Nitawakumbuka sana wana-JF. Mniombee katika safari yangu ya maisha mapya

Nitawakumbuka sana wana-JF. Mniombee katika safari yangu ya maisha mapya

Yaani umejiunga november 6,na leo december 8 unatuaga,umeishi na sisi mwezi mmoja ila umeandika mambo utadhani una miaka kumi jamvini kweli wewe ni the story teller,,,,,wasalimie gamboshi
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom