sana ikiwa inafanya kazi.short za kipuuzi puuzi upati.