Yule alistahili kuambiwa hayo kwa vituko vyakeMtoto anamwambia baba yake saki-mai-diki. Nikisikitika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alistahili kuambiwa hayo kwa vituko vyakeMtoto anamwambia baba yake saki-mai-diki. Nikisikitika sana
Dunia ni Kijiji,unaweza kuwa USA,na ukaendesha kampuni bongo,sio lazima uamie bongo,unaweka matawi TU,vertiv/Emerson ni kampuni ya Italy,ila Ina matawi SA,Kenya,USA,na CEO anaishi Ulaya.Mi naona Lemutuz alikuwa mjasiriamali mpambanaji kwenye sekta ya social media na matangazo. Sekta ambayo kwa Tanzania na kwa ukubwa wake na mazingira ya matangazo mitandaoni, inaweza kuwa na potential ya kukuingizia sio chini ya free cash flow ya Tsh. 5 hadi Tsh. 6 million kwa mwezi ukiondoa gharama za uendeshaji.
Maana yake hiyo inakupa kama Tsh. 60 millioni kwa mwaka au (USD 25,000) na hiyo nadhani ni makadirio ya chini na kati. Sasa sijui kama kuna mtoto wa Lemutuz ambaye yeye huko Marekani anaweza kutengeneza net income ya USD 25,000 kwa mwaka.
Maana yake ni kwamba, mi naona ingekuwa vizuri sana walau hata mtoto mmoja angekuja kusimamia hii biashara ya baba yao na kuiboresha zaidi.
Kwa mahesabu ya ki finance, kwa average return ya 20% kwa mwaka na kwa annual free cash flow ya Tsh. 60 million kwa mwaka, hiyo maana yake inaipa biashara ya Lemutuz, valuation ya kati ya Tsh. 250 milllioni mpaka Tsh. 300 millioni.
Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.
Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.
M-sure aliishi maishi ya kivyake akijiwakilisha mwenyewe mitandaoni bila kujali kuwa ana watoto pia wana access ya mitandao, pia bila kujali kuwa ana wazazi pia ana wafuasi.Sidhani hata laana itampata huyo dogo kwasababu hata mshua mwenyewe tu.
Unamaanisha anbe Kilango?Na wasiwasi huyu mke anawamaliza watoto halali ili wanawe wa nje warithi mali
Yaani wewe umwambie baba yako anyonye uchi wako? Halafu Mungu akae anakuchekea tu, kisa baba yako ni taahira?Yule alistahili kuambiwa hayo kwa vituko vyake
Yaani wewe umwambie baba yako anyonye uchi wako? Halafu Mungu akae anakuchekea tu, kisa baba yako ni taahira?Yule alistahili kuambiwa hayo kwa vituko vyake
Yaan DNA za huyo baba na upuuzi wake ndio ziko kwa mtoto. Unategemea mtoto aweje?Yaani wewe umwambie baba yako anyonye uchi wako? Halafu Mungu akae anakuchekea tu, kisa baba yako ni taahira?
Yote hayo yalianza na mama yao.Sitashanga wasipoona hilo maana tayari akili hawana, kwa afya yake ilipokuea imefikia Lemutuz alikua afe lakini hao watoto wamemuongezea speed
Baraka ni maneno, Mali na Pesa ni matokeo ya baraka
Baraka zinafuata mkondo toka kwa Mungu, zinashuka kwa baba kisha kwa watoto
Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee
KUTOKA 20:12
“WAHESHIMU BABA yako na MAMA yako, ili uishi MAISHA MAREFU katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.
Yote hayo yalianza na mama yao.
Kama mama yao angekuwa na hekima wale watoto wange reconcile na baba yao kabla hajafa.
Wakajivika umarekani mwingi stupid.
Sijui hata huko states kama Wana maisha ya maana sana usikute saivi wananyonywa na mikopo ya Chuo plus mortgage.
Si Bora wangekuwa celebrities au Fani Fulani
Gadem!!
Wanawake acheni kusambaza sumu kwa watoto
Watanzania bana hatuwezekani si ajabu ndio maana hata bandari tumeshindwa kuindesha hadi wakaletwa waarabu, kisa tumekalia mambo yasiyotuhusu, wewe ni nani hadi uwashauri hao watoto?Mi naona Lemutuz alikuwa mjasiriamali mpambanaji kwenye sekta ya social media na matangazo. Sekta ambayo kwa Tanzania na kwa ukubwa wake na mazingira ya matangazo mitandaoni, inaweza kuwa na potential ya kukuingizia sio chini ya free cash flow ya Tsh. 5 hadi Tsh. 6 million kwa mwezi ukiondoa gharama za uendeshaji.
Maana yake hiyo inakupa kama Tsh. 60 millioni kwa mwaka au (USD 25,000) na hiyo nadhani ni makadirio ya chini na kati. Sasa sijui kama kuna mtoto wa Lemutuz ambaye yeye huko Marekani anaweza kutengeneza net income ya USD 25,000 kwa mwaka.
Maana yake ni kwamba, mi naona ingekuwa vizuri sana walau hata mtoto mmoja angekuja kusimamia hii biashara ya baba yao na kuiboresha zaidi.
Kwa mahesabu ya ki finance, kwa average return ya 20% kwa mwaka na kwa annual free cash flow ya Tsh. 60 million kwa mwaka, hiyo maana yake inaipa biashara ya Lemutuz, valuation ya kati ya Tsh. 250 milllioni mpaka Tsh. 300 millioni.
Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.
Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.