Nitaendelea kushirikiana na Zitto Kabwe pamoja na Lissu kuichoma Serikali ya Tanzania

Nitaendelea kushirikiana na Zitto Kabwe pamoja na Lissu kuichoma Serikali ya Tanzania

Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Kiswahili cha huko kwenu mlikokimbia machafuko, Watanzania hatuko hivyo unavyofikilia. Unaichoma Serikali ili iweje au huelewi kama Serikali na wew ni sehemu yake. Kwa maana hiyo unataka kuivuluga Serikali isihudumie Wananchi iwe inaugulia maumivu, sasa wewe Mughabho wa Jirani hujioni kama utakosa Pengine pa kukimbilia.
Wewe na Zitto acha kutafuta Kiki za ovyo.
 
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Mpuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani wa kushinda haki? Mahakama za nje sio hizi zinazotii amri toka juu. Serikali yetu ingeshinda kesi ingejisifia vibaya sana. Mzungu kavuta chake tena ni cash.
Mkuu na wewe umepata nini kama ni hivyo?
 
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!

Ila usishushe zigo la haja kubwa kambini.
 
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!

Dawa ya muhani ni kitanzi au risasi. Unapokula kiapo hutakiwi kwa vyovyote vile kuvujisha siri za offisi.

You did wrong! fikiria mtu unamuamini alafu huku anakuhujumu utafanyaje.

Serikali iachwe na mipango yake na maendeleo yake na wanaoipinga wafuta njia zao. sio kwa mpumbavu wewe kujitapa kwamba unavujisha siri. shame.

Serikali iwe huru na wapinzani wawe huru na sio kuhujumiana.
 
Back
Top Bottom