Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
-
- #41
Mjafari hautibu nguvu za kiume! Mjafari hushughulika zaidi na matatizo ya tumboni kama tumbo kuuma,kujaa gesi na unasaidia sana kwa wenye vidonda vya tumbo ukitumiwa kwa usahihi endapo maandalizi yake ni madhuri.Unawezaje kutumia unga wa mjafari ni kweli unatibu nguvu za kiume na je ni sawa na vumbi la kongo (booster)au zinatibu kidogodogo
Hii dawa itafaa kwa mtoto wa miaka 3 kasoro anayesumbuliwa kikohozi zaidi ya miezi 7, kanywa dawa za kutosha za hosptalini mpaka kilimi kimekatwa. Still anakohoa
Kama unaweza kupata ukoko wa moshi, Hupatikana kwa wapishi wa kuni ukutani,changanya maji ya ndulele bila kusahau maji ya mbono kwa pamoja.Tumia kidole chako kirefu kuweka huku ukikorokota kwa kugusa sehemu husika,fanya mara tatu kwa siku.Changanya kiasi kidogo kila unapotaka kutumia.Naomba kujua dawa ya asili ya kutibu kilimi cjui kiswahili kingine naweza kusema vip ,hapa kwenye koromeo kimerefuka kidogo hivyo kinasababisha kukohoa sana ,nini tiba yake tofaut na kukikata
Ng'ocha ngokoJe Kuna mitishamba inayoongeza ukubwa wa uume? Kama ndiyo ni ipi? Usijali lugha itaje kwa lugha yoyote hakuna shida
Hio dawa umeitaja kilugha au mbona kama sijaelewaNg'ocha ngoko
Kumbwa mbezo nk
Mitishamba hiyo huhusisha kuimarisha misuli ya uume iliyolegea na kuifanya imara,huondoa chango la kiume ambalo ndilo chanzo hasa cha maumbile kusinyaa! Hurekebisha homoni ya kiume na hivyo huongeza maradufu na ni tiba ya nguvu za kiume kama ikiandaliwa katika mazingira sahihi na kutumiwa kwa weledi
🤣🤣🤣🤣Naomba uwe unaweka na picha za mizizi au mimea tiba
😂😂😂Hio dawa umeitaja kilugha au mbona kama sijaelewa
Kama unaweza kupata ukoko wa moshi, Hupatikana kwa wapishi wa kuni ukutani,changanya maji ya ndulele bila kusahau maji ya mbono kwa pamoja.Tumia kidole chako kirefu kuweka huku ukikorokota kwa kugusa sehemu husika,fanya mara tatu kwa siku.Changanya kiasi kidogo kila unapotaka kutumia.
Kuna mtu ana 1Mil akipewa dawa apone tatizo la nguvu za kiume tu! Adindishi tunafanyaje tule hela?
Apone kwanza lakiniNitafute inbox dawa ninazo
Jaribu kutumia bamia,hizo bamia ukipika zisihivie,ziwe nusu mbichi nusu kuiva kula kama kumi hivi kwa siku, tatizo lako litakwisha ndani ya mweziMkuu dawa ya asili ya magoti. Daktari ameniambia ute umekwisha mifupa inagusana
Mbono ni huo mtiMaji ya mbono ndio nini kidogo hapo umeniacha ukoko wa moshi nitatafuta sehem yoyote naweza pata ninaomba tu uniambie kiswahili kingine cha mbono