Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Endeleeni kujifariji.
Kule yanga hatoboi uwezekano wa kushinda ni mdogo sana..
Kule yanga hatoboi uwezekano wa kushinda ni mdogo sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana timu yake usifosi wote tushangilie timu yako.Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.
Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
Medali gani?Na usisahau tayari Yanga INA medali na Mayele ndio mfungaji bora ana kiatu cha dhahabu tayari cha CAF.
Unafurahi kuwa mwisho wa mashindano au kuchukua kombe?Yanga IPO mashindanoni mpaka mwisho wa mashindano, endeleeni kuteseka, na mtaangalia Yanga wakivaa medali na nyinyi mtuoneshe za kwenu.
Ni kweliMchezo wa football una maajabu yake, lolote laweza tokea.
hahaha. Utopox mpiga domo katika ubora wako.Yanga IPO mashindanoni mpaka mwisho wa mashindano, endeleeni kuteseka, na mtaangalia Yanga wakivaa medali na nyinyi mtuoneshe za kwenu.
[emoji23]Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.
Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
na kuna uwezekano mkubwa akawa mchezaji boraNa usisahau tayari Yanga INA medali na Mayele ndio mfungaji bora ana kiatu cha dhahabu tayari cha CAF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Broo acha kuota kumekucha ujue[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ndio wakati utagundua mioyo ya watu imejaa chuki, husda, fitina na vijiba. HawataaminiKuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.
Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
Maana muarabu huku alikuja kutafuta saree, cha kushangazaa kapata ushindiiiiii.Aisee Yanga kutoboa kule ni kitu kisichowezekana kabisa. Kama USM Alger aliweza kutoka suhulu mugenini kwa Asec Mimose na kumtungua 2 kavu nyumbani basi sio timu ya mchezo. Kumbuka Asec ni timu inayoongoza ligi ya Ivory Coast.
Ndio maana Muarabu kaondoka hapa huku anashangilia sana maana anaona biashara imekwisha. Na kuna hatari tukapigwa 5
Ko sahivi mnagombania kombe la Medaliii???Yanga IPO mashindanoni mpaka mwisho wa mashindano, endeleeni kuteseka, na mtaangalia Yanga wakivaa medali na nyinyi mtuoneshe za kwenu.
Boraa umuambieeeee.Medali gani?
NBC ambayo hadi Azam anayo?
Kiatu cha dhahabu kwa aina moja ya mashindano tena yale yalio duni kabisa confederation sio big deal kama kiatu cha Dhahabu cha goli bora kwa mashindano yote ya Africa alichochukua Sakho.
km unajua boli na uliangalia yanga msimu wote huu huwezi kumpa USM ALGER ubingwa while kuna dkk zingine 90Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Mwendo wameumaliza Yanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HaswaaaaaahMwendo wameumaliza Yanga