Nitawakumbuka sana wana-JF. Mniombee katika safari yangu ya maisha mapya

Yaani umejiunga november 6,na leo december 8 unatuaga,umeishi na sisi mwezi mmoja ila umeandika mambo utadhani una miaka kumi jamvini kweli wewe ni the story teller,,,,,wasalimie gamboshi
 
Hatimaye nimerudi kuwasalimu wana Jamiiforums kwa siku kadhaa kabla ya kurudi mapambanoni
 
[emoji38][emoji38]Usijali mkuu, punde nitaambatanisha picha huko PM, huenda nikaokota dodo la kula kimasihara i.e ki rikiboy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…