Do it for your own benefit.Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu .Kuna watu nawajua walihangaika Sana kupata ELIMU wametoka familia za kimasikini baada ya kupata madaraka wanabania wengine.Wao walihisi wanaweka Elimu ya Tanzania kuwa bora kwenye uso wa dunia lakini ,mipango yao yote haina positive result Kwa miaka 5 sasa tangu wabane.Nchi zinazotoa Bachelor of clinical medicine kwasasa ni
1.Kenya
2.Uganda
3.Zambia
4.Malawi
5.Rwanda.
Hii kozi inatolewa Kwa namna tatu,Kuna vyuo vinatoa
Bachelor of clinical medicine and Surgery
1.Uzima University Private (Kenya)
2.Kisii University -Public (Kenya)
3.Kabarak University -Public (Kenya)
Bachelor of clinical medicine,surgery and community health
1.Great Lakes University of Kisumu (Private)-Kenya
2.Kabianga University -Private(Kenya)
Bachelor of clinical medicine and community health
1.Mount Kenya University -Private
2.Ergoton University
3.Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology(JKUAT)
4.Zambia University
5.Kampala International university-Uganda
6.Rwanda National University
7.University of Malawi