Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama riba zao ni 30% -40% mbona kwa mtaji wa 1,000,000 FAIDA SIO 4,000,000 KAMA UNAVYOSEMA ?! Hesabu ulisoma wapi ndugu yangu yani 30% ya million moja ni million nne ?!Kausha damu: Unawekeza mtaji wa shilingi 1,000,000, unavuna faida ya shilingi 300,000 mpaka 400,000 kwa mwezi. Nitajieni biashara nyingine kama hii.
Tunaposema hii mikopo ni kausha damu na initia watu umasikini, basi hicho ndicho kinachofanyika.
Hivi leo hii ukipewa mtaji wa shilingi 1000,000 unaweza kufanya biashara gani halali ukapata faida kama hiyo ndani ya siku 30 tena ukiwa umetulia tu unahesabu siku? Hiyo ni riba ya asilimia 30 mpaka 40 kwa mwezi na Serikali ipo na Bunge lipo.
Hatumpendi Makonda, lakini saaa tumuombe amvae Waziri wa Fedha na Viongozi wa BOT maana hii biashara ni kama imewashinda kuidhibiti kwani Makonda kwa sasa ndio anasikilizwa na kujadiliwa kwa kila atachokisema.
Uzembe umezidi ndio maana Makonda anakuwa maarufu.
Kunywa bia popote ulipo .Kama benki zimeamua kuhudumia matajiri pekee na kuwakataa wauza chai mnawezaje kuiondoa kausha damu ?
Hela za mikopo ya halmashauri mnawanyima mnapeana mnataka waende wapi ?
Kwa mfano Hela zote za mikopo ya wajasiriamali na walemavu Temeke alipewa Mwenyekiti wa Wilaya wa ccm , na hakurejesha .
Peke yake alilamba mil 300 , ushahidi wote upo lakini kesi imezimwa
Kwa nondo kama hizi kwanini nisikuheshimu mtani wangu .Kumbuka hiyo biashara inatambulika kwenye mamlaka husika. Hivyo ni biashara halali. Na utambue pia hizo taasisi hazimlazimishi mtu kukopa!! Na uzuri wapo wakopaji ambao wanalipa hayo marejesho ya 30% kila mwezi na hawajawahi kukimbia nyumba zao. Kwa sababu wanaitumia kwa malengi ya kibiashara! Na siyo kwa malengo ya kununulia sofa set au kukipia ada za watoto. Ila kwa hao wenzangu na mimi wanaoshindwa kurejesha, ndiyo hao sasa wanaodhalilishwa.
Kumbuka pia watu wanakopa kwa sababu serikali imeshindwa kuwatengezea mazingira mazuri ya kukopa fedha kwa riba ndogo, kutokana na sababu mbalimbali.
Lakini kubwa zaidi ufahamu hao watu wanakopa hela benki kwa ajili ya kuanzishia hiyo biashara. Na riba za benki nazo ziko juu! Asilimia 16+ siyo riba ndogo!
Na wakati huo huo wanatakiwa kulipa kodi za serikali na Halmashauri/miji, nk. Wanatakiwa kuwalipa wafanyakazi, kulipia pango la ofisi zao, nk.
Kwa hiyo mimi nashauri uanzishe kampeni ya kutoa elimu kwa hao wakopaji, ili watambue madhara ya hiyo mikopo ya kausha damu. Kinyume na hapo, hakutakuwa na namna nyingine yoyote ile. By the way, huyo Makonda ni kilaza tu na mtafuta kiki. Wala hana uwezo wa kuzuia mambo ambayo yapo kisheria.
Kausha damu ziendeleeHiyo mikopo ikizuiliwa maskini ndio watakuwa wa kwanza kupiga kelele.
Maskini wa Tanzania hana pa kujikwamua zaidi ya huko kausha damu.
Kodi , malipo ya natibabu ya afya na misiba ndivyo vinawapeleka huko.
Ni heri kausha damu iendelee.
Nchi bila pesa mfukoni unafia kwenye korido za hospital tena ni hospital za umma
Endelea kumuogopa MUNGU ivo ivoHii ni zaidi ya Riba bali ni ujinga, wa hivi wapo wengi ndio kama Desi
Namuogopa tu Mungu ila na mm ningefungua niwaibie mazwazwa
Kausha damu: Unawekeza mtaji wa shilingi 1,000,000, unavuna faida ya shilingi 300,000 mpaka 400,000 kwa mwezi. Nitajieni biashara nyingine kama hii.
Tunaposema hii mikopo ni kausha damu na initia watu umasikini, basi hicho ndicho kinachofanyika.
Hivi leo hii ukipewa mtaji wa shilingi 1000,000 unaweza kufanya biashara gani halali ukapata faida kama hiyo ndani ya siku 30 tena ukiwa umetulia tu unahesabu siku? Hiyo ni riba ya asilimia 30 mpaka 40 kwa mwezi na Serikali ipo na Bunge lipo.
Hatumpendi Makonda, lakini saaa tumuombe amvae Waziri wa Fedha na Viongozi wa BOT maana hii biashara ni kama imewashinda kuidhibiti kwani Makonda kwa sasa ndio anasikilizwa na kujadiliwa kwa kila atachokisema.
Uzembe umezidi ndio maana Makonda anakuwa maarufu.
Asante sana mkuuEndelea kumuogopa MUNGU ivo ivo
Utakuwa na makengeza si bure!kama riba zao ni 30% -40% mbona kwa mtaji wa 1,000,000 FAIDA SIO 4,000,000 KAMA UNAVYOSEMA ?! Hesabu ulisoma wapi ndugu yangu yani 30% ya million moja ni million nne ?!
Pbz walianza vizuri ila saivi nao ni waezi (vibaka)tu, kama wengine...bank ya watu wa zanzibar inamilikiwa na serikali ya zanzibar na serikali haina dini
Kumbuka hiyo biashara inatambulika kwenye mamlaka husika. Hivyo ni biashara halali. Na utambue pia hizo taasisi hazimlazimishi mtu kukopa!! Na uzuri wapo wakopaji ambao wanalipa hayo marejesho ya 30% kila mwezi na hawajawahi kukimbia nyumba zao. Kwa sababu wanaitumia kwa malengi ya kibiashara! Na siyo kwa malengo ya kununulia sofa set au kukipia ada za watoto. Ila kwa hao wenzangu na mimi wanaoshindwa kurejesha, ndiyo hao sasa wanaodhalilishwa.
Kumbuka pia watu wanakopa kwa sababu serikali imeshindwa kuwatengezea mazingira mazuri ya kukopa fedha kwa riba ndogo, kutokana na sababu mbalimbali.
Lakini kubwa zaidi ufahamu hao watu wanakopa hela benki kwa ajili ya kuanzishia hiyo biashara. Na riba za benki nazo ziko juu! Asilimia 16+ siyo riba ndogo!
Na wakati huo huo wanatakiwa kulipa kodi za serikali na Halmashauri/miji, nk. Wanatakiwa kuwalipa wafanyakazi, kulipia pango la ofisi zao, nk.
Kwa hiyo mimi nashauri uanzishe kampeni ya kutoa elimu kwa hao wakopaji, ili watambue madhara ya hiyo mikopo ya kausha damu. Kinyume na hapo, hakutakuwa na namna nyingine yoyote ile. By the way, huyo Makonda ni kilaza tu na mtafuta kiki. Wala hana uwezo wa kuzuia mambo ambayo yapo kisheria.
Sasa kuna mjinga ambae atamkopesha masikini? Mambo ya kuzingatia kwenye kukopesha. Usikopeshe mwanamke, usikopeshe masikini.Benki za Tanzania si kwa ajili ya watu masikini , ndio maana kausha damu inatamba
Tatizo umasikini mkuu. Ukishaona njia ya kupata hela na una shida hauwezi kukumbuka hayo mengine.Pamoja na wizi kwenye hizo kampuni za mikopo lakini nadhani hapa Duniani sidhani kama kuna watu wajinga kama raia wa Tanzania.......
Bila shaka hao mabwana kabla ya kukupatia huo mkopo wanakufahamisha kupitia mkataba wao kwa maana mpaka unachukua mkopo maana yake ni khiyari yako......
Inakosa nguvu kwa kuwa ipo kwenye khiyari........
Kausha damu wamewezaje ?Sasa kuna mjinga ambae atamkopesha masikini? Mambo ya kuzingatia kwenye kukopesha. Usikopeshe mwanamke, usikopeshe masikini.
Pesa haramu hizo...Kausha damu: Unawekeza mtaji wa shilingi 1,000,000, unavuna faida ya shilingi 300,000 mpaka 400,000 kwa mwezi. Nitajieni biashara nyingine kama hii.
Tunaposema hii mikopo ni kausha damu na initia watu umasikini, basi hicho ndicho kinachofanyika.
Hivi leo hii ukipewa mtaji wa shilingi 1000,000 unaweza kufanya biashara gani halali ukapata faida kama hiyo ndani ya siku 30 tena ukiwa umetulia tu unahesabu siku? Hiyo ni riba ya asilimia 30 mpaka 40 kwa mwezi na Serikali ipo na Bunge lipo.
Hatumpendi Makonda, lakini saaa tumuombe amvae Waziri wa Fedha na Viongozi wa BOT maana hii biashara ni kama imewashinda kuidhibiti kwani Makonda kwa sasa ndio anasikilizwa na kujadiliwa kwa kila atachokisema.
Uzembe umezidi ndio maana Makonda anakuwa maarufu.
Wapo wakopaji wababaishaji na wengi wao ni wanawake. We unafikiri hao kausha damu wanakula faida tu kila siku? Nina ndugu mwanamke wa makamo tu ni mwaka wa 5 sasa hivi kesi na hao jamaa wa kausha damu haziishi. Kila tukimsaidia kulipa baada ya muda wanaibuka tena wengine wanaomdai wanampokonya simu au chochote chenye thamani.Kausha damu wamewezaje ?
CCM ndio kausha damu wenyeweKama benki zimeamua kuhudumia matajiri pekee na kuwakataa wauza chai mnawezaje kuiondoa kausha damu ?
Hela za mikopo ya halmashauri mnawanyima mnapeana mnataka waende wapi ?
Kwa mfano Hela zote za mikopo ya wajasiriamali na walemavu Temeke alipewa Mwenyekiti wa Wilaya wa ccm , na hakurejesha .
Peke yake alilamba mil 300 , ushahidi wote upo lakini kesi imezimwa