Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

Niulize chochote kuhusu Bachelor of Clinical Medicine and Surgery (BCMS)

ni ufinyu wa fikra,degree mbili tofauti,kazi moja,shida iko wapi?..watu wanaacha kufikiri kwa maslahi mapana ya uma wanajali interest zao binafsi.
Kwanza itasaidia kuongeza wingi wa madaktari nchini..ili kufanikisha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi..hii nchi ina wasomi wapumbafu sijapata kuona.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acheni uzembe BCMS ndo Elimu gani hizo.??Someni MD ndiyo maana AMO ilifutwa hamuwezi kusoma MD means hamnaakili ya kuwa madaktari !
Daktari!Uko sahihi ndiyo maana baada ya wadau kuamua iwepo Tanzania mwaka 2015 !Wenye akili nyingi kama wewe walikataa.Lakini pia pamoja na kukataa watu tukaenda kusoma nje na TCU ikawa haina ujanja wa kukataa ni Universal course.

Pamoja na yote hayo sasa Nina uwezo wa kusoma Master's degree pamoja na wewe,
 
Nimemaliza mwaka wa 5 ila nina sup moja chuo. Jina langu linaweza likapelekwa MCT ili nianze intern nikisubiri kufanya hiyo sup mbeleni ???
Soma tena post!Najibu maswali ya BCMS
 
Kuna vitu hapa sijaelewa.
Kwa mfano.
-Huko kwenye hizo nchi ambako hiyo kozi inatolewa, wahitimu wanatambulika kama equivalent to MD?

-Kama karibu kila kitu kinafanana na MD, kwanini hapa Tz mfumo wa ajira ukutambue kama AMO?

-Ni vipi mhitimu wa hiyo kozi atambulike kwa Prefix ya Dr wakati hiyo prefix inamuhusu mhitimu wa degree ya kwanza ya Doctor of Medicine?

-Jamii inaweza kumuita mtu yoyote anayetibu mgonjwa kuwa ni Dr, lakini linapokuja suala la kiofisi rasmi inaweza isiwe hivyo. Je kwa mhitimu wa hii kozi, je rasmi mamlaka za kiserikali na muundo wake unamtambua kama Dr ?
 
Kuna vitu hapa sijaelewa.
Kwa mfano.
-Huko kwenye hizo nchi ambako hiyo kozi inatolewa, wahitimu wanatambulika kama equivalent to MD?

-Kama karibu kila kitu kinafanana na MD, kwanini hapa Tz mfumo wa ajira ukutambue kama AMO?

-Ni vipi mhitimu wa hiyo kozi atambulike kwa Prefix ya Dr wakati hiyo prefix inamuhusu mhitimu wa degree ya kwanza ya Doctor of Medicine?

-Jamii inaweza kumuita mtu yoyote anayetibu mgonjwa kuwa ni Dr, lakini linapokuja suala la kiofisi rasmi inaweza isiwe hivyo. Je kwa mhitimu wa hii kozi, je rasmi mamlaka za kiserikali na muundo wake unamtambua kama Dr ?
Kuna vitu hapa sijaelewa.
Kwa mfano.
-Huko kwenye hizo nchi ambako hiyo kozi inatolewa, wahitimu wanatambulika kama equivalent to MD?

-Kama karibu kila kitu kinafanana na MD, kwanini hapa Tz mfumo wa ajira ukutambue kama AMO?

-Ni vipi mhitimu wa hiyo kozi atambulike kwa Prefix ya Dr wakati hiyo prefix inamuhusu mhitimu wa degree ya kwanza ya Doctor of Medicine?

-Jamii inaweza kumuita mtu yoyote anayetibu mgonjwa kuwa ni Dr, lakini linapokuja suala la kiofisi rasmi inaweza isiwe hivyo. Je kwa mhitimu wa hii kozi, je rasmi mamlaka za kiserikali na muundo wake unamtambua kama Dr ?
Maswali mazuri sana.

Waanzilishi wahii kozi ni Kenya nchi nyingine zilifuata baada ya Kenya Kati ya nchi zote ,ni South Sudan Pekee ambayo iliruhusu wahitimu kuwa sawa na MD(MEDICAL OFFICER) .Nchi nyingine kama Zambia ,Malawi na Tanzania ziliwapa hadhi kidogo kwa kuwapa hadhi ya Jina jipya(MEDICAL LANCIENT (ML) na kuruhusu kuanza na Dr officially.
Kenya,Uganda na Rwanda wanaita Clinical officer with Bachelor level kubwa tu niongezeko la mshahara kwao in fact wanalipwa vizuri compare to any other countries. Huku mwenye diploma Ina Clinical medical akiitwa Registered Clinical officer.

2.Shida ya miaka ya kuhitimu ndiyo tatizo,hili swali nilijibu mwanzo vizuri kuwa content tunafanana.MD anasoma miaka 5 in semester wise na kukamilisha semester 10.BCMS anamaliza miaka 3 au 4 hutegemeana na chuo in trimester wise (Kwa mwaka ni semester 3) na kukamilisha semester 9 au 12 respectively.
Utofauti huo ulisababisha kuumiza vichwa na kufikia uumuzi wa not equal to MD .

3.Nimeeleza zaidi ya mara mbili humu BCMS we are official allowed to start with prefix "Dr".Not only in patient perspective but also officer.

Ingia MCT such Makina haya

1.Dr.Adela Maria
2.Dr.Walter Kumaro
3.Dr.Simion Angelo Sylvester

Halafu such majina ya clinical officer au AMO yeyote unayemjua utaona utafauti.

Clinical officer MCT hajampa Initial title ya Dr
AMO MCT haijampa initial tittle
 
Kuna vitu hapa sijaelewa.
Kwa mfano.
-Huko kwenye hizo nchi ambako hiyo kozi inatolewa, wahitimu wanatambulika kama equivalent to MD?

-Kama karibu kila kitu kinafanana na MD, kwanini hapa Tz mfumo wa ajira ukutambue kama AMO?

-Ni vipi mhitimu wa hiyo kozi atambulike kwa Prefix ya Dr wakati hiyo prefix inamuhusu mhitimu wa degree ya kwanza ya Doctor of Medicine?

-Jamii inaweza kumuita mtu yoyote anayetibu mgonjwa kuwa ni Dr, lakini linapokuja suala la kiofisi rasmi inaweza isiwe hivyo. Je kwa mhitimu wa hii kozi, je rasmi mamlaka za kiserikali na muundo wake unamtambua kama Dr ?
Sorry!

Kuna sehemu nilikuwa sijakupata !

Mfumo wa ajira kwanini unamtambua kama AMO?

Yes,kutokana na uchache wetu nchi nzima hatufiki 50 wahitimu wa kozi hii .Wahitimu wa awali waliwahi kulalamika utumishi, wakaambiwa ni kozi mpya haijaingizwa kwenye mfumo kwahiyo wanasubiri barua kutoka baraza la usajili(MCT) kupitia kwa KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA .MCT ambaye ndiye msajili bado anaumiza kichwa kukubali kuwa huyu ni sawa na MD au ni sawa na AMO au aundiwe muundo wake na daraja lake.Tangu mwaka 2013 wahitimu wa Kwanza kuanza kuingia nchini KITENDAWILI HIKI KIMEKUWA KUGUMU KWA MCT na hivyo UTUMUSHI kutumia AMO.


Karibu kwa swali jingine
 
Siasa nyingi... na hii imetuweka nyuma sana kwenye mambo mengi.

Kuna "cult" flani ipo hasa kwenye chuo cha wanaojiona wao ndo "brain ya Tanzania"

Kwa hiyo mentality wamejikuta hata wahitimu wao wanakosa GPA za kuwa wakufunzi hasa baada ya kuwakomoa kwa kuwapa maksi ndogo.

Poleni sana wahanga.. ila hicho kizazi "limbukieni" kinafikia ukingoni(machweo)

WADAU MMENiELEWA
 
Siasa nyingi... na hii imetuweka nyuma sana kwenye mambo mengi.

Kuna "cult" flani ipo hasa kwenye chuo cha wanaojiona wao ndo "brain ya Tanzania"

Kwa hiyo mentality wamejikuta hata wahitimu wao wanakosa GPA za kuwa wakufunzi hasa baada ya kuwakomoa kwa kuwapa maksi ndogo.

Poleni sana wahanga.. ila hicho kizazi "limbukieni" kinafikia ukingoni(machweo)

WADAU MMENiELEWA
Usifiche sana hicho vhuo3ni MUHAS..kuna wazee wanajiona wenyewe ndio alfa na omega wa hicho chuo..hadi kufikia kubana sana gpa..mwisho wasiku vijana wanamaliza na gpa ndogo sana..hata wakita nafasi za wakufunzi wengi vijana wamuhas hawapati kwakuwa kigezo ni kidogo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kusoma kote huko laki 9 jamani dahhhh
Awako seriously kabisa Hawa jamaa yaani uo ni mshahara wa askari tu mwenye bachelor ya IT tena yeye na zaidi pia na maposho na aliesoma miaka mitatu tu kwa ada ndogo sio iyo sijui milion 4 sijui 3
 
Siasa nyingi... na hii imetuweka nyuma sana kwenye mambo mengi.

Kuna "cult" flani ipo hasa kwenye chuo cha wanaojiona wao ndo "brain ya Tanzania"

Kwa hiyo mentality wamejikuta hata wahitimu wao wanakosa GPA za kuwa wakufunzi hasa baada ya kuwakomoa kwa kuwapa maksi ndogo.

Poleni sana wahanga.. ila hicho kizazi "limbukieni" kinafikia ukingoni(machweo)

WADAU MMENiELEWA
Ugonjwa wa hao unowaita limbukeni bahati mbaya una ambukiza. Ukisoma michango ya vijana wao hapa jf wenyewe wanatulazimisha tuamini vyuo vyao ndio bora. Na vingine ni vya kata hahaha. Hivyo itahitaji mapinduzi ya akili kubadilisha hili.
 
Yes ilikuwa ianzishwe na curriculum ilikuwa tayari UDOM ndo walikuwa tayari lakini MAT (Medical Association of Tanzania) walipinga Sana hili kuwa kutatokea ugomvi baina ya MD na BCMS haiwezekani degree mbili zikakaa pamoja .Wakarefer ugomvi uliopo Kati ya AMO na MD kwa siku za nyuma.
MD hawawezi kubali competition. Labda muanzishe chama chenu na kulobby hilo suala.
 
Kuna vitu hapa sijaelewa.
Kwa mfano.
-Huko kwenye hizo nchi ambako hiyo kozi inatolewa, wahitimu wanatambulika kama equivalent to MD?

-Kama karibu kila kitu kinafanana na MD, kwanini hapa Tz mfumo wa ajira ukutambue kama AMO?

-Ni vipi mhitimu wa hiyo kozi atambulike kwa Prefix ya Dr wakati hiyo prefix inamuhusu mhitimu wa degree ya kwanza ya Doctor of Medicine?

-Jamii inaweza kumuita mtu yoyote anayetibu mgonjwa kuwa ni Dr, lakini linapokuja suala la kiofisi rasmi inaweza isiwe hivyo. Je kwa mhitimu wa hii kozi, je rasmi mamlaka za kiserikali na muundo wake unamtambua kama Dr ?
Sorry!

Kuna sehemu nilikuwa sijakupata !

Mfumo wa ajira kwanini unamtambua kama AMO?

Yes,kutokana na uchache wetu nchi nzima hatufiki 50 wahitimu wa kozi hii .Wahitimu wa awali waliwahi kulalamika utumishi waliambiwa na kozi mpya haijaingizwa kwenye mfumo kwahiyo wanasubiri Barua kutoka Baraza la usajili kupitia kwa KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA !MCT ambaye ndiye msajili bado anaumiza kichwa kukubali kuwa huyu ni sawa na MD au ni sawa na AMO au aundiwe muundo wake Na daraja lake.Tangu mwaka 2013 wahitimu wa Kwanza kuanza kuingia nchini KITENDAWILI HIKI KIMEKUWA KUGUMU KWA MCT na hivyo UTUMUSHI kutumia AMO


Karibu kwa swali jingine
 
Hizi ni ngazi za mishahara za watumishi wa umma (Afya) .TGHS D ~ TSH 900,000/-Basic salary .
MD aliesoma muhimbili analipwa shillingi ngapi. Difference Kati ya salary yako na yake ni ipi
 
MD aliesoma muhimbili analipwa shillingi ngapi. Difference Kati ya salary yako na yake ni ipi
MD aliyesoma Muhimbili maana yake nini kiongozi?Hatuna MD wa MUHAS Wala KIUT kwenye utumishi.
Labda ungeuliza MD analipwa shilingi ngapi!

Mshahara wa MD ni TGHS E
 
MD aliyesoma Muhimbili maana yake nini kiongozi?Hatuna MD wa MUHAS Wala KIUT kwenye utumishi.
Labda ungeuliza MD analipwa shilingi ngapi!

Mshahara wa MD ni TGHS E
Ok ni Sawa nilimaanisha medical doctor
 
Tunajaribu !Lakini wengi wetu waliamua kusoma Master's degree na mmoja anafanya PhD (CUHAS) -Public health .Tukisha kuwa juu na tukawa wengi ,It will work.
Chamgamoto hata kozi haitapatiwa kibali kufundishwa nchini.. unless mpate mwenye influence kwa watunga sheria
 
Back
Top Bottom