- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Akina Mnyeti? GamboPolepole ni mhuni namba moja kwa sasa baada ya mwendazake kutangulia mbele ya haki akiongozwa na wahuni wenzake kama Musiba,Bashir Ali,Makonda,Homela,Sabaya na TBC.
Wakwepa kodi na wale wanaotumia madaraka yao vibaya ndani ya chama na serikaliniPolepole alisema wahuni ni wakwepa kodi. Nikitegemea uzi wao uje na takwimu za wakwepa kodi walioongezeka awamu ya tano kama ulivyoeleza kwenye kichwa cha uzi. Lakini wapi ni mbwembwe tu! Hizi spana ni zenu, mtulie zibane vizuri.
Wahuni walisema Kwenda kutibiwa nje mtumishi wa umma mpaka upate kibali cha Rais. Hatimaye gharama za matibabu nje ziliongezela mara dufuWahuni waliendesha zoezi la kuwatoa went vyeti feki na watumishi hewa lakini Bado gharama ya kulipa mishahara kwa watumishi iliongezeka
😅😅😅malaya mwanaume?Polepole mhuni tu yule.
Angekuwepo Mwl Nyerere angemuita malaya.
Who is Magoti😅😅Na magoti yumo?
senior mmoja hivi Lumumba fcWho is Magoti
🙏🙏Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni.
Juzi rais wa Uganda alitua uwanja gani pale chato kama leo uwanja unaanikiwa michembe acheni siasa za umbea name chuki na wivu hadi uwanja wa chato mnauonea wivuWahuni walijenga uwanja Kule chato na Sasa unatumika kuanikia michembe.
Ushahidi please.Chadema ndio genge la wahuni
Bwege kweli weweChadema ndio genge la wahuni
Mzalendo huyo yuko wapi? Na je nchi imefilisika????Je Watanzania wanalala njaa???Je amani imetoweka nchini???Je serikali haina hela na haikusanyi kodi???Please be critical,systematic and coherent.Ni bora uwongo wa mzalendo Magufuli kuliko ukweli wa wapigaji, mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wahujumu uchumi
M7 alikuja kwa mkokoteniJuzi rais wa Uganda alitua uwanja gani pale chato kama leo uwanja unaanikiwa michembe acheni siasa za umbea name chuki na wivu hadi uwanja wa chato mnauonea wivu
Fafanua uzalendo wa Magufuli ba sisi wengine tuuoneNi bora uwongo wa mzalendo Magufuli kuliko ukweli wa wapigaji, mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wahujumu uchumi
Akikujibu initagMzalendo huyo yuko wapi ???? Na je nchi imefilisika????Je Watanzania wanalala njaa???Je amani imetoweka nchini???Je serikali haina hela na haikusanyi kodi???Please be critical,systematic and coherent.
Leo umejidhihirisha kwa maandishi ya mikono yako weye upo upande upi?😝😝😝😝😝Wanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Kwa Polepole wahuni ni makada walio ndani ya ccm lakini wanakataa uhuni ndani ya chama.Wahuni walijenga uwanja Kule chato na Sasa unatumika kuanikia michembe.