GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
-
- #101
Mkuu shida ipo uwezi kuweka malengo juu ya malengo ya mtu mwingine chief ,unajua unachokifanya kua sio bali una force mambo au ni kuachie uzi basi nianzishe mpya kama huu umeupenda .Mkuu kwani wewe hizo simu unazosema unataka kuagizia watu Kuna Mkoa wowote Tanzania hawauzi? Camera je? Vipi Laptop? Au walikwambia kwamba wametafuta mikoani mwao wamekosa?
Ulichokilenga wewe kwenye kuwambia wadau kuwa utawaagizia watu bidhaa hizo ndicho nilicholenga mie Mkuu, nadhani jibu lako la kuwa hudeal na Tv lilijitosheleza na sio hayo maswali yako, na mie Nilikuwa namjibu mtu aliekuwa interested na issue yangu ya Tv Mkuu na sio wewe maana ulisema hudeal na Tv sa sijui shida imetoka wapi
Kuwa mwelewa basi Mkuu nashangaa unavosema unizilie uzi, me Sina bidhaa nilizotangaza humu kuwa nauza, me Nilikuwa mteja na nilikufata kukueleza shida yangu ukasema hudeal nazo Kila mtu akaendelea na mambo mengineMkuu shida ipo uwezi kuweka malengo juu ya malengo ya mtu mwingine chief ,unajua unachokifanya kua sio bali una force mambo au ni kuachie uzi basi nianzishe mpya kama huu umeupenda .
Unazingua.Kuwa mwelewa basi Mkuu nashangaa unavosema unizilie uzi, me Sina bidhaa nilizotangaza humu kuwa nauza, me Nilikuwa mteja na nilikufata kukueleza shida yangu ukasema hudeal nazo Kila mtu akaendelea na mambo mengine
Kaja mtu mwingine amenambia kuwa anaweza kunisaidia ila me nishapata msaada kwingine, kwahiyo ulitaka nimfukuze au? Au ulitaka nimjibu nini labda tushauriane
Inawezekana una matatizo mengi sana kama ilivo kwa binadamu wengine, ila miongoni kwa hayo matatizo "UELEWA" ni Moja wapo, maana Hadi hivi sasa sijaona logic kwenye kulalamika kwakoUnazingua.
Next month nakucheki600,000 Tsh
karibu sana.Next month nakucheki
Karibu sana broo.Kazi nzuri Broo
Nipo nasoma replies
Samsung 21ultra iagharimu kias gain mpya au used. 128GB au 256GB.Pia kuna baadhi ya Vifaa kama Lath Machines Compressors na mitambo mablimbali ya kufanyia kazi ngumu unaweza fungua video hapo chini ukaangalia mwenyewe pia order zake tunachukua.
2.5 mlSamsung 21ultra iagharimu kias gain mpya au used. 128GB au 256GB.
Kwa mpya au used hii bei?2.5 ml
hii ni Used, mpya 3.7Kwa mpya au used hii bei?
unataka ipi?Kwa mpya au used hii bei?
Sawa karibuNi jambo jema nitakutafuta hivi karibuni nikuagize kifaa flani cha kufanana na hivyo
Lengo ilikuwa ni mpya lkn japo hiyo used lakn itabidi nifanye mpango nijiongezee mpunga kwasababu sikutegemea kama inawezafikia bei hiyo.unata ipi?
Me nahitaji plotters machine kwa ajili ya kukatia sticker
ikoje mkuuMe nahitaji plotters machine kwa ajili ya kukatia sticker