Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
-
- #501
Kuna kitu kinaitwa black fungi,unakuta imesagwa vizuri ni nyeusi rangi ya mkaa uliosagwa vyema.Kama unaweza kuipata niambie nikuelekeze pia namna unavyoweza kuitumia sambamba na hiyo Tonic.Asante mkuu
Ndimu ya unga naipata leo
Nikimaliza dozi, Nitaleta mrejesho hapa
Shukrani sana
Mkuu black fungi naipata supermarket pia au maduka gani wanauzaKuna kitu kinaitwa black fungi,unakuta imesagwa vizuri ni nyeusi rangi ya mkaa uliosagwa vyema.Kama unaweza kuipata niambie nikuelekeze pia namna unavyoweza kuitumia sambamba na hiyo Tonic.
Nakuhakikishia baada ya mwezi.Utanitumia zawadi nzuri.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Shukrani sana kiongozi kwa ufafanuziHuo ni mnato wa damu. Ni kipimo cha unene na mnato wa damu ya mtu binafsi. Ni kipimo cha moja kwa moja cha uwezo wa damu kutiririka kupitia mishipa ya damu.
Uwezo wa damu kutiririka katika mishipa huamua ni kiasi gani cha msuguano ambacho damu husababisha katika njia zake, jinsi moyo unavyofanya kazi kwa bidii ili kusukuma damu kupitia mwili, na ni kiasi gani cha oksijeni kinachotolewa kwa viungo na tishu.
Mnato wa damu unahusishwa na sababu zote zinazojulikana za hatari kwa ugonjwa wa moyo na mishipa. Mnato wa damu ulio mkubwa ni hatari kwa sababu unaweza kusababisha matatizo katika mishipa ya damu na hatimaye tatizo la moyo.
Kwa hiyo lazima damu iwe katika uwiano sawia wa mnato unaotakiwa kiafya ili iwe nyepesi kutirika katika njia zake.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Acha ulongo wewe,kwahiyo ukikuta ngozi za wanyama huo ni ushirikina!?,nambie dawa ambazo ni zahospital ila hazina mashariti,taja dawa hizo hapa tujue,hizi dini zenu za kukalili zinawaharibu sanaKuna watu hasa wasomi,na wenye Imani za Dini tofauti, huwa wanachanganya tiba za asili za na Uganga wa Uchawi, naomba leo nieleze kidogo kwa ueleo wangu mdogo,
Kwanza utamjuaje mganga wa Mungu,na Mganga mshirikina wa shetani,
Mganga mshrikina wa shetani unapofika ofisini kwake utakutana na vitu vifuatavyo, ngozi za wanyama,mikia ya wanyama,vinyago vya wanyama,ngoma na vitamba vya rangi nyeupe na nyekundu.na hupenda kukwambia maisha yako ya baadaye, au kukwambia mambo yaliyojificha kama sijui anakuloga nani?na Mengine.Anayejua mambo ya kesho ni Mwenyezi Mungu peke yake,
Mganga wa kweli anatasikiliza shida zako,atakupa dawa, zisizokuwa na masharti yoyote yale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]Uzi unakwenda page ya nane halafu sijaona mtu anaulizia dawa ya nguvu za kiume au mnaenda pm, hizi aibu ndo zinafanya vijana tunashindwa kuuza mahindi barabarani tukapata hela, mkuu ukitulia tupe mizizi tuongezee booster utakuwa umesaidia wengi sana
Aisee hakika uko serious[emoji120][emoji120] Black fungi inapatikana kwenye supermarket pia ingawa ni adimu sana mpaka ubahatishe.Huwa ipo tunaiandaa kwa njia za asili na inakuwa the best sana,ukikwama nitakupa usaidizi kwa kuchangia gharama zake.Mkuu black fungi naipata supermarket pia au maduka gani wanauza
Hii vinegar nimepata ya Apple Au lazima Ile nyeupe kama maji View attachment 2558956
Niko serious mkuuAisee hakika uko serious[emoji120][emoji120] Black fungi inapatikana kwenye supermarket pia ingawa ni adimu sana mpaka ubahatishe.Huwa ipo tunaiandaa kwa njia za asili na inakuwa the best sana,ukikwama nitakupa usaidizi kwa kuchangia gharama zake.
Bila shaka hiyo Venegar ni 1L.Hakikisha sasa unamix na robo kilo ya hiyo limao ya unga then unaongeza kiwango cha maji kama nilivyoelekeza.
Ukipata sasa na hiyo black fungi ya unga,unakuwa unamix kijiko kimoja kwenye maji moto plus vijiko vitatu vya tonic kwenye glass yako.Unatumia asubuhi na jioni.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni shida kubwa,subiri wakati sahihi wa hiyo shida ukifika utajua vizuri.Si ajabu ukatumia gharama kujitibu kuliko unavyofikri sasa.Dr anakwambia siyo shida wakati damu haitembei kwa mtiririko unaotakiwa??Shukrani sana kiongozi kwa ufafanuzi
Nimeuliza hili swali kutokana na changamoto kidogo,nilikua mdau wa kuchangia damu ila mara 2 nilipata changamoto maana damu ilikua inatoka kwa shida sana japo damu ya kutosha ilikuwepo.
Dr. akaniambia ni viscosity ila akasema haina shida kumbe inabidi nifuatilie kwa kina.
Iko sawa mkuu.Niko serious mkuu
Ntakucheki ili nipate hiyo booster yake
Ujanijibu Hii vinegar ya apple itafaa au lazima Ile white?
Asante sana inabidi nichukue hatua mapema aiseeHiyo ni shida kubwa,subiri wakati sahihi wa hiyo shida ukifika utajua vizuri.Si ajabu ukatumia gharama kujitibu kuliko unavyofikri sasa.Dr anakwambia siyo shida wakati damu haitembei kwa mtiririko unaotakiwa??
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Uzi unakwenda page ya nane halafu sijaona mtu anaulizia dawa ya nguvu za kiume au mnaenda pm, hizi aibu ndo zinafanya vijana tunashindwa kuuza mahindi barabarani tukapata hela, mkuu ukitulia tupe mizizi tuongezee booster utakuwa umesaidia wengi sana
Yaani inashangaza kwakweli wakati dadazetu kila siku hawaishi kulalama vijana tumekuwa kama jogoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mama mchungaji mwanamke alisema wale wanaosumbuliwa na nguvu za kiume wapite mbelee
Nikasubiria nione mtu atapita hakwenda hata mmoja [emoji23][emoji23] nacheka kama mazuri
Unajua kama ujui kitu, kubali kuelimishwa,siyo kupinga kitu ambacho hujui.Mimi nimesoma jinsi ya kumjua mganga wa kweli na wauongo,Sababu kuna vitabu vingine kama Quruani ni sawa,ukisomewa baadhi ya Aya,Acha ulongo wewe,kwahiyo ukikuta ngozi za wanyama huo ni ushirikina!?,nambie dawa ambazo ni zahospital ila hazina mashariti,taja dawa hizo hapa tujue,hizi dini zenu za kukalili zinawaharibu sana
Alikwenda mmoja tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mama mchungaji mwanamke alisema wale wanaosumbuliwa na nguvu za kiume wapite mbelee
Nikasubiria nione mtu atapita hakwenda hata mmoja [emoji23][emoji23] nacheka kama mazuri
Sikuona clip ilikuwa fupi unaweza rusha link hapaAlikwenda mmoja tu
Nimependa ulivyomaliziaNilichuma saizi ya kiganja changu nikayaosha kisha nikachemsha maji nusu kikombe, nikayaepua kisha nikadumbukiza humo hayo majani yakakaa daki 2-3 kisha nikatafuna nikanywa na maji yake.