Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Naunga mkono hoja. Madanguro yaboreshwe yanakera sanaWaboreshe madangooorow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja. Madanguro yaboreshwe yanakera sanaWaboreshe madangooorow
ss zahanati na madarasa n vitu vizur hv ni basic need hzo sipo toka tozo hajazaliwaKwani hizo Zahanati na Madarasa kila Tarafa zinajengwa Dar zote?!
Za mwezi wa 7 na wa 8 si zimeenda tayari kujenga madarasa na Zahanati nchi nzima, huna habari?Tanzania sio Dar tu,Pesa ziende maeneo mengine kuboresha maisha ya Watanzania wengine
Morrocco junction unaijua vizuri foleni yake?!Zinaelekezwa maeneo yenye uhitaji zaidi,nchi kubwa hii.
Mda wa kujibu wajinga sinaHahah, haya ni maoni yangu, sijasema waziri kaongea. Anyway, baada ya Desemba? Mnaenda kujenga zahanati na Burundi au?
Ujinga ni kujibu hoja bila hojaMda wa kujibu wajinga sina
Nadhani hii ifanyike kwa tozo ya mwezi wa 10Mi nashauri Morogoro road ipanuliwe kuanzia kibaha mpaka mlandizi kwanza .halafu huko mbeleni wasogee wasogee mpaka Moro kwa hii miaka 5.
Kwahiyo Tozo ya mwezi Septemba imepangiwa wapi?Mipango siyo matumizi...