Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Katika mahusiano haya mnaonekana ni wawili msioendana hasa ukizingatia kwamba wewe ni mchanga wa bahari na yeye ni Upepo wa kimbunga;

Unaonaje dhoruba ikitokea kando ya bahari?

Hayo ndio mahusiano yenu yalivyo mkiunganisha roho,

Wewe utajikuta unamuona yeye ni mtu usiyeweza kumtabiri, na yeye atajikuta ni mtu ambaye anashindwa kwenda na wewe kirahisi hadi atumie nguvu nyingi,

Mbinu zako za kawaida tu za kumuendea hata katika kuomba mchezo utakuta kwake ni kero kubwa sana na atakuona kama vile muda wote wewe ni mwenye kumtibua tu mwanzoni utaona kama anakuvumilia lakini baadae sura kamili ya dhoruba itaonekana.

Yeye hujiamini katika kujieleza kimtizamo wake bila maneno.

Na wewe hujiamini katika kujiheshimu bila mipaka, mawasiliano yenu kila mmoja atajikuta haeleweki kwa mwenzie na pia ataona kama anaaibika na kudhalilika kwa mwenzie.

Yeye utakuta ni mtu wa kupenda mitoko na wewe utakuta ni mtu wa kupenda mtu mwenye kumaintain maisha ya nyumbani huyu ni mtu mtafutaji wewe utafurahishwa kwa utafutaji wake mwanzo kwa kufuata mkumbo lakini baadae itakuwa too much hata kama atakuletea maigizo sasa hivi lakini baadae visafari vya kwa ndugu jamaa na marafiki huwa havikatiki.

Yeye alivyompenda uhuru safari ya mapenzi yenu itakuwa ngumu sana na uvumilivu wake kwako ni mdogo huyu anataka mtu mwenye nyota ya moto wa mkaa ambaye yeye akimletea habari za kutoka anakuwa kama kamtia ny*ge. Hakika kipenzi chako hiki ni chenye kupenda kutoka sasa ukimfungia ndani kwa maisha yako ya siasa kali kimbunga kitazunguka kisha vumbi lako litapeperuka na kubaki umechafuka tu.

Nyie mnapendeza zaidi kuwa ni wenye urafiki tu na hata mapenzi yenu mara nyingi huishia kirafiki tu.

Rakims
Ahsante!
 
Mkuu Mimi ni mwanamke tarehe yangu ni
26/12
Me tarehe 11/12
Naomba nichambulie huyu mwanaume
Ipo hivi kwa mtizamo wewe ni mwenye asili ya mchanga wa bahari na yeye ni moto wa nyasi kwa haraka tu hapa mnakuwa hamuendani mkuu kwa maana mpo tofauti sana kwa maana;- wewe unaonekana ni mwenye kufurahiwa sana na yeye kwa kipindi cha awali na yeye utamuona ni mwenye matumaini makubwa lakini vile vile yeye mtizamo wake kwako anakuona ni sawa na mtu aliyejitosheleza lakini nyote kwa pamoja kwenye mahusiano yenu mapema sana utaanza kukasirishwa na matakwa yake ya uhuru bila masharti.

Utahisi kuwa huna uwezo tena wa kuweza kumuamini kwa maana tabia za kutaka uhuru zaidi zitatia dosari mahusiano yenu

Na tabia ya kujichanganya, matumizi na kutokujali kwake ikianza kujidhihirisha moja kwa moja na wewe mshipa wa subira utakatika kwa maana matakwa yako yanaonekana ni mtu mwenye kutaka mke ambaye atatulia nyumbani/ndani lakini yeye ni mwenye kutaka mume mwenye kumruhusu kufanya chochote anachotaka muda wowote.

Kamba yoyote au lolote linalowaunganisha kuwa kwenye mahusiano au ndoa basi haina maisha marefu na huishia kukatika.

Rakims
 
😃😃Ubishi Ubishi tumeachana siku ya 3 leo atuwasiliani afu Jambo ata halieleweki...mi gari lishawaka Ni swala la muda tu hatoamini macho ake..nimekubali kushika mengine


Kuhusu watoto mungu tu asaidie makeeeeeee🤐🤐nlikua sjapanga kabisa kuzaa watoto na mama tofauti Ila ndo hivyo tena... nothing guaranteed forever!
Pole sana mkuu.
 
Mimi ni ke 10/11 S
Yy ni me 06/02 W

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mahusiano haya ni baina ya maji ya moto na upepo wa kimbunga hii ni fahari wawili hawakai zizi moja na pia hawa ni wagomvi wawili walio kubaliana kila mmoja akae upande wake wa dunia,

Mahusiano yenu yapo hivi:

Wewe utakuta ni mwenye kuwa na matakwa mazito ya kihisia, lakini yeye hata kuruka nae mara moja sio jambo zito kwake kwa upande wako yaani kumvulia nguo kwako yeye kwake ni jambo la kawaida wala halina uzito wowote katika hisia zake, kwake yeye wewe kukutana nae kimwili ni kama tu kupanua upeo wake wa yeye kukujua zaidi wala sio jambo la ajabu na kumfanya ajihisi yupo kwenye serious relationship.

Wewe ni mtu ambaye hutaweza kuvumilia jinsi yeye atakavyo kuwa anachukulia mapenzi yako kirahisi rahisi.

na kila mara unaweza kuwa na hisia kwamba hayupo serious na wewe isipokuwa ni part time tu.

Yeye binafsi ni mtu ambaye ni mwenye kuvutiwa zaidi na vya nje hata hivyo vya nje akiingiza ndani bado atavutiwa na vya nje tu hata ukiwa kwenye ndoa nae huyu hashindwi siku moja kukwambia umalaya upo kwenye damu you deal with it or leave it.

Japo akimpata anaemmudu kinyota huwa mpole kama kondoo.

Kitu ambacho wewe kitakutia wivu wa ajabu na vile una asili ya wivu, basi utataka kujaribu kumtawala na utakuta kila mara anakuvuruga jinsi anavyopenda uhuru na alivyo na mood za kuswing basi safari yenu itakuwa ngumu.

Wewe utakuta ni mwenye kupenda kuwa nyumbani na yeye utakuta ni mwenye kupenda uhuru wa kuendelea hadi mwisho kila mtu atashika njia yake.

Mkilazimisha nyie ni mtu na jamaa yake wasioelewana wanaochangia nyumba kulipia kodi.

Rakims
 
Mahusiano haya ni baina ya maji ya moto na upepo wa kimbunga hii ni fahari wawili hawakai zizi moja na pia hawa ni wagomvi wawili walio kubaliana kila mmoja akae upande wake wa dunia,

Mahusiano yenu yapo hivi:

Wewe utakuta ni mwenye kuwa na matakwa mazito ya kihisia, lakini yeye hata kuruka nae mara moja sio jambo zito kwake kwa upande wako yaani kumvulia nguo kwako yeye kwake ni jambo la kawaida wala halina uzito wowote katika hisia zake, kwake yeye wewe kukutana nae kimwili ni kama tu kupanua upeo wake wa yeye kukujua zaidi wala sio jambo la ajabu na kumfanya ajihisi yupo kwenye serious relationship.

Wewe ni mtu ambaye hutaweza kuvumilia jinsi yeye atakavyo kuwa anachukulia mapenzi yako kirahisi rahisi.

na kila mara unaweza kuwa na hisia kwamba hayupo serious na wewe isipokuwa ni part time tu.

Yeye binafsi ni mtu ambaye ni mwenye kuvutiwa zaidi na vya nje hata hivyo vya nje akiingiza ndani bado atavutiwa na vya nje tu hata ukiwa kwenye ndoa nae huyu hashindwi siku moja kukwambia umalaya upo kwenye damu you deal with it or leave it.

Japo akimpata anaemmudu kinyota huwa mpole kama kondoo.

Kitu ambacho wewe kitakutia wivu wa ajabu na vile una asili ya wivu, basi utataka kujaribu kumtawala na utakuta kila mara anakuvuruga jinsi anavyopenda uhuru na alivyo na mood za kuswing basi safari yenu itakuwa ngumu.

Wewe utakuta ni mwenye kupenda kuwa nyumbani na yeye utakuta ni mwenye kupenda uhuru wa kuendelea hadi mwisho kila mtu atashika njia yake.

Mkilazimisha nyie ni mtu na jamaa yake wasioelewana wanaochangia nyumba kulipia kodi.

Rakims
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mahusiano haya ni baina ya moto wa nyasi kwa moto wa nyasi moja kwa moja unaweza kusema ni mfano watoto mapacha yaani wenye kufanana sana.

Lakini hata hivyo ukirejea mwanzo nilishaelezea kuwa hata nyota zenye kufanana huwa zina mushkeli yake.

Baadhi ya wanajimu huamini kwamba mwenye kuweza kumtosheleza Mwenye nyota sawa na nyota hii yako ni pacha wake lakini kwa uzoefu na elimu pamoja na experience nilionayo katika unajimu hapana hii pekee haitoshi bila kuwa na marekebisho.

Imagine mnaishi na mtu mnafanana kila kitu?

Mapenzi yenu yatakuwa lakini lazima tu kuna migongano,

Moja kwa moja twende kwenye uchambuzi wako:

Nyote wawili mnaonekana ni wenye kupenda maendeleo na wenye kuendana sana mwanzoni karibu kila kitu chenu, wenye kupenda kutoka toka na kuroam, japo kuwa ni jambo zuri kwenu machafuko, uhusiano wa matukio yasiyotabirika wala kufikirika huja kwa kushangaza sana.

mnaonekana hata kwenye macho ya watu ni wenye kuendana na kupendezana sana.

Lakini ni kawaida sana kwenu kila mmoja wenu kumletea majanga mwenzie, Kila mmoja kati yenu anakuwa sio mwenye kujitolea kwa mwenzie kwa udhati na mnakuwa nyote wawili ni wenye kupenda kuchakatia nje,

Pair yenu huwa inaokolewa sana na imani ya dini hasa ukizingatia nyota yenu inatawala sana elimu ya dini na vilevile akili ya kiimani zaidi lakini kwa Sagitarians ambao hawana dini katika nyoyo zao utakuta mwanaume anachakatia huku na mwanamke kule.

Mkikutana kila mmoja anaweza kumlia mwenzie yamini kwamba hana hayo mambo lakini pale zinapoanza kuingia mimba za ghafla na kuletewa watoto usio wajua ndio unakumbuka kumbe naishi na jini mwenye miguu miwili.

Wote kati yenu mnatabia ya kumsukuma mwenzie katika kufanya mambo maovu mnapokuwa mnakwazana anaweza kukuboost na kukwambia katembeze nje sibabaiki na wewe ukajaa kweli,

Ni nyota moja ya mahusiano ikiwa na msimamo na imani basi dunia nzima huona kama ya kwao lakini otherwise ni wachezaji wazuri tu wa nje furaha ikiisha ndani.

Rakims

Asante mkuu tushaachana tabia zetu zilikua zinafanana sana it was harmful umeelezea vyema[emoji1488]
 
Mimi ni Me
06/07
Yeye Ke
01/08

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Katika mahusiano haya wewe ni maji ya bahari yaani kaa hivyo unahitajika kuzoea hali ya yeye moto wa mkaa katika mitoko kutoka toka, uchangamfu. kitofauti,vinginevyo, ukarimu wake, uridhie moyo wake wa kujitolea katika kusaidia,

Simba mwenye nguvu ni yeye na ndicho kitakacho kufanya wewe ujihisi kukosa usalama wa mapenzi na kwenye mahusiano haya ndicho unachokitafuta.

wewe unaonekana ni mwenye uelewa wa ajabu na kuelewa kwako mambo bila kukurupua na uwezo wako mkubwa wa kulea na kutuliza moto ndicho kinachoweza kumshughulikia yeye ambaye ni mwenye kiburi na mkali

Pongezi na kumsifu hata kama kafanya kitu cha kijinga ndio vitu vinavyomvutia zaidi kwako na mengi ya kubembeleza ndiyo yanahitajika kuweka kumuweka chini kama maji ya mtungi yeye ambaye ana sifa za kuunguruma na pale anapounguruma ( yaani sifa na kujidai) basi ni sehemu ambazo anaridhika zaidi ukimfanyia hayo wewe na yeye ni mfano wa karata ya strength katika tarot ukiwa unasoma utaona kuna karata inaitwa strength imagine wewe ni huyu mwanamke anaemshika simba mdomo na kumuinamisha ndivyo utakavyo mfanya asisikie la mtu kuhusu wewe.





Yeye anatawala sana inapokuja kwenye swala la tendo mnapokuwa chumbani na hupenda kukaa wazi chumbani; Lakini tabia yake ya kuwa moto kila muda ni dawa nzuri sana kwako na unajihisi kitulizo kikubwa kwake.

Mahusiano baina yenu ni mazuri sana na yakupendeza isipokuwa element zinazowasimamia haziendani yeye ni mfalme na wewe ni malkia maana yeye anatawaliwa na jua na wewe unatawaliwa na mwezi ukianza kuonyesha dalili za ukali unampoteza vile vile mapenzi kwenye ni moto moto isipokuwa maelewano kwenu yaani msaada kinyota kila mtu anatakiwa ashike lake vingenevyo mafanikio yapo mbali relationship hizi nyingi usaliti wake huwa ni maafa na mwisho wenu kila mmoja ana mapenzi makubwa sana na mwenzie ni sawa na mahusiano baina ya mtu mweusi na mtu mweupe akipenda kapenda na akiacha kaacha hamna faida kinyota isipokuwa kwa mapenzi na tulizo la roho basi endelea kujiweka hapo mkuu.

Rakims
 
Mimi ni Ke
Ke: 22/02 - A
Me: 26/08 - E
Sawa mkuu kwa mtizamo unaonekana ni mtu mwenye mwenendo wa upepo wa kimbunga na yeye ni mchanga mwekundu kwa mtizamo huu tu ni watu ambao hamuendani lakini nitakufafanulia hapa kwa ziada maana mnaendana kwa asilimia 30 tu na tofauti na hii na mkuu aliye pita hapo nyuma ni vile yeye alikuwa kinyume chenu yani yeye alikuwa katika asili ya kinyume cha yako hivyo inakuwa hivi;-

Nyote mnaonekana ni watu wenye wigo mpana wa kiakili zaidi kuliko kihisia; ambapo hii inapelekea yeye kuwa zaidi anachunguza ubaya au mabaya yako kuliko wema na kuwa ni mtu wa kukushukia kwa mabaya wakati wewe unakuta ni mtu unamchukulia kawaida na unakuwa huna nafasi ya kukaa unamchunguza chunguza sana na unakuwa sana ni mtu wa kumuwekea dhana wewe unakuwa ni mtu wa kujishughulisha na mambo ya kijamii kutoka na kuwa na mzunguko mpana wa marafiki wakati yeye anakuwa ni mtu mwenye marafiki wachache na vile vile ni mbaguzi wa marafiki,

Mitizamo yenu nyote wawili inakuwa ni tofauti;- wewe unakuwa ni mtu muuangalifu iwezekanavyo hali ya kuwa yeye anataka kufanya mambo yake kwa jinsi anavyotaka yeye na hataki kuingiliwa.

Kiakili mnakuwa mnaendana lakini mahusiano hayataki akili tu hisia hucheza nafasi kubwa sana. japo kuwa kila mtu kati yenu anajielewa mtizamo unaonyesha kama mtaoana hamna maisha marefu ya ndoa.

SEHEMU YAKE YA HISIA;
Sehemu yake ya hisia zaidi ni supu za miguu na ankles. Gusa,papasa,tomasa au mbusu sehemu hizo basi ukifanya hivyo utaona hisia zake zinapanda kwa kasi na anakuwa radhi hilo ni eneo nyeti sana kwake na wengine wao hupenda kusafishwa miguu saloon hivyo Kugusa,
kusugua, kupapasa, au kumbusu sehemu hii ya mapenzi ya anatomia kwa kiasi kikubwa humuamsha hamu ya tendo.
mfanyie kumbembeleza kifundo cha mguu, kusonga hadi supu kama massage laini, na uone jinsi anajibu haraka.
Wanamaji hupenda kuwa na miguu ya chini na vifundo vyao vya miguu vilivyotiwa ujazo mfano mguu wa bia hupenda pia mchezo wa kumwagiwa maji miguuni.

Kama hatua ya awali ya kufanya mapenzi, mpe massage nzuri ya miguu. Tumia vidole vyako au kucha, na na uwe kama unampatia ganzi kiasi
utaona analalama kwa upole. Anza kwenye vifundo vya miguu, na ueleze polepole duru kuzunguka mfupa wa kifundo cha mguu.
Mpake mafuta kwenda juu kwa taratiibu hadi eneo lote la nyuma uone mguu umelegea Wakati wa kufanya mapenzi, jitahidi kushika miguu yake na kuifanyia mitelezo utaona anazidi kutoa sauti za mahaba na mawadah.
japo kuwa hamuendani hii inaweza kukusaidia kwa nafasi kubwa kuweza kumkamata.

Rakims
 
Back
Top Bottom