Nitawashangaa sana Yanga kama watamlipa Mayele milioni 50

Nitawashangaa sana Yanga kama watamlipa Mayele milioni 50

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mayele alipwe milioni 50 kwa sababu gani? Kwa ajili ya kugombania shilingi ngapi? kwa kitu gani anacho kwenda kuifanyia Yanga? Huyu huyu Mayele aliye shindwa kuipeleka Yanga kwenye makundi Club bingwa Afrika? Yanga acheni utoto, chukueni hiyo bilioni moja na nusu ya hao mafala waachieni mtu wao muitumie kuchukua wachezaji wenye vipaji ambao hawatahitaji kulipwa pesa nyingi kiasi hicho. Bora muichukue hiyo hela sasa hivi coz msimu ujao anaweza kuflop na kushindwa kuuzika. Ni haramu kukataa hela.

ifike muda sasa Yanga na Simba zianze kutengeneza wachezaji wazawa wenye uzalendo na timu pia. Mbona Ahly na Zamalek wameweza? Kama wewe ni mmisri, hauwezi chezea Ahly au Zamalek kama wewe sio shabiki wa timu hizo ambae unatoka katika familia ya wapenzi/wanachama na mashabiki wa timu hiyo.

mchezaji anaanza kutengenezwa tangu akiwa mtoto mdogo kwamba akija kuwa mkubwa atachezea Ahly au Zamalek. Yani kama ilivyo kwa madrasa na sunday school. Hata hawa mabwege wa kariakoo wakiamua wanaweza
 
Mayele alipwe milioni 50 kwa sababu gani? Kwa ajili ya kugombania shilingi ngapi? kwa kitu gani anacho kwenda kuifanyia Yanga? Huyu huyu Mayele aliye shindwa kuipeleka Yanga kwenye makundi Club bingwa Afrika? Yanga acheni utoto, chukueni hiyo bilioni moja na nusu ya hao mafala waachieni mtu wao muitumie kuchukua wachezaji wenye vipaji ambao hawatahitaji kulipwa pesa nyingi kiasi hicho. Bora muichukue hiyo hela sasa hivi coz msimu ujao anaweza kuflop na kushindwa kuuzika. Ni haramu kukataa hela.

ifike muda sasa Yanga na Simba zianze kutengeneza wachezaji wazawa wenye uzalendo na timu pia. Mbona Ahly na Zamalek wameweza? kama wewe ni mmisri, hauwezi chezea Ahly au Zamalek kama wewe sio shabiki wa timu hizo ambae unatoka katika familia ya wapenzi/wanachama na mashabiki wa timu hiyo.

mchezaji anaanza kutengenezwa tangu akiwa mtoto mdogo kwamba akija kuwa mkubwa atachezea Ahly au Zamalek. Yani kama ilivyo kwa madrasa na sunday school. Hata hawa mabwege wa kariakoo wakiamua wanaweza
Yanga wachukue hii pesa, kuna washambuliaji wa bei rahisi ambao wanaweza kutupa kile anachokitoa mayele.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
MUSONDA NI HATARI ZAIDI YA MAYELE


Mayele keshanusa hatari iliyoko mbele yake na ndiyo maana sasa hivi ameanza vituko,Gamondi anakuja kumpaisha MUSONDA na kila mtu atabaki anashangaa.

Uza Mayele chukua pesa saijili forward mwingine
 
mchezaji anaanza kutengenezwa tangu akiwa mtoto mdogo kwamba akija kuwa mkubwa atachezea Ahly au Zamalek. Yani kama ilivyo kwa madrasa na sunday school. Hata hawa mabwege wa kariakoo wakiamua wanaweza
Hujasikia PYRAMID wameshamchukua ?
✍️
 
kabisa kwa mwezi milion 50 inamaana kwa mwaka milion 600 ambapo bingwa wa ligi kuu jamani yaan unalipa mchezaji mmoja milion 600 aje kukusaidia ligi kuu sawa na thaman yake maana huko kimataifa hakuna uhakika zaidi hata wa kufika tena kuanzia nusu
 
MUSONDA NI HATARI ZAIDI YA MAYELE


Mayele keshanusa hatari iliyoko mbele yake na ndiyo maana sasa hivi ameanza vituko,Gamondi anakuja kumpaisha MUSONDA na kila mtu atabaki anashangaa.

Uza Mayele chukua pesa saijili forward mwingine
Mko kwenye panic ya kuachwa now mnaanza kutafuta visingizio vya kujifariji.

Siku Musonda akisema anataka salary ya 20M, mtasema Mzinze ni hatari kuliko Musonda.

Kubalini tu mwana kawakataa na nguvu ya pesa ya kumfanya abaki hamna sio kuanza kumtabiria mabaya kwenye safari yake.

Au kum-undermine dhidi ya kina Musonda ambao hata nyie msingeweza kumuelewa Nabi siku ambayo Musonda anaanza kwenye mechi muhimu halafu Mayele yupo benchi.
 
Mayele alipwe milioni 50 kwa sababu gani? Kwa ajili ya kugombania shilingi ngapi? kwa kitu gani anacho kwenda kuifanyia Yanga? Huyu huyu Mayele aliye shindwa kuipeleka Yanga kwenye makundi Club bingwa Afrika? Yanga acheni utoto, chukueni hiyo bilioni moja na nusu ya hao mafala waachieni mtu wao muitumie kuchukua wachezaji wenye vipaji ambao hawatahitaji kulipwa pesa nyingi kiasi hicho. Bora muichukue hiyo hela sasa hivi coz msimu ujao anaweza kuflop na kushindwa kuuzika. Ni haramu kukataa hela.

ifike muda sasa Yanga na Simba zianze kutengeneza wachezaji wazawa wenye uzalendo na timu pia. Mbona Ahly na Zamalek wameweza? kama wewe ni mmisri, hauwezi chezea Ahly au Zamalek kama wewe sio shabiki wa timu hizo ambae unatoka katika familia ya wapenzi/wanachama na mashabiki wa timu hiyo.

mchezaji anaanza kutengenezwa tangu akiwa mtoto mdogo kwamba akija kuwa mkubwa atachezea Ahly au Zamalek. Yani kama ilivyo kwa madrasa na sunday school. Hata hawa mabwege wa kariakoo wakiamua wanaweza

Hakuna mtu mwenye uzalendo na team, tuna uzalendo na pesa, mchezaji thamani yake inaletwa na perfomance, mbona hawamtaki onyango hata kwa 3m
 
MUSONDA NI HATARI ZAIDI YA MAYELE


Mayele keshanusa hatari iliyoko mbele yake na ndiyo maana sasa hivi ameanza vituko,Gamondi anakuja kumpaisha MUSONDA na kila mtu atabaki anashangaa.

Uza Mayele chukua pesa saijili forward mwingine
insha'allah
 
kabisa kwa mwezi milion 50 inamaana kwa mwaka milion 600 ambapo bingwa wa ligi kuu jamani yaan unalipa mchezaji mmoja milion 600 aje kukusaidia ligi kuu sawa na thaman yake maana huko kimataifa hakuna uhakika zaidi hata wa kufika tena kuanzia nusu
gbamm
 
kabisa kwa mwezi milion 50 inamaana kwa mwaka milion 600 ambapo bingwa wa ligi kuu jamani yaan unalipa mchezaji mmoja milion 600 aje kukusaidia ligi kuu sawa na thaman yake maana huko kimataifa hakuna uhakika zaidi hata wa kufika tena kuanzia nusu
600M unafikiri ukiipata ndio inakuwa faida?

Angalia katika miaka yote, msimu ulioisha Yanga ndio wame declare kupata faida ya 500M

Hapo kumbuka kulikuwa na zile free flight go and return walizopewa na raisi, kulikuwa na promosheni ya goli la mama.

Pia walipata ma bonus ya kuzidi kutoka kwa wadhamini wakuu, walipata fungu la CAF ambalo ni zaidi ya 2B.

Na zile buku buku za wanazopata kwenye jezi wakakusanya zaidi ya 300M

Lakini pamoja na yote hayo ni kwamba ripoti yao ya matumizi inasema wametumia 17B.

Baada ya kulipa mishahara ya wachezaji na vikolombwezo kibao ndio ikabaki 500M

Ambayo nayo haikukaa muda mrefu Lucy Eymael akaipitia.
 
Ndio hivyo Mayele ameenda PYRAMID
✍️
Wenzetu wanajua mpira ni vita.

Na silaha inayoamua ushindi ni pesa.

Sasa wao wakiona combination za baadhi ya wachezaji kwenye Club zingine zinatishia hatari ya wao kuweza kufungwa basi silaha ni pesa.

Wanamchukua huyo mchezaji pamoja na profile lake linavyombeba lakini unakuta akifika kule anaishia kukaa benchi tu.

Vikwazo kibao mixer ubaguzi mwisho wa siku unakuta mchezaji umevurugika both area mentality and physically.

Hapo timu yenu inakuwa kwenye wakati mgumu kuanza kutafuta ile pattern kutokana na mchezaji ambaye aliyekuwepo kwenye combination kuuzwa.
 
Mko kwenye panic ya kuachwa now mnaanza kutafuta visingizio vya kujifariji.

Siku Musonda akisema anataka salary ya 20M, mtasema Mzinze ni hatari kuliko Musonda.

Kubalini tu mwana kawakataa na nguvu ya pesa ya kumfanya abaki hamna sio kuanza kumtabiria mabaya kwenye safari yake.

Au kum-undermine dhidi ya kina Musonda ambao hata nyie msingeweza kumuelewa Nabi siku ambayo Musonda anaanza kwenye mechi muhimu halafu Mayele yupo benchi.

Messi alipokwenda Psg aliwakataa Barca?,Kuna muda mchezaji anatamani kwenda kubadili upepo sehemu nyingine na hilo huwezi kulipinga,hivyo kama anataka kuondoka yeye aondoke hakuna anayemng'ang'ania,hizo pesa atakazouzwa atanunuliwa mchezaji mwingine wakati huo Musonda anawakanda Makolo
 
Wenzetu wanajua mpira ni vita.

Na silaha inayoamua ushindi ni pesa.

Sasa wao wakiona combination za baadhi ya wachezaji kwenye Club zingine zinatishia hatari ya wao kuweza kufungwa basi silaha ni pesa.

Wanamchukua huyo mchezaji pamoja na profile lake linavyombeba lakini unakuta akifika kule anaishia kukaa benchi tu.

Vikwazo kibao mixer ubaguzi mwisho wa siku unakuta mchezaji umevurugika both area mentality and physically.

Hapo timu yenu inakuwa kwenye wakati mgumu kuanza kutafuta ile pattern kutokana na mchezaji ambaye aliyekuwepo kwenye combination kuuzwa.
Mayele suala la kucheza sio kipaumbele chake yeye anataka hela wakamuweke bench sawa Ila akaunti inasoma
✍️
 
Messi alipokwenda Psg aliwakataa Barca?,Kuna muda mchezaji anatamani kwenda kubadili upepo sehemu nyingine na hilo huwezi kulipinga,hivyo kama anataka kuondoka yeye aondoke hakuna anayemng'ang'ania,hizo pesa atakazouzwa atanunuliwa mchezaji mwingine wakati huo Musonda anawakanda Makolo
Ndio inatokea mchezaji kupenda kubadili mazingira ila sio kwa namna ambayo wewe umemuelezea haoa Mayele

Ulichokiandika kuhusu Mayele kusema kazidiwa na Musonda ndio kitu ambacho mimi nakipinga.

Hii inaonesha mko stressed asf
 
Mayele suala la kucheza sio kipaumbele chake yeye anataka hela wakamuweke bench sawa Ila akaunti inasoma
✍️
Ndio inavyokuwa ila after half season market value yake itashuka.

Na siku wakimvunjia mkataba unakuta hawezi tena kuwa hitaji la muhimu kwenye timu yake ya zamani.

Ndo hapo unakuta mchezaji anakubali ofa yeyote ili mradi tu acheze, mwisho wa siku baada ya performance isiyo ya kuridhisha utashangaa Yanga wamemtoa kwa mkopo aende Ihefu.
 
Back
Top Bottom