Tutaelewana tu!Dawa ya muhani ni kitanzi au risasi. Unapokula kiapo hutakiwi kwa vyovyote vile kuvujisha siri za offisi.
You did wrong! fikiria mtu unamuamini alafu huku anakuhujumu utafanyaje.
Serikali iachwe na mipango yake na maendeleo yake na wanaoipinga wafuta njia zao. sio kwa mpumbavu wewe kujitapa kwamba unavujisha siri. shame.
Serikali iwe huru na wapinzani wawe huru na sio kuhujumiana.
Unauhakika hizo pesa zingeenda kufanya kazi iliyokusudiwa? Hawa jamaa wanatukosea sana hasa suala la kiuongoz.Upinzani wa Tanzania ni changamoto sana...yaani mtu anachochea nchi inyimwe mkopo bila kutafakari madhara watakayopata watoto wetu kwenye sekta ya elimu.
Hahahhaah sherehe ingefanyika mkuu... Problem is... You know things in a nutshell.Kama alishindwa kesi unajuaje?
Watoto wa kike hawabakwi Wanaenda wenyewe Kwa Viherehre vyao. Serikali ilikusudia kuwapa adhabu ya kutorudi Shule ili Waache au kujiepusha na matendo ya Ngono Zembe. Kama bado wapo wanaoendeleza Ngono badala ya Shule naunga Mkono maamuzi ya Serikali.Naunga hoja.
Zito yupo sahihi, MaCCM yamekosa utu ni mashetani, yanabaka watoto wetu yakiwapa mimba yanawafukuza shule.
CHAMA CHA MASHETANI= CCM
Tuwekee hapa basi hayo mambo.Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Haya wangu,kila lenye kheri.Nikiweka humu watanifahamu na naamini watanifuatilia mpenzi. Acha twende na staili hiyo!
Naanzia wapi ? Mr wangu jamani ?Na wewe utulie😍😍😍
None is on the ball... Unakisia tu... You also know little concerning the issue...Tukubali tu hatutafikia muafaka....And let Elvis leave the building... It's all over.Hahahhaah sherehe ingefanyika mkuu... Problem is... You know things in a nutshell.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwasilina na WB au CCM wenyewe watakwambia,mimi na mikopo yao wapi na wapi bwana mdogo.Mkuu Weledi benki watatoa lini mkopo kwa ccm?
Umetumia lugja ndogo sana kwa mtu mwenye uzoefu kama mimi katika masuala ya kisiasa,huwa najifikiria kila siku kuhusu tusi jipya ambalo sikuambiwa,mwisho najikuta matusi yote ni yale nilitukanwa miaka ishirini ilopita,bwana mdogo unaonaje kama ukinitusi tusi jipya angalau hata moyo ucheze cheze.We
We nae Domo Kama K
We shall see.... If you don't comply eventually you're automatically disqualified... Kama unavyoomba mkopo bank/taasisi yoyote ile usipofit kwenye eligibility criteria zao hupewi huo mkopo.None is on the ball... Unakisia tu... You also know little concerning the issue...Tukubali tu hatutafikia muafaka....And let Elvis leave the building... It's all over.
Ndiyo hivyo...wacha wachunguze wajiridhishe wenyewe... Hata WB wanajua ninyi ni wapinzani na wanajua tabia za wapinzani.... Ninyi ni kama mmewapa alert lakini si kwamba watasikiliza porojo zenu....watachunguza kila kitu.We shall see.... If you don't comply eventually you're automatically disqualified... Kama unavyoomba mkopo bank/taasisi yoyote ile usipofit kwenye eligibility criteria zao hupewi huo mkopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilijulikana hivyo kusingekuwa na haja kuhold off... Serikali imefail kucomply so no excusesNdiyo hivyo...wacha wachunguze wajiridhishe wenyewe... Hata WB wanajua ninyi ni wapinzani na wanajua tabia za wapinzani.... Ninyi ni kama mmewapa alert lakini si kwamba watasikiliza porojo zenu....watachunguza kila kitu.