Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

feyzal habari yako Tabibu.
Gharana za BCMS (Bachelor of clinical medicine and surgery ) hutegemeana na nchi na chuo.Hak3una fixed amount .
Mfano :Kenya Kuna vyuo 9 vinavyotoa kozi hii na Kati ya hivyo vyuo kuna vya binafsi na vya Umma.
KISII UNIVERSITY (Kenya) Ada Tsh 4M Kwa mwaka
MOUNT KENYA ADA mi TSH 3M Kwa mwaka
GREAT LAKES UNIVERSITY (private) Ada ni TSH 6M unalipa mara tatu maana Hawa wanasemeter tatu Kwa mwaka(TRIMESTER)
RWANDA UNIVERSITY ADA nilikuwa nalipa TSH 4M Kwa mwaka.
Zambia University Ada Tsh 2.5M Kwa Mwaka
KIU (Uganda) Ada ni Tsh 5M

VIGEZO:
Diploma of clinical medicine(Hakuna uhitaji wa GPA ) wao wanataka certified ,licenced and verified certificate.

ANGALIZO:Ukirudi Tanzania kama GPA yako ilikuwa chini ya 3.0 utatakiwa kusoma FOUNDATION COURSE ya OPEN UNIVERSITY ILI waweze kuverify cheti chako.MCT hawatakupokea bila TCU verification.
Kuna mambo matatu kama GPA yako iko chini 3.0 usome Kwanza FOUNDATION YA OUT ndipo uende kusoma BCMS au Uende kusoma BCMS kwenye hizo nchi lakini ujue kuwa una TCU la GPA.
Tatu kama unaweza usome vyote viwili kwa wakati mmoja.
tatizo la wakunya ni wasanii sana
 
Daktari!Uko sahihi ndiyo maana baada ya wadau kuamua iwepo Tanzania mwaka 2015 !Wenye akili nyingi kama wewe walikataa.Lakini pia pamoja na kukataa watu tukaenda kusoma nje na TCU ikawa haina ujanja wa kukataa ni Universal course.

Pamoja na yote hayo sasa Nina uwezo wa kusoma Master's degree pamoja na wewe,

Umetumia Akili nyingi mkuu.
 
Nina swali nje ya mada kwa yeyote atakayepitia comment hii,ni chuo gani kwa East africa kinachotambulika na TCU na kinatoa degree za afya kwa njia ya masafa? nimekosa kigezo cha OUT kusoma bachelor of food, nutrition and dietetics kwani G.P.A yangu ni 3.4.
Duh pole sna ila nahis hakun chuo ich kwa tnz
 
Je AMO yeye anaweza kujiendeleza kitaaluma na kuwa MD kwa muundo wa Tanzania?
 
Back
Top Bottom