Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haziruki wakati zinaendi hadi new Delhi hukoKama kakosa pa kuikamatia Ni dhahiri serikali ndio imeufyata kwa kuogopa kupeleka huko nje atakapozikamata, ambapo ni hasara kama haziruki.
Haziruki wakati zinaendi hadi new Delhi huko
Kama alishindwa kesi unajuaje?Ukiona zinaruka nje hiyo ya kuvizia vizia ni ushahidi mzungu kavuta mpunga wake fullstop.
Kama alishindwa kesi unajuaje?
hapa unakiri kwamba serikali inateka raia wake.Ushirikiano usiishie huku kwenye Id fake, kesho fanya press conference uweke wazi nia yako, hlf baada ya dk 5 tuanze #freeG Sam#
Kiswahili cha huko kwenu mlikokimbia machafuko, Watanzania hatuko hivyo unavyofikilia. Unaichoma Serikali ili iweje au huelewi kama Serikali na wew ni sehemu yake. Kwa maana hiyo unataka kuivuluga Serikali isihudumie Wananchi iwe inaugulia maumivu, sasa wewe Mughabho wa Jirani hujioni kama utakosa Pengine pa kukimbilia.Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Hilo wameshindwa kulificha wanajitaja wenyewe.Kuteka na kuua wanaowakisoa/kuwapinga.hapa unakiri kwamba serikali inateka raia wake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mpaka sasa hivi kuna information gani muhimu umezitoa? Za mkopo wa World Bank?
Wenzenu wapo field kuhakikisha mnapigwa kwenye uchaguzi mkuu nyie mmekomaa na information ambazo matokeo yake wote manajua kuwa ni zero?,!
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, ili usitekwe inabd utoe sifa kwa serikali hii, hapo hakuna mtu atakayeshughulika na wewehapa unakiri kwamba serikali inateka raia wake.
MpuuziMimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Mkuu na wewe umepata nini kama ni hivyo?Nani wa kushinda haki? Mahakama za nje sio hizi zinazotii amri toka juu. Serikali yetu ingeshinda kesi ingejisifia vibaya sana. Mzungu kavuta chake tena ni cash.
Sasa kumbe unakisia tu... SawaNani wa kushinda haki? Mahakama za nje sio hizi zinazotii amri toka juu. Serikali yetu ingeshinda kesi ingejisifia vibaya sana. Mzungu kavuta chake tena ni cash.
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Mkuu na wewe umepata nini kama ni hivyo?
Hii ni serikali ya hivyo kupata kutokea tangu tupate uhuru.
Viongozi walio wengi hawana hadhi ya kuongoza nchi hii yenye wingi wa wastaarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Hata barua ya Zitto iliandikwa kwenye keyboardTumekuelewa "keyboard warrior"