Nitajie kitu kimoja Mungu aliumba/ aliweka hapa duniani kinavutia kutazama zaidi ya Mwili wa mwanamke

Umewahi kukabwa na kiu kikali halafu ukaona glass ya maji baridi yanayotoa umande umande?
 
Hii ni kwa alie kwenye stage ya balehe
 
Vijana mnachekesha! Pesa na mwanamke utachagua nini?
Pengine hujaelewa hoja. Hapa tunazungumzia alichoumba Mungu, kinachovutia kutazama.

Kwanza Mungu hajaumba pesa. Pesa ni man made. Pili, katika kujibu swali lako, tunahonga pesa kupata mwanamke.
 
You can't fight against nature hivyo ndivyo ilivyo na ndio maana tunazaliana ingekuwa si hivyo inaawezekana idadi ya watu ingekuwa ndogo na kungekuwa na ukatili dhidi ya mwanamke lakini badala mwanaume hata awe katili au jambazi namna gani bado kwenye mapaja ya mwanamke hana ujanja anatulizwa na kutulizika halafu observation hii sio tu kwa binadamu ila hata viumbe vingine wapo so weak kwa female
 
Sio kimoja tu me nna vitatu,
1. Rainfall
2. Waves
3. Momma's beautiful face (my kryptonite)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ