Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

Hizo tofauti ni zipi?nadhani ndio msingi wa swali.

#MaendeleoHayanaChama
Binafs sinawahi kuona tofauti zaidi ya utofauti wa miaka ya kusoma.

Kila kitu anachosoma na kufanya MD kipindi chote cha kozi yake BCMS anafanya pia Including Cadaver dissection ,Junior and senior rotation.

Zaidi BCMS wa miaka 4 anafanya semester 12 (Kuna semester 3 Kwa mwaka hutegemeana na chuo.

BCMS wa miaka 3 anasoma jumla ya semester 9 .

MD anasoma semester 10 (Kwa miaka 5 ,Kwa mwaka anasemester 2)


Naomba kuweka curriculum ya MD na BCMS
 
Acheni uzembe BCMS ndo Elimu gani hizo.??Someni MD ndiyo maana AMO ilifutwa hamuwezi kusoma MD means hamnaakili ya kuwa madaktari !
 
Hoja dhaifu, fear of uncertainty...
Yes ilikuwa ianzishwe na curriculum ilikuwa tayari UDOM ndo walikuwa tayari lakini MAT (Medical Association of Tanzania) walipinga Sana hili kuwa kutatokea ugomvi baina ya MD na BCMS haiwezekani degree mbili zikakaa pamoja .Wakarefer ugomvi uliopo Kati ya AMO na MD kwa siku za nyuma.
 
Acheni uzembe BCMS ndo Elimu gani hizo.??Someni MD ndiyo maana AMO ilifutwa hamuwezi kusoma MD means hamnaakili ya kuwa madaktari !
Wewe jamaa acha roho mbaya...wewe hizo akili ndio zinakifanya uweke comment ya hovyo..kaa kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021.

Kwasasa ninafanya kazi hospitali ya private iliyoko hapa TANGA, Niko kitengo cha upasuaji tukiwa madaktari wa 3. Kwa level yangu ninafanya procedure zote anazoruhusiwa kufanya AMO na MD

Niliambiwa hapa Tanzania Kuna wahitimu wengine lakini sijajua wako wapi na ninaweza kuwapataje.

NOTE:
1. Sitambuliki kama MD Wala kama AMO bali natambulika kama MEDICAL LANCIENT(ML) au ALLIED HEALTH PRACTIONER.
2. Toufati na AMO Mimi ninaruhusiwa kuanza na prifix "Dr" kama alivyo MD
3. Siruhusiwi kusoma Kwa level ya masters kozi za Masters of medicine (MMED) kama ilivyo kwa MD ,lakini ninaruhusiwa kusoma kozi zote za MSC.
4. MCT waliniambia kuwa pamoja na kuwa Nina utofauti wa AMO lakini kitumishi bado natambulika kama AMO na ngazi ya mshahara ni TGHS D.

5. Usajili nilioupata nisawa na ule wa AMO.

6. Wakati wa kujaza form za wagonjwa wa NHIF ,Nina prescribe kuanzia A mpaka C.

Kama Kuna swali kutoka lolote Kwa anayetaka kufahamu kuhusu kozi hii nakaribisha.
We jamaa kama unachat humu huku unasurgerize jiangalie usije ukasahau mswaki tumboni!
 
Yes ilikuwa ianzishwe na curriculum ilikuwa tayari UDOM ndo walikuwa tayari lakini MAT (Medical Association of Tanzania) walipinga Sana hili kuwa kutatokea ugomvi baina ya MD na BCMS haiwezekani degree mbili zikakaa pamoja .Wakarefer ugomvi uliopo Kati ya AMO na MD kwa siku za nyuma.
Wasomi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe...hapo ndio maono yao yamefika mwisho?
 
Wasomi wa nchi hii akili zao wanazijua wenyewe...hapo ndio maono yao yamefika mwisho?
Kuna fursa nyingi sana watanzania wanakosa kwa sababu ya mwasomi wapumbafu na wenye uchu wa mdaraka walio kwenye ngazi za maamuzi...hivi kuna ubaya gani wa hiyo kozi kuanza hapa nchini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi ni mhitimu wa kozi hii, nilisomea Chuo kikuu cha Rwanda (UNIVERSITY OF RWANDA) Kwa miaka 4 Na mwaka mmoja wa Internship. Nilihitimu mwaka 2020 .Baada ya kumaliza niliomba kufanya Internship hospitali ya Mnazi mmoja -Zanzibar kupitia wizara ya Afya na MCT nikamaliza mwaka Jana 2021.

Kwasasa ninafanya kazi hospitali ya private iliyoko hapa TANGA, Niko kitengo cha upasuaji tukiwa madaktari wa 3. Kwa level yangu ninafanya procedure zote anazoruhusiwa kufanya AMO na MD

Niliambiwa hapa Tanzania Kuna wahitimu wengine lakini sijajua wako wapi na ninaweza kuwapataje.

NOTE:
1. Sitambuliki kama MD Wala kama AMO bali natambulika kama MEDICAL LANCIENT(ML) au ALLIED HEALTH PRACTIONER.
2. Toufati na AMO Mimi ninaruhusiwa kuanza na prifix "Dr" kama alivyo MD
3. Siruhusiwi kusoma Kwa level ya masters kozi za Masters of medicine (MMED) kama ilivyo kwa MD ,lakini ninaruhusiwa kusoma kozi zote za MSC.
4. MCT waliniambia kuwa pamoja na kuwa Nina utofauti wa AMO lakini kitumishi bado natambulika kama AMO na ngazi ya mshahara ni TGHS D.

5. Usajili nilioupata nisawa na ule wa AMO.

6. Wakati wa kujaza form za wagonjwa wa NHIF ,Nina prescribe kuanzia A mpaka C.

Kama Kuna swali kutoka lolote Kwa anayetaka kufahamu kuhusu kozi hii nakaribisha.
Mkuu, je rwanda wana course equivalent na md ya kwetu?
 
Nimemaliza mwaka wa 5 ila nina sup moja chuo. Jina langu linaweza likapelekwa MCT ili nianze intern nikisubiri kufanya hiyo sup mbeleni ???
 
Kuna fursa nyingi sana watanzania wanakosa kwa sababu ya mwasomi wapumbafu na wenye uchu wa mdaraka walio kwenye ngazi za maamuzi...hivi kuna ubaya gani wa hiyo kozi kuanza hapa nchini.

#MaendeleoHayanaChama
ni ufinyu wa fikra,degree mbili tofauti,kazi moja,shida iko wapi?..watu wanaacha kufikiri kwa maslahi mapana ya uma wanajali interest zao binafsi.
 
Back
Top Bottom