Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,199
- 2,403
Huyo wa kulia ndo me kushoto keCode Ni rahisi Sana ila kimbembe Ni kubaini KE na ME Kati yao.Sijajua Kama wa kushoto ndo ME au KE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wa kulia ndo me kushoto keCode Ni rahisi Sana ila kimbembe Ni kubaini KE na ME Kati yao.Sijajua Kama wa kushoto ndo ME au KE
Mkuu wewe si umesema ufunguliwe code.Kwa hiyo Hakuna KE hapo? Na umejuaje Kama wote Ni vidume
😂😂😂 nakataa mpk kesho, hao jinsia tofauti labda hiyo emoji ya boga wakulungwa wamewaza nje ya boxKuna mwamba juu huko kasema wote XHRTHHDS 😆 mambo ya kazi za fasihi hayo kila mtu ana tafsiri anavyo ona yeye
Jamaa ana maanisha kuna mmoja kamiss 🍑 la mwenzake na mwingine kamiss 🥒 😆😂😂😂 nakataa mpk kesho, hao jinsia tofauti labda hiyo emoji ya boga wakulungwa wamewaza nje ya box
Wa kulia ndio ME
Nacheka kama mazuri🤣🤣😂😂Km huna D mbili huwezi kuelewa 😂
Sawa mkubwaHiyo ni open message mno
YapUmewaza kama Mimi, wa kulia ndio me, ameita Kisha ke akajibu.
Me wa kulia akasema shida yake tunda, ke nayeye aka express her self tunda analohitaji, akaenda mbali zaidi kuulizia muda Gani wa kimasihara? Men anaweka mambo bayana. Mambo yakawa Tano kwa Tano.
Hakina adabu na siendi sasaBasi yeye ndo kivulana chenyewe..!!
Kwaio wew ndo umemtumia uyo jamaa apost um sioSasa kwanini unatoa siri yetu tena?
Uongo hao ni bubuMimi nilichogundua hao wote hawajui kuandika ndio wanatumia emoji tu,au wanatofautiana lugha,huenda mmoja ni Mmakonde na mwingine ni Mzungu wa Ukraine.
😀
Huyo kazingua bana!! Afu mbona raraa umekomalia sana hii issue?? 😂Jamaa ana maanisha kuna mmoja kamiss 🍑 la mwenzake na mwingine kamiss 🥒 😆
Sikutegemea jibu kama hili 😄Huyo kazingua bana!! Afu mbona raraa umekomalia sana hii issue?? 😂
Ww itakuwa michezo yako bana.!! 😂Sikutegemea jibu kama hili 😄
Naona umeamua kunitukana sasa 😄Ww itakuwa michezo yako bana.!! 😂
😂😂😂 basi yaishe mtu wangu.!! Ila ww ipo jambo.!!Naona umeamua kunitukana sasa 😄
Dah naona bado tu mtu wangu 😄😂😂😂 basi yaishe mtu wangu.!! Ila ww ipo jambo.!!
Basi nimeacha 🤣Dah naona bado tu mtu wangu 😄