Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Israel intelligence ijue Walipo viongozi wa Lebanon na Hammas lakini haijui Mateka walipo. Israel ni washenzi Sana.

Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Israel intelligence ijue Walipo viongozi wa Lebanon na Hammas lakini haijui Mateka walipo. Israel ni washenzi Sana.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za jioni!

Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi.

Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki kuwakomboa.
Yaani wajue Viongozi wa Hezbollah na Hammas lakini Mateka anhaa!

Hiyo vita hapo Mashariki ya Kati Ina agenda ambayo imejificha ndani yake. Sio ajabu Hamas na Lebanon na kina Yemen wanacheza mchezo wa kuigiza. Najaribu kufikiri

Ngoja tuone
 
Tofautisha kuokoa na kuua mzee mwenzagu kuua is very simple lakin kuukoa ni habari nyingine

Israel anajua mateka walipo lakin sasa je unawaokoa okoa je? Hilo ndo swali
Kweli kabisa. Atakuwa hafuatilii. Kipindi kile wanajeshi wamewaokoa mateka sijui sita lakini waliua raia zaidi ya 200. Baadae tena wakaenda kuokoa mateka, mateka wakaishia kuuawa. Hamas wakasema ni Israel, na Israel nao wakasema ni Hamas imewaua. Njia nzuri ya kuokoa mateka ni kubadilishana mateka
 
Kweli kabisa. Atakuwa hafuatilii. Kipindi kile wanajeshi wamewaokoa mateka sijui sita lakini waliua raia zaidi ya 200. Baadae tena wakaenda kuokoa mateka, mateka wakaishia kuuawa. Hamas wakasema ni Israel, na Israel nao wakasema ni Hamas imewaua. Njia nzuri ya kuokoa mateka ni kubadilishana mateka
Israel kila anapojaribu kuwaokoa hao mateka huwa anaishia kuwaua tu

Ndo maana kaamua atulie kwanza
 
Habari za jioni!

Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi.

Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki kuwakomboa.
Yaani wajue Viongozi wa Hezbollah na Hammas lakini Mateka anhaa!

Hiyo vita hapo Mashariki ya Kati Ina agenda ambayo imejificha ndani yake. Sio ajabu Hamas na Lebanon na kina Yemen wanacheza mchezo wa kuigiza. Najaribu kufikiri

Ngoja tuone
Mateka wako na Yahya Sinwar aliyekuwa ndiye mkuu wa Hamas Gaza na sasa ndiye mrithi wa Kamanda mkubwa wa Hamas Idmael Haniyeh aliyeuliwa mwezi Julai akiwa Iran.

Sinwar ni mkorofi na mtata kuliko akina Haniyeh au Khaled Meshal. Yeye haamini katika suluhu ya majadiliano
 
Habari za jioni!

Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi.

Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki kuwakomboa.
Yaani wajue Viongozi wa Hezbollah na Hammas lakini Mateka anhaa!

Hiyo vita hapo Mashariki ya Kati Ina agenda ambayo imejificha ndani yake. Sio ajabu Hamas na Lebanon na kina Yemen wanacheza mchezo wa kuigiza. Najaribu kufikiri

Ngoja tuone
Hamasi wanatumia mateka kama kinga ukirusha boom kumuuwa mkuu wa hamasi unauwa na mateka. Kinachofanyika wanataka wamuuwe peke yake wawaokoe mateka. Ndio operstion ngumu inayo endelea Nasrallah alikuwa anazuwia wasiachiwe sasa na yeye wame mueliminaye inamaana sasa mateka lazima waachiwe maana Israel anazidi eliminate wakuu wa kijeshi wa Iran and Israel siku sio nyingi Mkuu wa Huthi atauwawa keep cool
 
Mateka wako na Yahya Sinwar aliyekuwa ndiye mkuu wa Hamas Gaza na sasa ndiye mrithi wa Kamanda mkubwa wa Hamas Idmael Haniyeh aliyeuliwa mwezi Julai akiwa Iran.

Sinwar ni mkorofi na mtata kuliko akina Haniyeh au Khaled Meshal. Yeye haamini katika suluhu ya majadiliano
Msimamo wake huo hafiki mbali, atakufa.

Sera ya Israel sasa ni kuua viongozi wote wanaoleta zengwe.

Hata Ayatollah wa Iran leo wamemficha kusikojulikana.

Ukiona mpaka Iran kashituka, elewa kuwa mbinu wanazozitumia wayahudi katika kuwaangamiza viongozi wa mahasimu wao si za dunia hii.
 
Mateka wako na Yahya Sinwar aliyekuwa ndiye mkuu wa Hamas Gaza na sasa ndiye mrithi wa Kamanda mkubwa wa Hamas Idmael Haniyeh aliyeuliwa mwezi Julai akiwa Iran.

Sinwar ni mkorofi na mtata kuliko akina Haniyeh au Khaled Meshal. Yeye haamini katika suluhu ya majadiliano
Huyo hapo Yahya Sinwar kisha kula shaba.
Screenshot_20241017_193316_Parallel Space.jpg
 
Habari za jioni!

Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi.

Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki kuwakomboa.
Yaani wajue Viongozi wa Hezbollah na Hammas lakini Mateka anhaa!

Hiyo vita hapo Mashariki ya Kati Ina agenda ambayo imejificha ndani yake. Sio ajabu Hamas na Lebanon na kina Yemen wanacheza mchezo wa kuigiza. Najaribu kufikiri

Ngoja tuone

Ila kweli hawa wayahudi kuwafanya mateka kuwa coratel Demage kwa sio issue .. yaan wao wala hawapushi kwenye diplomatic solution wanataka
Hamas waachie mateka bila kuwa na terms hata za kubadilishana wafungwa

walikubal kwenye wazee na watoto tu wakijua kelele zitapungua.. hao waliobak wanafanywa tiket ya wao kuendelea na plan zao.. Maana wanajua mateka wakiachiwa wataambiwa na wao watoke gaza..

Wanajua hamas hawez achia
Mateka bila kuweka Masharti na ndicho wanataka mapigano yaendelee

Ndo maana kuna baadhi ya wachambuz huko ulaya wanasema tukio la hamas kuingia israel oct 7.. israel govt ali engineer ili wapate sababu ya kuingia gaza..

We watu wanaingia na vile pikipiki vidogo vile na pick up kadhaa watu hawafiki hata 100.. wanakaa zaid ya masaa sita wanapita nyumba kwa nyumba.. six hours hakuna response?
 
Tofautisha kuokoa na kuua mzee mwenzagu kuua is very simple lakin kuukoa ni habari nyingine

Israel anajua mateka walipo lakin sasa je unawaokoa okoa je? Hilo ndo swali
Israel anajua mateka wake walipo.Akitangaza kuwaokoa vita inakosa relevance.
Na bahati mbaya mazombie ya Hamas hayajastukia mchezo huo
 
Back
Top Bottom