Nitafsirieni hii code

Nitafsirieni hii code

Umewaza kama Mimi, wa kulia ndio me, ameita Kisha ke akajibu.

Me wa kulia akasema shida yake tunda, ke nayeye aka express her self tunda analohitaji, akaenda mbali zaidi kuulizia muda Gani wa kimasihara? Men anaweka mambo bayana. Mambo yakawa Tano kwa Tano.
Yap
Kuna huyu mwamba mambio katoka nje ya box kasema hao ni Gays 😄
Hili swali ni Brainstorming
 
Back
Top Bottom