Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini shughuli ndio imeishia hapa kwa Yanga

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini shughuli ndio imeishia hapa kwa Yanga

Endeleeni kujifariji.
Kule yanga hatoboi uwezekano wa kushinda ni mdogo sana..
 
Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.

Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
Kila mtu ana timu yake usifosi wote tushangilie timu yako.

Sisi tulitolewa kwa penati nyie mkaandaa na tamasha kwa ajili ya kutucheka

Then mnakuja na pitiful face ukidhani sisi ni sawa na Mr T

Na bado second leg inakuja
 
Na usisahau tayari Yanga INA medali na Mayele ndio mfungaji bora ana kiatu cha dhahabu tayari cha CAF.
Medali gani?

NBC ambayo hadi Azam anayo?

Kiatu cha dhahabu kwa aina moja ya mashindano tena yale yalio duni kabisa confederation sio big deal kama kiatu cha Dhahabu cha goli bora kwa mashindano yote ya Africa alichochukua Sakho.
 
Yanga IPO mashindanoni mpaka mwisho wa mashindano, endeleeni kuteseka, na mtaangalia Yanga wakivaa medali na nyinyi mtuoneshe za kwenu.
Unafurahi kuwa mwisho wa mashindano au kuchukua kombe?

Medali gani wewe ambayo hapa umeikazania?

Medali ambayo wewe unaichukua na sisi tumeichukua, kama unaizungumzia CAF confederation hiyo ni ndoto kama ambavyo CAF waliwapost mkiwa kitandani mnaota kombe
 
Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.

Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
[emoji23]
Screenshot_20230528-163703.jpg
 
Najua umeandika kishabiki lakini ukweli Ni kwamba Yanga ndio wameondolewa hivyo.

Huwezi kupoteza kwenye uwanja wa nyumbani afu utarajie kuenda kushinda ugenini.Bora hata wangetoa sare kuliko kupoteza mazima.

Mechi ijayo Yanga atakufa mbili mtungi nimekaa pale.
 
Aisee Yanga kutoboa kule ni kitu kisichowezekana kabisa. Kama USM Alger aliweza kutoka suhulu mugenini kwa Asec Mimose na kumtungua 2 kavu nyumbani basi sio timu ya mchezo. Kumbuka Asec ni timu inayoongoza ligi ya Ivory Coast.

Ndio maana Muarabu kaondoka hapa huku anashangilia sana maana anaona biashara imekwisha. Na kuna hatari tukapigwa 5
Maana muarabu huku alikuja kutafuta saree, cha kushangazaa kapata ushindiiiiii.

Kule kwake ni kuwapeleka puta puta utopolooo hadi wasemee walifikajee final
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Medali gani?

NBC ambayo hadi Azam anayo?

Kiatu cha dhahabu kwa aina moja ya mashindano tena yale yalio duni kabisa confederation sio big deal kama kiatu cha Dhahabu cha goli bora kwa mashindano yote ya Africa alichochukua Sakho.
Boraa umuambieeeee.
 
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
km unajua boli na uliangalia yanga msimu wote huu huwezi kumpa USM ALGER ubingwa while kuna dkk zingine 90
 
Back
Top Bottom