Nitafurahi endapo tozo ya mwezi Septemba itaenda kujenga flyover mataa ya Morocco

Nitafurahi endapo tozo ya mwezi Septemba itaenda kujenga flyover mataa ya Morocco

Taarifa ya awali inasema takriban billion 50 zimekusanywa katika wiki 4 za mwanzo kupitia tozo mpya ya kizalendo kwenye miamala ya simu.

Tumeambiwa kwamba tayari billion 15 na bilion 7 zimeshatolewa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya 150 pamoja na kufanya finishing ya maboma ya madarasa yapatayo 560, hivyo bado kuna salio la kama bilioni 25.

Naamini wiki 4 zinazofuata zinaweza zikavuna tozo sawa na hiyo au zaidi toka kwenye miamala ya simu.

Itakuwa ni furaha mno kwangu endapo 50 Billion za mwezi unaofuata zikaenda kuanza ujenzi wa flyover kwenye Mataa ya Morrocco.

Baada ya hapo Billion 50 za mwezi unaofuata tena,na baada ya hapo, tena? Na baada ya hapo tena? Itabidi tukajenge Zahanati za msaada hadi Rwanda na Burundi ili waTanzania watakaohamia huko wajisikie nyumbani [emoji23][emoji23]
Hatujakimisha kununua ndege, pia Vi eitee nyingi zimechoka, tunatakiwa kununua mpya kabisa tulia kijana, endelea kunywa mtori....
 
kuna kipindi fulani cha kampeni uko nyuma kuna chama fulani kilikuja na ajenda yao sera ya majimbo mie kiukweli kabisa naiona ile ilikuwa ni sera nzuri sana,nionavyo mimi lakini
 
Hela zikafanyie mambo ya msingi! Tunaitaji barabara ya Lami huku Maji Chumvi iunge mpaka kimanga then bima!
Tunahitaji ingine ipande kwenda migombani mpaka Segerea hizo billion 50 zingemaliza kabisa hayo maeneo mawili!
Hiyo ya maji chumvi hadi Kimanga ni muhimu sana, nadhani mavuno ya mwezi wa 10 mengine tutagawa huko 🤝🤝🤝
 
 
Mikoani Kuna sehem kibao hakuna barabara ya lami hizo flyover unazotaka zijazwe daslam inamaana hizo tozo huwa zinakusanywa daslam tu
Lami za mikoani si zinajengwa kwa kutumia tozo mpya ya mafuta au? Hii ni tozo ya miamala ninayozungumzia
 
Taarifa ya awali inasema takriban billion 50 zimekusanywa katika wiki 4 za mwanzo kupitia tozo mpya ya kizalendo kwenye miamala ya simu.

Tumeambiwa kwamba tayari billion 15 na bilion 7 zimeshatolewa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya 150 pamoja na kufanya finishing ya maboma ya madarasa yapatayo 560, hivyo bado kuna salio la kama bilioni 25.

Naamini wiki 4 zinazofuata zinaweza zikavuna tozo sawa na hiyo au zaidi toka kwenye miamala ya simu.

Itakuwa ni furaha mno kwangu endapo 50 Billion za mwezi unaofuata zikaenda kuanza ujenzi wa flyover kwenye Mataa ya Morrocco.

Baada ya hapo Billion 50 za mwezi unaofuata tena,na baada ya hapo, tena? Na baada ya hapo tena? Itabidi tukajenge Zahanati za msaada hadi Rwanda na Burundi ili waTanzania watakaohamia huko wajisikie nyumbani 😂😂
Unaropoka na kujitungia maneno ambayo Waziri hajayasema.Uzuri wa nyie majitu ya Mjini hakuna mnachojua kwa sababu mko karibu na huduma za jamii na mnadhani kila mahala kuko kama mjini.Huu ushauri ukimpa baba yako atakushukuru.

Serikali inaenda kutumia pesa yote hadi desemba kujenga madarasa na kununua madawati.

Baada ya hapo wanarudi kwenye Vituo vya afya maana fedha walizotoa ni za awali kujenga maboma 3 kwenye kila kituo cha afya takribani vituo 220.

Kituo cha afya kikiwa fully ni majengo minimum 7 hapo bado kununua dawa,vitenganishi,kuajiri wataalamu nk.Kiufupi hadi kituo cha afya kiwe operational vizuri inatakiwa bil.1.5
 
Unaropoka na kujitungia maneno ambayo Waziri hajayasema.Uzuri wa nyie majitu ya Mjini hakuna mnachojua kwa sababu mko karibu na huduma za jamii na mnadhani kila mahala kuko kama mjini.Huu ushauri ukimpa baba yako atakushukuru.

Serikali inaenda kutumia pesa yote hadi desemba kujenga madarasa na kununua madawati.

Baada ya hapo wanarudi kwenye Vituo vya afya maana fedha walizotoa ni za awali kujenga maboma 3 kwenye kila kituo cha afya takribani vituo 220.

Kituo cha afya kikiwa fully ni majengo minimum 7 hapo bado kununua dawa,vitenganishi,kuajiri wataalamu nk.Kiufupi hadi kituo cha afya kiwe operational vizuri inatakiwa bil.1.5
Hahah, haya ni maoni yangu, sijasema waziri kaongea. Anyway, baada ya Desemba? Mnaenda kujenga zahanati na Burundi au?
 
Taarifa ya awali inasema takriban billion 50 zimekusanywa katika wiki 4 za mwanzo kupitia tozo mpya ya kizalendo kwenye miamala ya simu.

Tumeambiwa kwamba tayari billion 15 na bilion 7 zimeshatolewa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya 150 pamoja na kufanya finishing ya maboma ya madarasa yapatayo 560, hivyo bado kuna salio la kama bilioni 25.

Naamini wiki 4 zinazofuata zinaweza zikavuna tozo sawa na hiyo au zaidi toka kwenye miamala ya simu.

Itakuwa ni furaha mno kwangu endapo 50 Billion za mwezi unaofuata zikaenda kuanza ujenzi wa flyover kwenye Mataa ya Morrocco.

Baada ya hapo Billion 50 za mwezi unaofuata tena,na baada ya hapo, tena? Na baada ya hapo tena? Itabidi tukajenge Zahanati za msaada hadi Rwanda na Burundi ili waTanzania watakaohamia huko wajisikie nyumbani 😂😂
Tanzania sio Dar tu,Pesa ziende maeneo mengine kuboresha maisha ya Watanzania wengine
 
Back
Top Bottom