Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

Naomba kufahamu bei ya robota ya koti za suti na suruali na mahali zinapopatikana. Mawasaliano 0754719823
 
Uulizwe maswali yote we google?
Isitoshe hujajibu hata moja mpaka sasa, mi nataka kujua majina ya watu elfu 5 waliokula mkate mmoja wa yesu wakashiba?
Mkuu umenifanya nichekee kwenye daladala hadi watu wakanishangaa
 
Yani anunue mtumba Dar akauze Mbeya? Are you serious mkuu! Mtumba ulivyo cheap Mbeya sasa atapata faida gani? Unajua kwamba kuna uwezekano wa raba pair moja ya Tshs. elfu 8 Mbeya Dar ukaiuza kwa tshs.elfu 40!
There must be a problem somewhere katika ufikiriaji wako.
 
Habari mkuu, mimimnatafuta soko la korosho za kubangua, zile za kuoka na zisizookwa! naomba nijulishwe soko lipo wapi?
 
Vp kuhusu soko la ndiz mbich znazotoka mikoan kuja dar lipo vzur au n kitendawil pale mabibo.
 
Nauliza juu ya biashara ya vifaa vya viatu..kuanzia kamba,soli na rangi mbali mbali za viatu je inalipa?na ivo vifaa naweza vipata wap kwa bei ya jumla?
 
Mm Nina biashara yangu ya kuuza dagaa wa mwanza biashara nafafanyia Tabora mjini nahitaji kujitanua zaidi kibiashara nahitaji kupata soko mikoa ya kusini Lindi Mtwara Songea na Iringa naomba unisaidie kupata masoko au washirika tutakaofanyanao biashara.
 
Mkuu mi naishi mbeya nilikuwa natamani sana kuanza biashara ya mazao kutoa mbeya kuleta dar kama mchele maharage kwa kuanza mtaji wangu ni 3M je unanishaulije mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…