Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini shughuli ndio imeishia hapa kwa Yanga

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini shughuli ndio imeishia hapa kwa Yanga

Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.

Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
Mbona kawaidaa...kunya anye kuku akinya bata kaharisha...hivi mnajisahau nyie humu eee? Yani mmejitoa kabisa kwenye kamati ya roho mbaya ambayo Yanga ilikua nayo kwa muda mrf..kuanzia kupokea wageni kuvaa jezi zao pindi Simba ikicheza nao n.k...umesahau kabisa juzi tuu hapa mashabiki wakaenda kwny tamasha la kuicheka Simba wakiongozwa na Ally kamwe..mmesahau kabisa thread lukuki za kuikejeli Simba..sema tuu ndivyo tulivyo hakuna mwenye afadhali kati ya mashabiki wa Simba na Yanga...
 
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Mkuu sema ngap atashinda yanga ILI dk90 zingine zikiisha tuje kukupa maya YAKO
 
Yaani mwarabu ananunua mpaka refa, yanga akipiga kamba ananyosha offside but wakipiga wao hata la offside anaita kati..... Mwarabu akiwa kwake anakufanya chochote....

Yatapigwa hata mabomu uwanjani, zitazimwa mpaka kamera. Watamnunua refa anaweza akatoa kadi km njugu Kwa yanga..

Mwarabu achana nae kabisa..... Halafu kombe lenyewe lipo mezani kabisa. Mwarabu atachukua kombe kwa mbinu yoyote nina uhakika asilimia 10000000000000000000000000000000
 
Yaani mwarabu ananunua mpaka refa, yanga akipiga kamba ananyosha offside but wakipiga wao hata la offside anaita kati..... Mwarabu akiwa kwake anakufanya chochote....

Yatapigwa hata mabomu uwanjani, zitazimwa mpaka kamera. Watamnunua refa anaweza akatoa kadi km njugu Kwa yanga..

Mwarabu achana nae kabisa..... Halafu kombe lenyewe lipo mezani kabisa. Mwarabu atachukua kombe kwa mbinu yoyote nina uhakika asilimia 10000000000000000000000000000000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usi wastuee wanaa.
 
Kwan waaarabu wana nn mpaka tusiweze kumfunga mbele ya mungu hakuna kinachoshindikana kwasababu kama ameweza kuwapa ushindi wao ktk ardhi yetu kwann ashindwe kutupa ushindi kwenye ardhi yao na itakapotokea yanga imeshinda na kuchukua kombe futeni kauli ya kwamba hili kombe ni la nchi
 
Mbinu zote chafu watakao taka kuzitumia either watoe rushwa au upendeleo wowote kwa uwezo wa allah hawatoweza kufanikisha kwa vyovyote vile
 
HAKUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU AKAAMINI YANGA INAWEZA KUWAFUNGA WAARABU USM ALGERS KWAO, MBELE YA KOMBE NA MAJINI YAO.

SHUGHULI YA YANGA IMEISHIA HAPO.
FULL STOP.

MATAHIRA NDIO WANADHANI YANGA ATASHINDA ALGERIA.

NAONA ZILE 4 ZA MWISHO KUJIRUDIA.
 
20230530_154543.jpg
 
Back
Top Bottom