Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? jibu ni NDIO
Labda kombe la uji.Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.
Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
Na usisahau tayari Yanga INA medali na Mayele ndio mfungaji bora ana kiatu cha dhahabu tayari cha CAF.labda kombe la uji.
Umeamua kuwa mshika mkia. Ngoma ndo imeisha hivyo wewe topoloMtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa...
Kujifaliji imo ndugu Wala sio dhambiMtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa...
Jipe moyoMtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Ukitoka wewe mm ndio wa mwisho wenuMtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
hahaha. Aisee, kwa hiyo domo lote ulikuwa unapuyanga siku za nyuma sasa unajipoza na kiatu cha manywele?Na usisahau tayari Yanga INA medali na Mayele ndio mfungaji bora ana kiatu cha dhahabu tayari cha CAF.
Yanga IPO mashindanoni mpaka mwisho wa mashindano, endeleeni kuteseka, na mtaangalia Yanga wakivaa medali na nyinyi mtuoneshe za kwenu.hahaha. Aisee, kwa hiyo domo lote ulikuwa unapuyanga siku za nyuma sasa unajipoza na kiatu cha manywele?
Wanateseka haswa.Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.
Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.