BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Nasikia mafuta ya taa yanaondoa nyege ila sina uhakikaMimi nataka dawa itakayo kata hamu ya tendo hata kwa miaka miwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia mafuta ya taa yanaondoa nyege ila sina uhakikaMimi nataka dawa itakayo kata hamu ya tendo hata kwa miaka miwili
Asante sana kiongozi! Wacha nikatafute asali mbichi! Je ni asali ya nyuki gani!? wadogo au wakubwa!
kweli maana tumetumia sana hii kitu bado tuVilevile kwa Mtu anayesumbuliwa na Presha ya kupanda tumia Vitungu swaumu au Ubuyu,
Chukua punje za vitungua Swaumu robo kilo, vimenye maganda,viroweke ndani ya chupa ya maji ya ujazo wa lita 1.5, ila usivitwange kunywa maji yake kwa kadri utakavyoweza, baada ya masiku nenda kapime presha.Mungu ndiye mponyaji zaidi
Nasikia mafuta ya taa yanaondoa nyege ila sina uhakika
Jaribu kuongeza Kinga ya mwili utashangaa mapele yote YANAPOTEA KWA KASI.
Kula matunda kila siku, pamoja na kutumia vitunguu swaumu asubuhi na jioni kwa sababu vina antibiotic, antiviral na antifungal properties.
Yale madawa unayojipaka yatazidi kuua bakteria wazuri wa kwenye ngozi. ACHANA NAYO.
PIGA VITUNGUU SWAUMU KILA SIKU KWA MIEZI MIWILI USIPOPONA NAJIONDOA JAMIIFORUMS NAJITOSA BAHARINI.
Moja kwa moja.Hata zamani walitibu kwa mimea,operation zimeshamiti sana siku za hivi karibuni.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
inategemeana na chanzo cha tatizo, lakini machunusi sugu mara nyingi yanasababishwa na SUMU MWILINI.Kwa mtu mwenye chunusi uson apake nin?
Hizi ni aina tofauti zinavunwa kutoka kwenye mapori yetu.Mikoa ya pwani,Tabora baadhi ya sehemu kanda ya ziwa ipo ya kutosha.Sasa mkuu mwembe pori unakua tofauti na miembe hii ninayoijua kama maembe dodo n.k
Mwembe pori unafananaje?
Mkundekunde ni hizihizi kunde za mboga?
Natanguliza Shukrani
Pole sana.Wakati mwingine hizo zinakuwa siyo UTI za kawaida ila ni zinaa kabisa.Nimekutana na hizi kesi mara nyingi sana kwa hiyo nafahamu.Mkuu nmekuwa nikisumbuliwa na UTI Sugu na nmejaribu Dawa mbali mbali za hospitali bila mafanikio ...hivyo nakuomba unipe mwongozo jinsi ya kuondokana na hili tatizo
Mhuu hii sina uelewa nayo Mkuu.Maana tatizo hili siyo changamoto kwenye jamii.Changamoto kubwa ni kukosa hamu na nguvu.Ingekuwa hivyo yenyewe unapata bila wasiwasi.Subiri wajuvi wengine wajeMimi nataka dawa itakayo kata hamu ya tendo hata kwa miaka miwili
Kunywa au kupakainategemeana na chanzo cha tatizo, lakini machunusi sugu mara nyingi yanasababishwa na SUMU MWILINI.
Anza kufanya tiba ya kuondoa sumu mwilini, ikiwemo kuacha kunywa soda, juisi, nyama nyekundu, na mavyakula yote ya viwandani. Epuka madawa ya hospitali yasiyo na ULAZIMA.
TIBA NI VITUNGUU SWAUMU KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI KWA MIEZI MITATU.
VITUNGUU SWAUMU VINAONDOA SUMU NA MATAKATAKA YOTE MWILINI PAMOJA NA KUONGEZA KINGA YA MWILI.
MACHUNUSI NA MAPELE YOTE YATATOKOMEAA POPOTE YALIPO.
PIA FANGASI, VIRUS NA MABAKTERIA YOTE YALIYO KWENYE DAMU YATAKUFA.
Hapa namjibu na Lubengera
Sawa sawa Ng'wing'wana twicholage nakubegeje ulolele ho nag'ho!Unafanyeje sasa ndūgū wane?
Nigunanage nkoyi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Pole sanaMimi nataka dawa itakayo kata hamu ya tendo hata kwa miaka miwili
ndio mkuu nipe maelekezo naweza kulizia ata kwa watu wakanisaidia
Kwanza kabisa nashukuru sanaa kwa maelezo yako mkuu ...ila in short sio kwamba nimefakamia mwanamke mwenye PID Hapana bali ilitokea kwa sababu tu ya uchafu wa vyoo kwa sababu mimi ni mwanachuo hivo nilikuwa nakaa hostel ....na nilichelewa kutumia dawa mapema lakini pamoja nakutumia dawa lakini ilikuwa bure ,dalili nilizonazo ni maumivu wakati wak wa haja ndogo,mostly nikinywa maji mengi sanaa lakini muda mwingine hakuna maumivu na ni muda sanaa almost toka 2021 Mpaka sasa hivi hili tatizo linanisumbua sanaa mkuuPole sana.Wakati mwingine hizo zinakuwa siyo UTI za kawaida ila ni zinaa kabisa.Nimekutana na hizi kesi mara nyingi sana kwa hiyo nafahamu.
Unapata dalili zipi? Funguka tukusaidie kama unatoa uchafu au usaha kwenye bomba sema hapa.Unaweza kuwa ulifakamia mwanamke mwenye PID unateseka na hao Bacteria.Hao mpaka mizizi strong kabisa.Ant biotics unaweza kunywa maisha bila mabadiliko.Unapata nafuu baada ya mwezi au miezi miwili [
TAFUNA FUNGU ZIMA LA KITUNGUU SWAUMU ASUBUHI NA MCHANA FUNGU MOJA MOJA.Kunywa au kupaka